johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kikwete: Mimi ndio nilipitisha Jina la Magufuli kwenye CC, ndugu Zangu Mwenyekiti wa CCM ana nguvu kubwa sana 😀😀Ahaa , kwa hiyo kwako wewe John tayari Msigwa keshakuwa “authority” ya uongozi wa CHADEMA. Yaani neno lake ni fact! Sawa.
Hatujawahi kuumiaSasa nyinyi mnaumia nini?
Mkuu Erythrocyte ni rahisi wewe kuhama CHADEMA na kujiunga chama kingine kwa kuwa hukubaliani na hawa 19 kubakia ndani ya CDM kuliko HALIMA MDEE kutolewa CDM.Hivi waliokuteua na kukuapisha waweza kuwaambia nini? Mkuu sisi si wa kudanganywa kijinga
Hoja yako imekufa kibudu kwa vile Halima Mdee hayuko Chadema, alishafukuzwa, mimi bado nipo na tayari nishatangaza nia 2025 huku nikiungwa mkono na maelfu ya WanaKyelaMkuu Erythrocyte ni rahisi wewe kuhama CHADEMA na kujiunga chama kingine kwa kuwa hukubaliani na hawa 19 kubakia ndani ya CDM kuliko HALIMA MDEE kutolewa CDM.
Kama una uwezo kumzidi Halima Mdee si na wewe ungekuwa tayari ni mbunge wa Kyela kwa tiketi ya CHADEMA!! Unashindwa nini??
Hakuna Masikini aliyewahi kufanikiwa kwa kutukana watu, labda wewe utakuwa wa KwanzaWewe ndo mpango wa kando wa Mbowe?
Natunza hii post, tutarudi hapa mwaka 2025. Usibadili ID tuHoja yako imekufa kibudu kwa vile Halima Mdee hayuko Chadema, alishafukuzwa, mimi bado nipo na tayari nishatangaza nia 2025 huku nikiungwa mkono na maelfu ya WanaKyela
Wala Tusisubiri 2025, Je Halima Mdee hajafukuzwa Chadema?Natunza hii post, tutarudi hapa mwaka 2025. Usibadili ID tu
Mbowe kajaa rushwa rushwa iwe ngone hela etc. Mtu ambaye anakubali kuidha utu wake kisa hela hafai kabisa. Huo utabaki ukweli hata wewe unajua kabisa mbowe ni mla rushwa anaongoza genge la wahuniHuna akili
Kama ni cha wanachama mbona hamkushirikishwa kwenye ujio wa Lowasa? Mbona hamkushirikishwa alivyoenda kufanya maridhiano Ikulu?Chadema ni Chama cha Wanachama, hizo porojo za Mbowe ni upuuzi tu
Kuwa mpole, Mbowe atakushangaza. Halima Mdee bado yupo sana CDM. Utaondoka wewe na utamuacha Halima MdeeWala Tusisubiri 2025, Je Halima Mdee hajafukuzwa Chadema?
Jibu swaliKuwa mpole, Mbowe atakushangaza. Halima Mdee bado yupo sana CDM. Utaondoka wewe na utamuacha Halima Mdee
Hawa wamama wanaweza kuwa asset ya kutupatia intelligence information za upande wa pili. Mimi sina vhsma ila kwa uchambuzi wangu wakirudishwa sioni madhara. Hii ilikuwa ni njaa kama njaa nyingine zozoteWabunge 13 wameshasamehewa linasubiriwa tamko tu la CC ya Chadema
Mlale Unono 😀
waendeCCM,ACT na CHAUMA
Mbona wako ccm tayari!AC waende
ACT Wazalendo kuliko CCM wataheshimika
toka 2020.Kwani Halima ni mwana CCM?
Weka kivuli cha kadi yake hapa!! Kama huna funga domo lako. Subiri wenye chama wakiendeshetoka 2020.
Alikula hela za JIWE na wapo wengine hawajahama kipindi hiki cha hela za ABDU lakini wanapeleka siri upande wa pili.
Sipati picha Kamati Kuu ya Chadema ikitoa tamko la kuwasamehe na kuwarudisha kundini utafanya nini? Naamini kwa aibu utakuja CCM na tutakupokea na tutakupiga picha ukiwa umebeba picha ya Mama yenye maandishi, "Kazi Iendelee"! Ahahahahaha!!Kutokana na kampeni za kijinga zinazoendelea hapa JF na kwingineko, za kutaka Msaliti Mdee na Wasaliti wenzake warejeshwe Chadema, Imebidi tumelazimika kuja kutoa Ufafanuzi.
Halima Mdee na wenzake, akiwemo Dadaangu Sophia Mwakagenda, Walifukuzwa Chadema na kuvuliwa Uanachama na Vikao halali vya Chama, kwa tuhuma za Aibu za Usaliti na Rushwa ya pesa Taslimu pamoja na kuhongwa Madaraka ya Ubunge (Waliapishwa gereji na Ndugai)
Usaliti walioufanya hawa Wamama umesababisha hasara kubwa kwa Nchi na kilichokuwa Chama chao, Chadema imeitisha vikao kadhaa vya dharula vyenye gharama kubwa kwa ajili ya kuwajadili, zimefunguliwa kesi za gharama kubwa mno huku wao wakilipwa mishahara batili na kulindwa na CCM na Serikali yake, Nani hajui hili?
Hawa hawastahili kusamehewa hata na Shetani na wala hatuna haja ya kupoteza muda kuwajadili tena.
Bali Ifahamike kwamba Walishafukuzwa Chadema tena hadharani, Viongozi wa Chadema kuhudhuria Msiba wa Mama Theresia Mdee aliyekuwa Mwanachama wa Chadema hakuhusiani chochote na Usaliti wa Mtoto wake.
Tumeona tuliweke wazi hili ili kuhitimisha chokochoko za Mamluki kila mahali .
KAMA UNAMPENDA MTU KUTOKANA NA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI-JK NYERERE
Haitakuja kutokeaSipati picha Kamati Kuu ya Chadema ikitoa tamko la kuwasamehe na kuwarudisha kundini utafanya nini? Naamini kwa aibu utakuja CCM na tutakupokea na tutakupiga picha ukiwa umebeba picha ya Mama yenye maandishi, "Kazi Iendelee"! Ahahahahaha!!