Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Halima Mdee na wenzake Washinda kesi dhidi ya CHADEMA. Waendelea kuwa wanachama wa CHADEMA. Kuendelea na Ubunge wao

Mimi naona yawepo makubaliano ya hao cov 19 na Uongozi wa CDM! Waachwe waendelee na ubunge kwa kuwa muda uliobaki ni mfupi kabla ya uchaguzi mwingine 2025!
CHADEMA watakuwa wanvunja katiba ya Nchi, hicho kitu hakipo, katiba inalindwa kwa jasho na damu.
Ni upuuzi uliopitiliza kama utashindwa kwa vitu vidogo kulinda katiba, sasa akija Yule mama wa Malawi wewe si ungemuachia ziwa Nyasa alokuwa anataka kulichukua 2016, au Iddi amini wewe si ungemuachia Kagera kwa kigezo kuwa Tanganyika ni kubwa?
 
Mimi naona yawepo makubaliano ya hao cov 19 na Uongozi wa CDM! Waachwe waendelee na ubunge kwa kuwa muda uliobaki ni mfupi kabla ya uchaguzi mwingine 2025!
Of course hawa hawatatoka bungeni na ndiyo maana akina Lissu na Mbowe na m
Mnyika wanapokea RUZUKU na wanatumia.
 
Jaji hawezi kwenda kinyume na maelekezo kutoka juu. Bunge lazma liwe na wapinzani ili kuendelea kupata msaada kuoka kwa mabeberu.
Bunge kun kamati lazma ziongozwe na wapinzani na huwezi kutoa wote.
JIWE aliambiwa kwa hasira akawakataa wote, akawafuta wapinzani wote ila baadae akashauriwa na wastaafu ndio akawapachika hawa VIRUSI-19.

Wataam wa mambo tunajua wataambiwa wakate rufaa ambayo itawekewa mapingamizi, na mapinga yatasikilizwa by december 2024 wakati tunaingia uchaguzi mkuu, haitokaa itokee kusemwa kwamba walikuwa haramu, yaani legasi ya mwendazake ichafuliwe?
Yametimia
 
Yametimia
Jaji: Ninaona kwamba kesi hii inaangukia katika MANDAMUS

Jaji: Baraza Kuu lilipaswa kufanya kazi ya kimahakama na badala yake walifanya maamuzi kwa kuzingatia ujumla wake na Katiba yao.

Jaji: Naona kwamba maombi ya Waleta Maombi yamezinfatia hoja za Msingi za UFANISI wa chombo cha Maamuzi.

Jaji: Natoka Amri zifuatizo MAAMUZI YA BARAZA KUU YAMEFUTWA.

Nawatakia kheri ya Christmas na mwaka MPYA 2024,akina halima Mdee[Covid-19] mahakama kuu imeridhia ni wanachama wa CHADEMA kwa kuwa imefuta maamuzi ya Baraza kuu la CHADEMA.

Hii nchi kazi tunayo Tena ndefu
 
Jaji: Ninaona kwamba kesi hii inaangukia katika MANDAMUS

Jaji: Baraza Kuu lilipaswa kufanya kazi ya kimahakama na badala yake walifanya maamuzi kwa kuzingatia ujumla wake na Katiba yao.

Jaji: Naona kwamba maombi ya Waleta Maombi yamezinfatia hoja za Msingi za UFANISI wa chombo cha Maamuzi.

Jaji: Natoka Amri zifuatizo MAAMUZI YA BARAZA KUU YAMEFUTWA.

Nawatakia kheri ya Christmas na mwaka MPYA 2024,akina halima Mdee[Covid-19] mahakama kuu imeridhia ni wanachama wa CHADEMA kwa kuwa imefuta maamuzi ya Baraza kuu la CHADEMA.

Hii nchi kazi tunayo Tena ndefu
Jaji alienda na hukumu, kesi imesikilizwa miaka 3 kwa tarehe za mbali
 
CHADEMA wamebwagwa tena tena jamani. Wakati wa mgogoro wake na Zitto, mwanasheria Lissu na Kibatala waliongozi jopo la wanasheria wa Chadema mahakanai wakabwagwa na bwana mdogo Albert ambaye sasa ni mkuu wa wilaya ya Morogoro. Safari hii wamebwagwa tena. Lah! Hii ni balaa kabisa.
 
Amekusikia Mkuu, tegemea lolote kuanzia sasa.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Chadema wamejazana wehu wanaoamua mambo kwa chuki...

Wakimvhukia mtu wanatamani sheria imchukie pia...

Wepesi sana kwenye sheria.
 
Jaji: Ninaona kwamba kesi hii inaangukia katika MANDAMUS

Jaji: Baraza Kuu lilipaswa kufanya kazi ya kimahakama na badala yake walifanya maamuzi kwa kuzingatia ujumla wake na Katiba yao.

Jaji: Naona kwamba maombi ya Waleta Maombi yamezinfatia hoja za Msingi za UFANISI wa chombo cha Maamuzi.

Jaji: Natoka Amri zifuatizo MAAMUZI YA BARAZA KUU YAMEFUTWA.

Nawatakia kheri ya Christmas na mwaka MPYA 2024,akina halima Mdee[Covid-19] mahakama kuu imeridhia ni wanachama wa CHADEMA kwa kuwa imefuta maamuzi ya Baraza kuu la CHADEMA.

Hii nchi kazi tunayo Tena ndefu
Yaani hata alichokiandika jaji mwenyewe kashindwa kukisoma ! Noma sana !
 
Back
Top Bottom