Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mimi naona yawepo makubaliano ya hao cov 19 na Uongozi wa CDM! Waachwe waendelee na ubunge kwa kuwa muda uliobaki ni mfupi kabla ya uchaguzi mwingine 2025!
CHADEMA watakuwa wanvunja katiba ya Nchi, hicho kitu hakipo, katiba inalindwa kwa jasho na damu.
Ni upuuzi uliopitiliza kama utashindwa kwa vitu vidogo kulinda katiba, sasa akija Yule mama wa Malawi wewe si ungemuachia ziwa Nyasa alokuwa anataka kulichukua 2016, au Iddi amini wewe si ungemuachia Kagera kwa kigezo kuwa Tanganyika ni kubwa?
Ni upuuzi uliopitiliza kama utashindwa kwa vitu vidogo kulinda katiba, sasa akija Yule mama wa Malawi wewe si ungemuachia ziwa Nyasa alokuwa anataka kulichukua 2016, au Iddi amini wewe si ungemuachia Kagera kwa kigezo kuwa Tanganyika ni kubwa?