Pascal Mayalla please ukipata muda mjibu huyu mdauNdugu Pascal Mayalla
Hivi ilikuwaje kwa yule dada Nusrat Hanje, aliyekua gerezani Singida, akatolewa saa tatu usiku na kusafirishwa usiku kwa usiku kuelekea Dodoma kuapishwa na kuwa mbunge!?
Hapa CHADEMA walifanyaje mkuu Pascal Mayalla
Mkuu Pasco kuna bandiko nimekuwekea mlolongo wa matukio ambayo Polisi wamepewa taarifa na hawakufanyia kazi kwasababu tu yanagusa ima serikali au chama tawala.Jeshi la polisi ndilo lenye mamlaka ya uchunguzi wa jinai ndani ya JMT, kama ni kweli kulikuwa na jinai ya forgery, hakuna namna nyingine yoyote Chadema wanaweza kujua bila kuripoti polisi, na uchunguzi wa kipolisi ungebaini kuna jinai, wabunge wale 19, ilikuwa ni hapo hapo wanapoteza ubunge wao, na sio kusubiri hadi miaka 2!.
P
P ukiwa na ''assests' zikabadilika kuwa liabilities huna sababu ya kuziita assets tenaMimi ni kada wa CCM, ila ni CCM contemporary.... hivi ninapoona Chadema inapoteza assets kama Halima Mdee na Esta Bulaya, kwa sababu za kijinga jinga, tunaumia!.
Polisi hawa wanaomsubiri dereva wa Tundu Lissu ndio unaamini wangefanya uchunguzi, pleaseKama kuna forgery yoyote, ili Chadema waweze kuipata nakala halisi ya barua ya uteuzi kutoka Chadema kwenda NEC iliandikwa na nani, ilisainiwa na nani, Chadema walipaswa kuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike
Haya maneno unasema wewe , hukutuhumiwa. Waliotuhumiwa NEC na Ndugai wapo kimyaChadema haikufanya hivyo kwasababu inaujua ukweli kuwa hakuna forgery yoyote!.
Elimu yako ipoje ndg.Kama bado wapo bungeni si kosa la chadema ni kosa la uongozi wa bunge.Katiba ya chadema ipo wazi na katiba ya nchi ipo wazi kuhusu watu kama hao.Bado wapo jengoni. Hawajafukuzwa.
Kwa mujibu wa katiba ya chama,chombo chanye mamlaka yakuwafukuza uanachama kina mdee ni mkutano mkuu na sio baraza kuu kama walivyofanya Chadema.Jitahidini kufuata miongozo ili huu mjadala uishe...baraza kuu la chadema limeshathibitisha kuwavua uanachama.
..uamuzi huo ulifanyika kwa uwazi, wahusika walikuwepo, na vyombo vya habari vilishuhudia.
..hawa kina mama wawe WAUNGWANA. Kuendelea kwenda bungeni ni kuvunja sheria na kufanya vurugu.
..Ni aibu kwa MAMLAKA zetu kuwaacha wahudhurie bunge.
Huu ilikuwa mpango wa Magufuli na Ndugai hvyo Bunge la sasa likiongozwa na Tulia lisipofuata sheria, itakuwa wazi kuwa nao ni wafuasi wa Magufuli wanye lao jambo kutaka kumuangusha Samia.!Inaonekana hawafukuziki hawa.
Elezea vema hapa MkuuYes, Chadema walipeleka majina NEC, 30 days kabla ya uchaguzi. Baada ya Chadema kupewa viti 18, Chama kikasusa kuwa hakiyatambui matokeo hivyo hawateui.
Ndipo wana Chadema Wazalendo makamanda mashujaa wa kike, kwa msaada wa kigogo mmoja wa Chadema wakaachana na ujinga wa chama kususa,wakapeleka majina wakaapishwa.
Kwa mujibu wa katiba ya chama,chombo chanye mamlaka yakuwafukuza uanachama kina mdee ni mkutano mkuu na sio baraza kuu kama walivyofanya Chadema.Jitahidini kufuata miongozo ili huu mjadala uishe.
Kamati Kuu ni mamlaka ya nidhamu ya wabunge but not Halima. Kesi ya wabunge iliendeshwa kikangaroo hivyo hukumu ile ya CC ni batili...walifukuzwa na kamati kuu.
Baraza Kuu ndio mamlaka ya rufaa ya wabunge. Baraza Kuu lilipaswa kwanza kujiridhisha kama CC ilitenda haki, halikufanya, likaubariki ukangaroo wa CC!. Hapa sasa ndio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee. Hakuna kesi yoyote ya Halima iliyowasilishwa Baraza Kuu. CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka kufukuza Halima wakati hata Baraza Kuu halina mamlaka hiyo?!. Kesi ya Halima ingetoka Baraza Kuu na kuingia Mkutano Mkuu ndio pekee wenye mamlaka hiyo. Kilichofamyika ni uhuni, ambao mimi nimeuita ni ukangaroo...wakakata rufaa ktk baraza kuu.
Kitendo cha kukazia hukumu batili nao ni ukangaroo!...baraza kuu likakazia hukumu ya kamati kuu.
Rufaa zote lazima zifuate kikao kinachofuatia, Halima alikata rufaa Baraza kwasababu CC sio mamlaka yake ya nidhamu na haina uwezo wa kumfukuza!...kama unayosema ni kweli kwanini Halima na wenzake walikata rufaa kwa baraza kuu?
Hawaeezi chochote kwasababu hakuna kikao chochote kilichowateua, kule NEC hawahitaji taarifa za kikao, wanahitaji barua ya uteuzi na fomu zilizosainiwa. Barua ilikuwepo na fomu zilikuwepo na aliyezisaini yupo ukumbini na ameketi meza kuu!...lakini kwanini tuzunguke kote huko? Kwanini Halima na wenzake hawaelezi kikao kilichowateua, wala kiongozi aliyepeleka majina yao kwa tume ya uchaguzi?
Cc Erythrocyte
Kamati Kuu ni mamlaka ya nidhamu ya wabunge but not Halima. Kesi ya wabunge iliendeshwa kikangaroo hivyo hukumu ile ya CC ni batili.
Baraza Kuu ndio mamlaka ya rufaa ya wabunge. Baraza Kuu lilipaswa kwanza kujiridhisha kama CC ilitenda haki, halikufanya, likaubariki ukangaroo wa CC!. Hapa sasa ndio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee. Hakuna kesi yoyote ya Halima iliyowasilishwa Baraza Kuu. CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka kufukuza Halima wakati hata Baraza Kuu halina mamlaka hiyo?!. Kesi ya Halima ingetoka Baraza Kuu na kuingia Mkutano Mkuu ndio pekee wenye mamlaka hiyo. Kilichofamyika ni uhuni, ambao mimi nimeuita ni ukangaroo.
Kitendo cha kukazia hukumu batili nao ni ukangaroo!.
Rufaa zote lazima zifuate kikao kinachofuatia, Halima alikata rufaa Baraza kwasababu CC sio mamlaka yake ya nidhamu na haina uwezo wa kumfukuza!.
Hawaeezi chochote kwasababu hakuna kikao chochote kilichowateua, kule NEC hawahitaji taarifa za kikao, wanahitaji barua ya uteuzi na fomu zilizosainiwa. Barua ilikuwepo na fomu zilikuwepo na aliyezisaini yupo ukumbini na ameketi meza kuu!.
P
Kwa mujibu wa katiba ya chama,chombo chanye mamlaka yakuwafukuza uanachama kina mdee ni mkutano mkuu na sio baraza kuu kama walivyofanya Chadema.Jitahidini kufuata miongozo ili huu mjadala uishe.
Kamati Kuu ni mamlaka ya nidhamu ya wabunge but not Halima. Kesi ya wabunge iliendeshwa kikangaroo hivyo hukumu ile ya CC ni batili.
Mkuu JokaKuu nimeisoma hoja ya Pascal Mayalla kwa mshangao mkubwa hasa ukizingatia ni mtu wa sheria. Pasco anasema Halima Mdee ni mwenyekiti wa Bawacha , CC si mamlaka yake ya nidhamu. Nina uhakika Pasco anatafuta mahali pa kushika hajapata. Upotofu wake ni huu;..CC imemshughulikia Halima kama MBUNGE.
..Halima hakuhukumiwa kama mwenyekiti wa Bawacha, au kwa makosa aliyoyafanya akitekeleza majukumu ya mwenyekiti wa Bawacha.
..Tukirudi kwenye hoja yako, umetafsiri kimakosa kilichofanywa na CC ya Chadema ilipomuadhibu Halima Mdee.
..CC imemuadhibu Halima Mdee kama MBUNGE. Haikumuadhibu kama Mwenyekiti wa Bawacha.
..Kwa maoni yangu, hoja yako haina mashiko bila kulazimika kuhakiki kama umenukuu katiba ya Chadema kwa usahihi, au la.
Ukitumia hii Id huwa unatulia kiduchu. Tofauti na ile ya Tindo..CC imemshughulikia Halima kama MBUNGE.
..Halima hakuhukumiwa kama mwenyekiti wa Bawacha, au kwa makosa aliyoyafanya akitekeleza majukumu ya mwenyekiti wa Bawacha.
..Hoja yako inafanana na hoja aliyopambana nayo Dr.Slaa na wakili wake Dr.Sengondo Mvungi [ r.i.p] walipomshtaki Benjamin Mkapa alipojaribu kuvunja halmashauri ya Karatu.
..Kulitolewa pingamizi kwamba Mkapa hawezi kushtakiwa kwasababu ana kinga ya Uraisi.
..Dr.Slaa na Wakili Dr.Mvungi wakajibu kwamba wana haki ya kumshtaki Mkapa kwasababu alipojaribu kuvunja halmashauri ya Karatu alikuwa akitumia madaraka yake kama Waziri wa Tamisemi, na sio madaraka yake kama Raisi. Na hoja yao ilipita.
..Tukirudi kwenye hoja yako, umetafsiri kimakosa kilichofanywa na CC ya Chadema ilipomuadhibu Halima Mdee.
..CC imemuadhibu Halima Mdee kama MBUNGE. Haikumuadhibu kama Mwenyekiti wa Bawacha.
..Kwa maoni yangu, hoja yako haina mashiko bila kulazimika kuhakiki kama umenukuu katiba ya Chadema kwa usahihi, au la.
Cc Nguruvi3, Petro E. Mselewa , Erythrocyte
Ndugu,Mkuu Nguruvi3, the most important document kwenye utawala wa nchi ni katiba, na the most important document kwenye utawala wa chama cha siasa ni katiba zao. Kwenye utawala wa nchi, rais akivunja katiba, anashitakiwa na Bunge, anaondolewa madarakani. Lile swali langu kwa JPM pale Ikulu, kuwa amepata wapi mamlaka ya kwenda kinyume cha katiba, ni kama kusema JPM amevunja katiba, Bunge lingepaswa kumshitaki. Nilipoandika kuhusu Bunge, nyote mnakijua kilichonitokea, hivyo maadam Chadema ina katiba, there is no excuse why Chadema isifuate katiba yake. Kama kijikatiba hiki tuu kidogo cha Chadema inashindwa kukifuata, jee Chadema Ingekabidhiwa nchi na lile ji Katiba kubwa la JMT, wangeiweza?.
Mimi ni kada wa CCM, ila ni CCM contemporary, kuna ma CCM ambao ni ma burgeoges na kuna ma CCM ambao ni ma lumpenproletariat, sisi ma CCM Contemporary tunapenda haki, tunapenda CCM ishinde kwa haki, tunapenda Bunge letu liwe na opposition, tunawapenda baadhi ya baadhi ya wapinzani makini na tunapenda kuona Tanzania ina opposition makini, hivyo kuna wana CCM, mimi nikiwemo, hatufurahii kuona Bunge la Chama kimoja na mara baada ya uchaguzi, tuliwaombea kwa Mwenyekiti wetu, awateue baadhi ya wapinzani muhimu waingie bungeni Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni? na Zitto nikamuombea uteuzi rasmi Ombi Maalum kwa Rais Magufuli: Mteue Zitto Kabwe kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, ndiye mpinzani pekee mzalendo, Capable kuongoza PAC! hivi ninapoona Chadema inapoteza assets kama Halima Mdee na Esta Bulaya, kwa sababu za kijinga jinga, tunaumia!.
Kama kuna forgery yoyote, ili Chadema waweze kuipata nakala halisi ya barua ya uteuzi kutoka Chadema kwenda NEC iliandikwa na nani, ilisainiwa na nani, Chadema walipaswa kuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike, Chadema haikufanya hivyo kwasababu inaujua ukweli kuwa hakuna forgery yoyote!. Voices from within, inanieleza yule "kigogo" baada ya Chadema kama Chama kususia kuteua wajumbe wa viti maalum, Halima Mdee akiwa ameandamana na Esta Bulaya, wali seek an audience na kigogo wa Chadema na ku consult umuhimu wa nafasi hizo, kigogo huyo akatoa a go ahead, ndipo Halima aka proceed kuwatafuta na kuwa organize. Kigogo akasaini na process ikaendelea. Mambo yalipochemka, kigogo akawaomba kina Halima wajitoe to save his face, wakamgomea. Kiukweli Halima ni Mwanamke wa shoka, shujaa aliyefundwa akafundika, na ana command a very high respect kwa hao wote 19 kwa kuwasihi wasifungue midomo yao kusema chochote kwenye Baraza Kuu, and take it from me, Halima ali consult na Kigogo, kigogo akamshauri wao wanyamaze na wasijibu kitu, yeye atawaombea msamaha, watasamehewa na kuendelea na ubunge wao, hivyo wakakubali, wakanyamaza na kutotoa siri ya kigogo wa Chadema, hivyo baada ya matokeo kutoka wamepigwa chini ndipo Mdee akajikuta wamefanyiwa uhuni!.
P
Asante sana "genius"Jinga wewe
Wew mzee acha Ujinga wako usituone sisi sote ni wachumia tumbo Kama wewe.Jeshi la polisi ndilo lenye mamlaka ya uchunguzi wa jinai ndani ya JMT, kama ni kweli kulikuwa na jinai ya forgery, hakuna namna nyingine yoyote Chadema wanaweza kujua bila kuripoti polisi, na uchunguzi wa kipolisi ungebaini kuna jinai, wabunge wale 19, ilikuwa ni hapo hapo wanapoteza ubunge wao, na sio kusubiri hadi miaka 2!.
P
Haya wadau tulichosema kimetokea.Hoja hii imetumika sana na nimesikia kwenye mjadala wmmoja imeshikiwa bango
Hii ni hoja inayofanana na ile ya kwanini Chadema hawakwenda mahakamani kuhusu uchaguzi
Mkuu Pascal Mayalla naomba niamini kwa dhati kwamba tunaishi dunia na Tanzania moja
Halima Mdee alikamata kura feki akaripoti Polisi kwa ushahidi. Polisi hawakufanya lolote lile
Mgombea wa Ubungo alikamata kura feki akawaonyesha Polisi, hakuna aliyechukua hatua
Uchaguzi wa Kinondoni, kura feki maboksi yameletwa, si Polisi wa NEC waliosughulika na tatizo
Watu wamekamatwa kuhusu vifo vya wana Chadema, watu hao wameachiwa huru
Arusha mtuhumiwa wa mauaji Usa River alikimbia mahakamani Polisi akiwa na bundiki, hadi leo
Dodoma watu wameomba Video ya nyumba za serikali iliyoondolewa, hadi leo hakuna
Wananchi wamehoji nani aliondoa walinzi, hadi leo hakuna jibu kwa keshi nzito kama ile
Kichekesho ni pale Polisi wa Tanzania wanapomsubiri dereva wa Tundu Lissu wafanye uchunguzi
Katika mazingira ya ushahidi huo hapo juu Chadema hawakuona haja ya kwenda Mahakamani kwani mahakama zimekuwa ''compromised' kipindi cha Mwendazake hadi leo ambapo CJ anasema hukumu ziangalie maeneo ya mihimili mingine na si sheria tena
Kuhusu Forgery Chadema wamebaini kwenda mahakamani ni kosa kwa advantage ya 19.
Spika aliyejiuzulu aliwaapisha COVID19 mapema sana kwa sababu maalumu.
Chadema waende mahakamani, suala liwe uchunguzi kesi inaahirishwa kwa miaka 5, simple.
Wabunge wasingefukuzwa suala lipo mahakamani uchunguzi haujakamiliki, Spika angedai hawezi kulizungumzia . Hivyo Chadema wametumia njia za ufundi kulimaliza suala.
Chadema Wanajua kwavyovyote vile Polisi, Mahakama, Spika Ndugai na NEC wangekaa vikao na kulirefusha kwa njia za kiufundi tu na ulaghai laghai kwa miaka 5.
Ni njia hizo ndizo zinamfanya Spika Tulia avute muda ili 19 waende mahakamani, suala likiwa mahakamani halizungumziwi tena. Tunajua mbinu hii
Spika ana barua bado anataka kutoa nafasi kiufundi kwa COVID19 kukimbilia mahakamani.
Hivyo mkuu Pascal Mayalla haya mambo nadhani unayajua lakini kama alivyosema JokaKuu unaona wasomaji ni mazuzu sana.
Tindo Proved Mag3