Halima Mdee na wenzake watinga Bungeni licha ya CHADEMA kutangaza kuwafukuza rasmi

Hawa kina Halima wanaweza kupeta kwa amri ya Mahakama until Bunge linaisha.

Wanasheria wao bila bila shaka wanaperuse kuona kama kile kikao cha kamati kuu kilitenda sawasawa na Katiba yao inavyosema. Wakiwakosa hapo, Mahakama kwa msaada wa Bunge itaangalia kama “natural justice” ilifuatwa - i.e kama hao wamama walisikilizwa kwanza. Hapa CHADEMA haichomoki

Then Bunge likiisha, wanatimkia CCM na kufanyiwa mpango wa kurudi Bungeni tena

Technically kwenye hii saga atakayepoteza ni CHADEMA wenyewe
 
Kuna mwamba mmoja humu aliwahi andika kitu kikubwa sana.

Alisema, "Tanzania haina uzoefu wa kuwa Nchi"
Naishia hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…