Siyo wabunge tangu hapo bungeni walipelekwa rais kichaa siyo chademaBado ni wabunge maana Chadema bado haijapeleka barua rasmi kwa Spika juu ya kufukuzwa kwao chamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo wabunge tangu hapo bungeni walipelekwa rais kichaa siyo chademaBado ni wabunge maana Chadema bado haijapeleka barua rasmi kwa Spika juu ya kufukuzwa kwao chamani
Ungejua taratibu za ajira usingeshangaa, hao mwajiri wao wa ubunge ni bunge hivyo ni bunge ndilo litawaambia wasiingie bungeni na si mtu mwingine yeyote, kazi ya Chadema iliishia kwenye uanachama wao tu.Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.
View attachment 2222525
Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Lakini Staring keshakufa, na Mgogo role yake imeshakatwa, Sinema inaenda kwisha hii.
Haya ni mengine...lakini kwa kuwa wanaingia bungeni na kushiriki mijadala kama wabunge...basi ni wabunge (haijalishi uhalali wao wa kuingia bungeni)...kama chadema wakipeleka barua rasmi kumjulisha kiongozi wa bunge (spika) kuwa hao sio wanachama wao...basi itabidi ubunge wao ukome...maana kwa sasa inatambulika (kwa rekodi rasmi za bunge) kuwa wako bungeni kwa tiketi ya chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), sio kwa hisani ya RaisSiyo wabunge tangu hapo bungeni walipelekwa rais kichaa siyo chadema
Wameshaenda mahakamani lakini?Dodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.
View attachment 2222525
Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
MWENDAZAKE ana mwaka na miezi kadhaa tunga afariki lakini hakauki kwenye mabakuli (midomo) ya baadhi ya wanajF hapa, kana kwamba hakuna vitu vya kujadili.hii nchi mwendazake alitaka kuiharibu vibaya sana, sema mkono wa Bwana umetuokoa !! mambo kama haya ni aibu kubwa kimataifa, looks like we're not organized & uncivilized.
Kaua wengi ndugu tena wasio na hatia na ndiyo maana damu zao zinanena hapa - hakuwa kiongozi makini - aliongozwa na mihemko. Imagine unamtoa mfungwa gelezani usiku wa manane then kesho yake asubuhi anaapa ati kuwa ubunge - akili hiyo.MWENDAZAKE ana mwaka na miezi kadhaa tunga afariki lakini hakauki kwenye mabakuli (midomo) ya baadhi ya wanajF hapa, kana kwamba hakuna vitu vya kujadili.
Hapo mdee yupo wapi au kichwa cha jina nimesoma vibayaDodoma. Baadhi ya wabunge kati ya 19 waliofukuzwa uanachama na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiingia bungeni tayari kuendelea na shughuli za Bunge jijini Dodoma, leo Ijumaa Mei 13, 2022.
View attachment 2222525
Jumatano ya Mei 11, 2022 Baraza Kuu la Chadema lilitupilia mbali rufaa za wabunge hao 19 kupinga uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kuwafukuza uanachama kwa tuhuma za usaliti kwa kukubali kwenda kuapishwa kuwa wabunge kinyume na msimamo wa chama hicho kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Hawa ni wa sugu kweli,Ngoja tuone
Covid 19 hawana mshipa wa aibu
Chadema imewakataa kea asilimia 97
Hapo Sasa tutaludisha mamlaka kwa wananchi maana ndowenye maamuzi ya mwishoSpika atasema kwamba hajapata barua rasmi kutoka chadema inayo mtaarifu kwamba wamefukuzwa uanachama.
Ama kama amepata barua kutoka chadema, atasema kwamba hana taarifa rasmi kutoka kwa msajili wa vyama vya siasa.
Baada ya hapo bunge litalipuka kwa shangwe na kisha spika atatangaza kwamba yeye anawatambua kama wabunge halali wa chadema.
Kizuri zaidi wanachotamba nacho ni kwamba mkataba wao na CCM upo Lumumba, wa kuutengua ni mama tu ( Mwenyekiti wa CCM ) na si mtu mwingine yoyote.haya ni matapeli ya hali ya juu aisee
I'm not sure kama CDM wamepeleka barua au bado lakini wangeheshimu viongozi wa chama chao, kitendo cha kwenda bungeni ni dharau kwa chama na wanaonyesha hawajali lolote ikitokea wakatimuliwa bungeni watarudi kuomba msamaha kwa nani ?Bado ni wabunge maana Chadema bado haijapeleka barua rasmi kwa Spika juu ya kufukuzwa kwao chamani
Hakika. Unafukuzwa unafukuzwa unakomaa, Njaa Mbaya saaana. Ndio ujue Watu Wapo kwa ajili ya tumbo tuu.hii nchi mwendazake alitaka kuiharibu vibaya sana, sema mkono wa Bwana umetuokoa !! mambo kama haya ni aibu kubwa kimataifa, looks like we're not organized & uncivilized.
Ha ha ha ha, mwendazake kashindwa kuizalisha pic kali hadi akamtengua dogo wa kisalawe kisa wivu wa kimapenzi.... - hebu niombe radhi.Mimba ya mwendazake inakutesa