Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Barua tayari imefika kwa Tulia Ackson au ofisi ya spika wa bunge swala kusema wangeheshimu viongozi wa Chama chao Chama kipi?? Wakina mdee hawana ChamaI'm not sure kama CDM wamepeleka barua au bado lakini wangeheshimu viongozi wa chama chao, kitendo cha kwenda bungeni ni dharau kwa chama na wanaonyesha hawajali lolote ikitokea wakatimuliwa bungeni watarudi kuomba msamaha kwa nani ?