Halima Mdee punguza ulaghai, unadanganyaje umma kuwa akaunti za benki za wabunge waliofungwa zilikuwa na kiwango chini ya Tsh. Milioni 1?

Halima Mdee punguza ulaghai, unadanganyaje umma kuwa akaunti za benki za wabunge waliofungwa zilikuwa na kiwango chini ya Tsh. Milioni 1?

Hao hao tunaowachangia leo siku wakipata madalaka wanajisahau kabisa na watatuona siye wanyonge na tuliowapigania wajinga cc Kinana.Makamba.Nape / vs Maghu
 
Hawa jamaa walifanya maandamano haramu ambayo yalisabisha polisi kutumia risasi za moto na matokeo yake risasi ikamuua mwanafunzi aliyekuwa kwenye dalala. Post yako ilikuwa "Wakifanya mnawakamata wakiacha mnawasema,.......
Zuio haram la kufanya siasa hujalalisikia?
 
Hao hao tunaowachangia leo siku wakipata madalaka wanajisahau kabisa na watatuona siye wanyonge na tuliowapigania wajinga cc Kinana.Makamba.Nape / vs Maghu
Upo sahihi kwa 100% Mheshimiwa Mbowe tulimpigia kura huku Hai mwaka 2015 na ahadi kibao za kutuletea maendeleo hatahivyo baada ya kupata ubunge ametutelekeza wapiga kura wake kana kwamba jimbo halina Mbunge. Huwa tunaishia kumuona kwenye luninga akiwa mahakamani Kisutu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi kwa 100% Mheshimiwa Mbowe tulimpigia kura huku Hai mwaka 2015 na ahadi kibao za kutuletea maendeleo hatahivyo baada ya kupata ubunge ametutelekeza wapiga kura wake kana kwamba jimbo halina Mbunge. Huwa tunaishia kumuona kwenye luninga akiwa mahakamani Kisutu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndio ujue kwa Tanzania hakuna mwanasiasa mwenye uchungu na hii nchi wote ni wachumia tumbo huyo mdee anayesema hivyo amesahau kuhusu ile yard pale jogoo
 
Wajinga waliochanga. watu wanamahela hafu mnawachangia . Hata ivyo waliochanga wanahela sio walala hoi kama sisi wengine. Mana hata mimi ningekuwa The Don ningewachangia

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha ccm waliomchangia Mashinji ni wajinga?
Unamaanisha JPM aliyejaribu kujipendekeza kutaka kuchangia kwa Mchungaji Msigwa naye ni mjinga?

SAMAHANI LAKINI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kufanya siasa ni lazima iambatane na maandamano ya kejeli na matusi dhidi ya serikali iliyo madarakani?????
 
Mdee katudanganya aisee. Ina maana hata mshahara wa february hakulipwa??
 
Jana katika tukio liliofanyika makao makuu ya CHADEMA, Mheshimiwa Halima Mdoe alikaririwa akitamka serikali imezifunga akaunti zote za benki za Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Mbowe kwa vile walitarajiwa yeye akiwa na ukwasi mkubwa wa pesa ataweza kulipa faini kwa wote, hivyo muafaka ni kuzifunga akaunti zake pamoja na M-PESA.

Kimsingi sina tatizo na ukwasi wa Mheshimiwa Mbowe, lakini kizungumkuti ni pale Mheshimiwa Halima Mdee alipotutangazia umma ya kuwa yeye binafsi na waheshimiwa wengine Bulaya, Esther Matiko, Mnyika, Msingwa na Heche ambao wote ni wabunge kwenye akaunti zao zina pesa chini ya shilingi milioni moja.

Kwa kifupi serikali ilijua waheshimiwa husika watashindwa kulipa faini na hatimaye kuishia magerezani hatahivyo wananchi wamefanikisha kutoa michango ya kuwalipia wao.

ULAGHAI wa Mheshimiwa Halima Mdee unakuja pale anapoomba michango ya pesa kutoka kwa walala hoi huku waheshimiwa wabunge wakiwa na pato kubwa wao wenyewe hata akaunti zao za benki na raslimali wanazomiliki zina thamani zaidi ya milioni 200 kwa kila mmoja.

Waheshimiwa wabunge wa CHADEMA msitumie umbumbumbu wa wananchi kuwaibia kidogo walichonacho ili kulipia faini zenu, wakati waheshimiwa mna ukwasi mkubwa na pia chama chenu kinapata ruzuku kubwa kila mwezi.

Wananchi wa Tanzania tuachane na michango ya kilaghai badala yake tuwahoji kwanini wao wenye kiasi kikubwa cha pesa leo hii wanalazimisha sisi walalahoi kuwachangia faini kwa wao ambao wana kipato kikubwa kuliko walalahoi!!!
Karudir kumsikiliza co unaibuka tu utafikiri umetoka shomoni. Chadema co mafisadi kama ndg zako. Yaani cjui mmerogwa au ni laana. Hamna point hata kidogo mnaongea na kuandika pumba
 
Jana katika tukio liliofanyika makao makuu ya CHADEMA, Mheshimiwa Halima Mdoe alikaririwa akitamka serikali imezifunga akaunti zote za benki za Mwenyekiti wa CHADEMA, Mheshimiwa Mbowe kwa vile walitarajiwa yeye akiwa na ukwasi mkubwa wa pesa ataweza kulipa faini kwa wote, hivyo muafaka ni kuzifunga akaunti zake pamoja na M-PESA.

Kimsingi sina tatizo na ukwasi wa Mheshimiwa Mbowe, lakini kizungumkuti ni pale Mheshimiwa Halima Mdee alipotutangazia umma ya kuwa yeye binafsi na waheshimiwa wengine Bulaya, Esther Matiko, Mnyika, Msingwa na Heche ambao wote ni wabunge kwenye akaunti zao zina pesa chini ya shilingi milioni moja.

Kwa kifupi serikali ilijua waheshimiwa husika watashindwa kulipa faini na hatimaye kuishia magerezani hatahivyo wananchi wamefanikisha kutoa michango ya kuwalipia wao.

ULAGHAI wa Mheshimiwa Halima Mdee unakuja pale anapoomba michango ya pesa kutoka kwa walala hoi huku waheshimiwa wabunge wakiwa na pato kubwa wao wenyewe hata akaunti zao za benki na raslimali wanazomiliki zina thamani zaidi ya milioni 200 kwa kila mmoja.

Waheshimiwa wabunge wa CHADEMA msitumie umbumbumbu wa wananchi kuwaibia kidogo walichonacho ili kulipia faini zenu, wakati waheshimiwa mna ukwasi mkubwa na pia chama chenu kinapata ruzuku kubwa kila mwezi.

Wananchi wa Tanzania tuachane na michango ya kilaghai badala yake tuwahoji kwanini wao wenye kiasi kikubwa cha pesa leo hii wanalazimisha sisi walalahoi kuwachangia faini kwa wao ambao wana kipato kikubwa kuliko walalahoi!!!
Ni nani alilazimishwa kuchangia?
Mtaje huyo mbumbu tumjue@
 
Back
Top Bottom