- Thread starter
- #21
Samia anaingiaje hapa.Rais Samia pongezi kwako kuwagusa wanawake wenzako, 2025 utakumbukwa sana na CHADEMA kwenye kura za chama chako watakazokupa. 😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia anaingiaje hapa.Rais Samia pongezi kwako kuwagusa wanawake wenzako, 2025 utakumbukwa sana na CHADEMA kwenye kura za chama chako watakazokupa. 😃
Samia anaingiaje hapa.
Ukihukumiwa adhabu haisimami kwa kuomba rufaa, are you informed of that?Kina Halima watafanya delaying techniques, wataenda Mahakamani.
So bado wana nafasi za kula hela ya nchi kidogo.
Unless otherwise iwe ni makubaliano kati ya Mbowe na Samia kua watimue na bungeni tuwatimue mlete wengine.
Mkuu, unatakiwa kujua kua mahakama ndie muamuzi wa mwisho kwenye jambo lolote nchi hii.Mahakama kazi yake ni kutafsiri yaliyopo kwenye katiba ya chama CHADEMA syo katiba ya CCM na ile ya Mwendazake.
Sasa katiba ya CHADEMA imetumika kuwafukuza mahakama ina mamlaka gani kuingilia yaliyopo ktk katiba ya CHADEMA.
Mahakama iridhie forgery?
Pyuuuuuuuf
Mkuu unaweza kunieleza ishu ya Zitto ilikuaje? Mbona alifukuzwa Chadema, akaenda mahakamani akaendelea kua mbunge, ilikuaje hapo?Ukihukumiwa adhabu haisimami kwa kuomba rufaa, are you informed of that?
Weka picha inayowaonyesha wakiwa wamegomawalipewa ruhusa ya kujitetea kwenye KK wakagoma kwenda.
Kwahiyo hata ukifumaniwa lazima rais ahusishwe.Si ni Rais wa nchi yetu au?!!!
Ngawira....Hawa watu hasa huyu Mdee bado sijajua kwanini walikubali kudanganyika wakasaliti maamuzi ya chama chao.
Kinachomkuta sasa hivi hakuna yeyote mwanye akili atakayemuelewa na utetezi wake, walipewa ruhusa ya kujitetea kwenye KK wakagoma kwenda.
Kile kiburi walichoonesha pale ndio ulikuwa uhuni wenyewe, na ule uhuni ndio umeleta hii hasira kwa wajumbe wa Baraza Kuu kuwachinjia baharini kwa kura zakutosha toka kwenye kila kanda.
Kama walikuwa na nafasi ya kuomba msaha ilikuwa wakati ule, pale anagalau wangeweza kusikilizwa, lakini kugoma kwao kwenda kwa kisingizia cha kitoto "usalama wao" 'ile ilikuwa ni dharau kwa wajumbe wa KK.
Hakuna mjumbe kichaa wa KK wa kuwafanyia fujo, wamevuna walichopanda, sasa waende mahakamani kama wakipenda, ingawa naamini wanajua hata huko mahakamani hawatavuna heshima yoyote, simply wameshapotea.
Picha ipi tena? kama waligoma kwenda wakajifungia vyumbani kwao ulitaka niende kuwapigia huko? wewe uliwaona kwenye KK wakijitetea? naona bado umelewa usingizi endelea kulala.Weka picha inayowaonyesha wakiwa wamegoma
Kwahiyo hata ukifumaniwa lazima rais ahusishwe.
Dar es Salaam. Aliyekuwa mwanachama wa Chadema, Halima Mdee amesema hakukuwa na uhuru kwa wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho katika upigaji wa kura na kwamba, kilichofanyika ndani ya Baraza hilo ni uhuni.
Matokeo ya jumla
Idadi ya wajumbe 423
Waliokubalina na maamuzi ya Kamati ya kuwafukuza Uanachama ni 413 sawa 97.6%
Wasiokubaliana na uamuzi wa Kamati kuu ni 5 sawa na 1.2%
Wasiofungamana na upande wowote ni 5 sawa na 1.2%
Weka picha inayowaonyesha wakiwa wamegoma
Wakienda mahakamani hawatalipwa tena na bunge, mpaka labda washinde kesi ndio watalipwa malimbikizo yao ya mishahara! ni sawa na kufukuzwa kazi, ukipinga mahakamani hulipwi mshahara mpaka ushinde kesi....Mkuu, unatakiwa kujua kua mahakama ndie muamuzi wa mwisho kwenye jambo lolote nchi hii.
Kwa hiyo wana haki ya kwenda mahakamani wakitaka. Kumbuka ishu ya Zitto.
Nachokisema, inawezekana mahakama ikakubaliana na uamuzi wa chadema 100% na hilo halina ubishi.
Ila kwa kitendo cha kwenda mahakamani, wanafanya mchezo wa kuchelewesha ama delaying techniques. Kwa hiyo hata Bunge haliwezi kuwafukuza maana bado ni wanachama hadi mahakama itoe majibu, tayari huo muda unakua umeenda na kama ni vikao vya bunge 2 ama 3 wnaakua wamekula hela zetu.
Tusubiri tuangalie.
Anajiona yeye ana akili kuwazidi wote, hata wenzake 18 kawaponza yeye kwa kujifanya anajua kila kitu, nayo yalivyo mazuzu yakamwamini.Huyu akili Hana,watu 357 wakukstae harafu unasema ni wahuni,!!!?huyu Binti hajafundwa kabisa!!
Huu uamuzi kama ukifanyika ndio unaenda kuwa mwanzo wa tatizo jingine, hapa zitakuja assumptions za kila aina toka kwa maadui wa Chadema.Sasa tunasubiria majina ya hao 19 wa mbadala hapo chadema wasije wakaleta kutafutiana ulaji