The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Akihojiwa leo na kituo cha redio kuhusu changamoto za upinzani amesema kwamba wapinzani nchini wana changamoto nyingi sana zinazowakosesha kuaminika kwa wananchi licha ya wananchi kuichoka ccm.
Amesema wananchi wanshindwa kutuelewa kozi hatuna sera mbadala ukiacha suala la katiba ambalo tumeonyesha tofauti ila kwenye mambo mengi kama ajira Kwa vijana umoja wa wapinzani hapa tunakwama sana.
Kuhusu spika wa bunge amesifu kuwa spika tulia ni spika Bora sana anayefanya kazi yake Kwa weledi mkubwa.
Amesema wananchi wanshindwa kutuelewa kozi hatuna sera mbadala ukiacha suala la katiba ambalo tumeonyesha tofauti ila kwenye mambo mengi kama ajira Kwa vijana umoja wa wapinzani hapa tunakwama sana.
Kuhusu spika wa bunge amesifu kuwa spika tulia ni spika Bora sana anayefanya kazi yake Kwa weledi mkubwa.