Halima na wenzake 18 kuambatana na Rais Samia mkutano wa BAWACHA?

Halima na wenzake 18 kuambatana na Rais Samia mkutano wa BAWACHA?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Najaribu kufikiri kwa kina kuhusu maamuzi haya mawili.

Moja ni uamuzi wa chadema kupokea ruzuku inayotokana na wabunge haramu (covid-19). Tafsiri ya uamuzi huu ni kwamba Sasa chadema inawakubali na kuwatambua rasmi covid-19.

Je, Halima Mdee na wenzake wakiomba kuhudhuria kongamano wataruhusiwa? Au kama wataambatana na mhe rais Samia watazuiwa?

Na la pili ni uamuzi wa kumkaribisha rais Samia kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la BAWACHA.

Natambua kwamba siasa siyo ugomvi lkn haijakaa njema sana kumkaribisha mtu wa mrengo tofauti kuja kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano ambalo tunaamini litakuwa likifanya tafakuri za kina namna ya kukiondoa chama cha huyo mgeni rasmi madarakani. Sasa si mgeni rasmi ataondoka na siri za mikakati ya chadema.??
 
Mkuu, hiyo ni siku ya wanawake duniani na sio siku ya wanawake wa Chadema.

Hivyo kongamano hilo ni kujadili mambo ya wanawake wa Dunia na wa hapa TZ kwa ujumla, sio wanawake wa Chadema ndio maana makongamano ya aina hiyo miaka yote wanawaalika wanawake na sio wana Bawacha pekee.

Rais amealikwa kama Rais Samia wa Tanzania sio kama mwenyekiti wa CCM hivyo tusi complicate mambo kama vile tuko DRC mashariki.

Kuhusu hilo la covid 19 kuja mbona halihusiani na ya Rais na kongamano?
 
Mkuu, hiyo ni siku ya wanawake duniani na sio siku ya wanawake wa Chadema.
Hivyo kongamano hilo ni kujadili mambo ya wanawake wa Dunia na wa hapa TZ kwa ujumla, sio wanawake wa Chadema ndio maana makongamano ya aina hiyo miaka yote wanawaalika wanawake na sio wana Bawacha pekee.
Rais amealikwa kama Rais Samia wa Tanzania sio kama mwenyekiti wa CCM hivyo tusi complicate mambo kama vile tuko DRC mashariki.
Kuhusu hilo la covid 19 kuja mbona halihusiani na ya Rais na kongamano?
Dah Taifa Lina siasa za ajabu Sana hili ,,hivi bro Chakaza una unga mkono hili suala kutoka moyoni,, ??? Hapo nguvu ya mwenyekiti imetumika TU hamna mtu makini utamzugisha kihivyo,,,

Msabato huwezi kumualika kwenye ibada ya mlokole akaja ..na ndio maana kila mtu ana Jambo na miongozo anayoiamini..

Mchungaji Kimaro hawezi kualikwa kuja kusalisha msikitini Never .... Huo utakuwa unafiki TU..

Sisi wananchi licha ya kuwa wengi wetu Ni Vilaza lakini tunaamini hakuna UPINZANI wa maana Taifa hili.. Asali imeanza kuwatoa akili,, hiyo Hoja ya kuwa eti siasa sio Uadui subiri 2025..Uzuri ccm Ni ileile ...

Na sitokuja kusimama kumpigia mwanasiasa mwafrika Kura Yangu.
 
Dah Taifa Lina siasa za ajabu Sana hili ,,hivi bro Chakaza una unga mkono hili suala kutoka moyoni,, ??? Hapo nguvu ya mwenyekiti imetumika TU hamna mtu makini utamzugisha kihivyo,,,

Msabato huwezi kumualika kwenye ibada ya mlokole akaja ..na ndio maana kila mtu ana Jambo na miongozo anayoiamini..

Mchungaji Kimaro hawezi kualikwa kuja kusalisha msikitini Never .... Huo utakuwa unafiki TU..

Sisi wananchi licha ya kuwa wengi wetu Ni Vilaza lakini tunaamini hakuna UPINZANI wa maana Taifa hili.. Asali imeanza kuwatoa akili,, hiyo Hoja ya kuwa eti siasa sio Uadui subiri 2025..Uzuri ccm Ni ileile ...

Na sitokuja kusimama kumpigia mwanasiasa mwafrika Kura Yangu.
Chakaza analamba pia mkuu hahahaha
 
Dah Taifa Lina siasa za ajabu Sana hili ,,hivi bro Chakaza una unga mkono hili suala kutoka moyoni,, ??? Hapo nguvu ya mwenyekiti imetumika TU hamna mtu makini utamzugisha kihivyo,,,

Msabato huwezi kumualika kwenye ibada ya mlokole akaja ..na ndio maana kila mtu ana Jambo na miongozo anayoiamini..

Mchungaji Kimaro hawezi kualikwa kuja kusalisha msikitini Never .... Huo utakuwa unafiki TU..

Sisi wananchi licha ya kuwa wengi wetu Ni Vilaza lakini tunaamini hakuna UPINZANI wa maana Taifa hili.. Asali imeanza kuwatoa akili,, hiyo Hoja ya kuwa eti siasa sio Uadui subiri 2025..Uzuri ccm Ni ileile ...

Na sitokuja kusimama kumpigia mwanasiasa mwafrika Kura Yangu.
Hivi unafahamu kuwa Papa alipoenda Uturuki aliendesha misa ndani ya msikiti?

ISTANBUL—Pope Francis further demonstrated his commitment to improving relations between Christians and Muslims on Saturday, as he prayed in Istanbul's historic Blue Mosque and visited the Hagia Sophia—two powerful symbols of the Muslim and Christian faiths.29 Nov 2014
 
Najaribu kufikiri kwa kina kuhusu maamuzi haya mawili.

Moja ni uamuzi wa chadema kupokea ruzuku inayotokana na wabunge haramu (covid-19). Tafsiri ya uamuzi huu ni kwamba Sasa chadema inawakubali na kuwatambua rasmi covid-19.

Je, Halima Mdee na wenzake wakiomba kuhudhuria kongamano wataruhusiwa? Au kama wataambatana na mhe rais Samia watazuiwa?

Na la pili ni uamuzi wa kumkaribisha rais Samia kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la BAWACHA.

Natambua kwamba siasa siyo ugomvi lkn haijakaa njema sana kumkaribisha mtu wa mrengo tofauti kuja kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano ambalo tunaamini litakuwa likifanya tafakuri za kina namna ya kukiondoa chama cha huyo mgeni rasmi madarakani. Sasa si mgeni rasmi ataondoka na siri za mikakati ya chadema.??
Ruzuku za vyama vya siasa hazitolewi kwa sababu ya wabunge wa viti maalum
 
Hivi unafahamu kuwa Papa alipoenda Uturuki aliendesha misa ndani ya msikiti?

ISTANBUL—Pope Francis further demonstrated his commitment to improving relations between Christians and Muslims on Saturday, as he prayed in Istanbul's historic Blue Mosque and visited the Hagia Sophia—two powerful symbols of the Muslim and Christian faiths.29 Nov 2014
Bams elewa tusemacho hapa ,
Dini Ni imani na siasa Ni imani hivyo miongozo ktk hizo imani haichangamani ht km pasiwepo Uadui..

Mlokole huwezi kumpeleka usabatoni kusali,muislamu haamini kusalishwa na mkristo na itabaki dumu daima hivyohivyo..

Ccm hawaamini katka kutawaliwa na ndio maana ikifika kipindi Cha uchaguzi rangi Yao halisi huiweka wazi,,,,..
Bawacha kumwalika mwanaccm Ni ishara ya baraka za mwenyekiti aliyelewa Asali ...

Ccm haiwezi kumualika mpinzani labda kwenye kumuapisha Rais wa ccm.

HUTAKI ACHA..Asali imekolezwa
 
Najaribu kufikiri kwa kina kuhusu maamuzi haya mawili.

Moja ni uamuzi wa chadema kupokea ruzuku inayotokana na wabunge haramu (covid-19). Tafsiri ya uamuzi huu ni kwamba Sasa chadema inawakubali na kuwatambua rasmi covid-19.

Je, Halima Mdee na wenzake wakiomba kuhudhuria kongamano wataruhusiwa? Au kama wataambatana na mhe rais Samia watazuiwa?

Na la pili ni uamuzi wa kumkaribisha rais Samia kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la BAWACHA.

Natambua kwamba siasa siyo ugomvi lkn haijakaa njema sana kumkaribisha mtu wa mrengo tofauti kuja kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano ambalo tunaamini litakuwa likifanya tafakuri za kina namna ya kukiondoa chama cha huyo mgeni rasmi madarakani. Sasa si mgeni rasmi ataondoka na siri za mikakati ya chadema.??
Tarehe 8 March ni siku ya wanawake duniani na siyo ya Bawacha,Halima Mdee na wenzake 18 ni wanawake hivyo uasi wao Chadema hauwaondolei uanawake wao.
 
Kwa hali waliyokuwa nayo chadema na kuanza kuimarika kwa ACT wazalendo karata ya kuiinua chadema upya ilihitaji/inahitaji akili na maarifa sana
Lakini pia chadema kimefikia ukomo wa upinzani Sasa kinakuwa Chama kishiriki hii hali iliikuta nccr,cuf na Sasa chadema
Uhai wa Chama Cha upinzani huwa ni vipindi vinne TU kama hakijachukua nchi basi hugeuka Cha shiriki
 
Dah Taifa Lina siasa za ajabu Sana hili ,,hivi bro Chakaza una unga mkono hili suala kutoka moyoni,, ??? Hapo nguvu ya mwenyekiti imetumika TU hamna mtu makini utamzugisha kihivyo,,,

Msabato huwezi kumualika kwenye ibada ya mlokole akaja ..na ndio maana kila mtu ana Jambo na miongozo anayoiamini..

Mchungaji Kimaro hawezi kualikwa kuja kusalisha msikitini Never .... Huo utakuwa unafiki TU..

Sisi wananchi licha ya kuwa wengi wetu Ni Vilaza lakini tunaamini hakuna UPINZANI wa maana Taifa hili.. Asali imeanza kuwatoa akili,, hiyo Hoja ya kuwa eti siasa sio Uadui subiri 2025..Uzuri ccm Ni ileile ...

Na sitokuja kusimama kumpigia mwanasiasa mwafrika Kura Yangu.
Mkuu narudia tena, IWD sio siku ya wanawake wa Chadema Bawacha kujadili kuing'oa CCM au wale wa CCM KUSHINDA uchaguzi ujao.
Malengo ya IWD 2023 yameainishwa hapa chini na sio vinginevyo. Hivyo sidhani kama wanawake wa Chadema na CCM katika maisha ya kawaida wanaugomvi, wao katika siasa ndipo wana itikadi tofauti tuu ambazo zinashindaniwa na hoja tuu.
Hivi mahali ambapo binti ni mfuasi wa Chadema na mama mzazi ni CCM mnataka hata kusalimiana kusiwepo? Wala kushirikiana?
Huko siko, this is not politics but war!


 
Najaribu kufikiri kwa kina kuhusu maamuzi haya mawili.

Moja ni uamuzi wa chadema kupokea ruzuku inayotokana na wabunge haramu (covid-19). Tafsiri ya uamuzi huu ni kwamba Sasa chadema inawakubali na kuwatambua rasmi covid-19.

Je, Halima Mdee na wenzake wakiomba kuhudhuria kongamano wataruhusiwa? Au kama wataambatana na mhe rais Samia watazuiwa?

Na la pili ni uamuzi wa kumkaribisha rais Samia kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la BAWACHA.

Natambua kwamba siasa siyo ugomvi lkn haijakaa njema sana kumkaribisha mtu wa mrengo tofauti kuja kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano ambalo tunaamini litakuwa likifanya tafakuri za kina namna ya kukiondoa chama cha huyo mgeni rasmi madarakani. Sasa si mgeni rasmi ataondoka na siri za mikakati ya chadema.??

CHADEMA wangefanya maamuzi hayo bila mardhiano, ningewaona waajabu. Kwenye maridhiano Kuna makubaliano yanafanyika ya Siri au ya wazi. Ingawa shida sio CHADEMA Bali CCM haiamininki.
 
Kwa hali waliyokuwa nayo chadema na kuanza kuimarika kwa ACT wazalendo karata ya kuiinua chadema upya ilihitaji/inahitaji akili na maarifa sana
Lakini pia chadema kimefikia ukomo wa upinzani Sasa kinakuwa Chama kishiriki hii hali iliikuta nccr,cuf na Sasa chadema
Uhai wa Chama Cha upinzani huwa ni vipindi vinne TU kama hakijachukua nchi basi hugeuka Cha shiriki

ACT imeimarika wapi?. Pemba? Bila Maalim kuhamia ACT Hali ingekuwaje?. Kama Magufuli alishindwa kuiua CHADEMA, unategemea nani ataweza?.
 
Bams elewa tusemacho hapa ,
Dini Ni imani na siasa Ni imani hivyo miongozo ktk hizo imani haichangamani ht km pasiwepo Uadui..

Mlokole huwezi kumpeleka usabatoni kusali,muislamu haamini kusalishwa na mkristo na itabaki dumu daima hivyohivyo..

Ccm hawaamini katka kutawaliwa na ndio maana ikifika kipindi Cha uchaguzi rangi Yao halisi huiweka wazi,,,,..
Bawacha kumwalika mwanaccm Ni ishara ya baraka za mwenyekiti aliyelewa Asali ...

Ccm haiwezi kumualika mpinzani labda kwenye kumuapisha Rais wa ccm.

HUTAKI ACHA..Asali imekolezwa

Leo Rais amekuwa wa CCM pekee?. Naona CHADEMA wamewachanganya Sana, hamjui mshike lipi?
 
Back
Top Bottom