hahaaa don be scared najua sitamfikia kwa ukatili mweeeeh!!!
ila huyo shangazi nadhani ningefunga naye chapter by now....QUOTE]kumbe sometimes nawe mbabe eeh
hapa na kubaliana na wewe, hakuna sababu Annina hakose usingizi kwa kuogopa kijana wake night atahama kitanda na kuhamia kwa shangazi yake wakati yeye anakoroma....mwisho wa siku anaona kitumbo cha shangazi mbele ndio atalia na kusaga meno
kwenye changu mimi ni mbabe always wala sitanii hapa.......nakwambia wala asingethubutu hata ku-imagine kuwa anashangazi kule anakokwenda kufanyia internship!!!!!
anaything is possible with such a shameless shangazi, sasa kuepuka balaa jingine asimpe nafasi ya kurudia kosa (ili ndo aonekane kakosea sasa)
mpotezeee mwambie atafute kivyake kwani wewe ndo ulimpangia kuja huko??