Haliniishi moyoni...

Haliniishi moyoni...

Asanteni sana kwa maoni yenu, ukweli nimefarijika baada ya kusoma mabandiko yenu. Najitahidi sana na kumuomba Mungu ili niweze kusamehe na kusahau maana hata mimi si mkamilifu - nimewahi na naendelea kuwakwaza wengine kwa namna moja au nyingine.

Tatizo si tu kumpokea na kuishi nae kwa muda atakaokuwa huku, tatizo ni kwamba mimi na yeye kwa sasa ni strangers - katika kipindi cha miaka 3 ndio tumewasiliana kwa mara ya kwanza , najiuliza tutaishije. Sina tatizo na mchumba wangu najua ana akili timamu na utashi, wasiwasi wangu ni namna tutakavyoishi - mimi nikiwa na mtazamo hasi juu yake na yeye akijitahidi kuthibitisha vinginevyo! kitu kingine ni kwamba anaonekana kujali masilahi yake zaidi - yuko tayari kufanya lolote ili yake yatimie (kuna alichokuwa anataka toka kwa yule kijana na alifanikiwa), kwa tabia hii kuna uwezekano mkubwa hata asiponiharibia mimi (naamini atajitahidi ktk hili) anaweza kuharibu kwa watu ninaofahamiana nao na kuwa kama ndugu zangu huku ugenini.

Kuhusu nafasi siwezi kumdanganya kwamba naishi kwa single room maana wengi toka huko wamewahi kufikia kwangu kwahiyo atakuwa na taarifa za kutosha. Kwa kifupi maswali mengi...

Asanteni sana kwa kunitia moyo, Mungu awabariki

Annina
 
Asanteni sana kwa maoni yenu, ukweli nimefarijika baada ya kusoma mabandiko yenu. Najitahidi sana na kumuomba Mungu ili niweze kusamehe na kusahau maana hata mimi si mkamilifu - nimewahi na naendelea kuwakwaza wengine kwa namna moja au nyingine.

Tatizo si tu kumpokea na kuishi nae kwa muda atakaokuwa huku, tatizo ni kwamba mimi na yeye kwa sasa ni strangers - katika kipindi cha miaka 3 ndio tumewasiliana kwa mara ya kwanza , najiuliza tutaishije. Sina tatizo na mchumba wangu najua ana akili timamu na utashi, wasiwasi wangu ni namna tutakavyoishi - mimi nikiwa na mtazamo hasi juu yake na yeye akijitahidi kuthibitisha vinginevyo! kitu kingine ni kwamba anaonekana kujali masilahi yake zaidi - yuko tayari kufanya lolote ili yake yatimie (kuna alichokuwa anataka toka kwa yule kijana na alifanikiwa), kwa tabia hii kuna uwezekano mkubwa hata asiponiharibia mimi (naamini atajitahidi ktk hili) anaweza kuharibu kwa watu ninaofahamiana nao na kuwa kama ndugu zangu huku ugenini.

Kuhusu nafasi siwezi kumdanganya kwamba naishi kwa single room maana wengi toka huko wamewahi kufikia kwangu kwahiyo atakuwa na taarifa za kutosha. Kwa kifupi maswali mengi...

Asanteni sana kwa kunitia moyo, Mungu awabariki

Annina
live your life Annina!maisha yenyewe mafupi haya.mkaribishe tu
 
Asanteni sana kwa maoni yenu, ukweli nimefarijika baada ya kusoma mabandiko yenu. Najitahidi sana na kumuomba Mungu ili niweze kusamehe na kusahau maana hata mimi si mkamilifu - nimewahi na naendelea kuwakwaza wengine kwa namna moja au nyingine.

Tatizo si tu kumpokea na kuishi nae kwa muda atakaokuwa huku, tatizo ni kwamba mimi na yeye kwa sasa ni strangers - katika kipindi cha miaka 3 ndio tumewasiliana kwa mara ya kwanza , najiuliza tutaishije. Sina tatizo na mchumba wangu najua ana akili timamu na utashi, wasiwasi wangu ni namna tutakavyoishi - mimi nikiwa na mtazamo hasi juu yake na yeye akijitahidi kuthibitisha vinginevyo! kitu kingine ni kwamba anaonekana kujali masilahi yake zaidi - yuko tayari kufanya lolote ili yake yatimie (kuna alichokuwa anataka toka kwa yule kijana na alifanikiwa), kwa tabia hii kuna uwezekano mkubwa hata asiponiharibia mimi (naamini atajitahidi ktk hili) anaweza kuharibu kwa watu ninaofahamiana nao na kuwa kama ndugu zangu huku ugenini.

Kuhusu nafasi siwezi kumdanganya kwamba naishi kwa single room maana wengi toka huko wamewahi kufikia kwangu kwahiyo atakuwa na taarifa za kutosha. Kwa kifupi maswali mengi...

Asanteni sana kwa kunitia moyo, Mungu awabariki

Annina
Annina, follow what your heart tells you to do.
 
Asanteni sana kwa maoni yenu, ukweli nimefarijika baada ya kusoma mabandiko yenu. Najitahidi sana na kumuomba Mungu ili niweze kusamehe na kusahau maana hata mimi si mkamilifu - nimewahi na naendelea kuwakwaza wengine kwa namna moja au nyingine.

Tatizo si tu kumpokea na kuishi nae kwa muda atakaokuwa huku, tatizo ni kwamba mimi na yeye kwa sasa ni strangers - katika kipindi cha miaka 3 ndio tumewasiliana kwa mara ya kwanza , najiuliza tutaishije. Sina tatizo na mchumba wangu najua ana akili timamu na utashi, wasiwasi wangu ni namna tutakavyoishi - mimi nikiwa na mtazamo hasi juu yake na yeye akijitahidi kuthibitisha vinginevyo! kitu kingine ni kwamba anaonekana kujali masilahi yake zaidi - yuko tayari kufanya lolote ili yake yatimie (kuna alichokuwa anataka toka kwa yule kijana na alifanikiwa), kwa tabia hii kuna uwezekano mkubwa hata asiponiharibia mimi (naamini atajitahidi ktk hili) anaweza kuharibu kwa watu ninaofahamiana nao na kuwa kama ndugu zangu huku ugenini.

Kuhusu nafasi siwezi kumdanganya kwamba naishi kwa single room maana wengi toka huko wamewahi kufikia kwangu kwahiyo atakuwa na taarifa za kutosha. Kwa kifupi maswali mengi...

Asanteni sana kwa kunitia moyo, Mungu awabariki

Annina

Pole sana ndugu yangu,na hapa ndipo mimi usema Growing is frustrating process.Naweza kuhisi hali uliyonayo,If you can say NO to her,I think will be better for your sake and for the sake of the relationship btn you and your aunt.Kwa sababu naamini kama utamkaribisha na akaharibu kama unavyofikiria sidhani kama mtasalimiana tena which is more worse than anything.Say No to her Please.
 
Aninna mpe nafasi nyingine anti yako wajua ,kama atarudia kufanya vitendo vyake vya kishenzi na mchumba wako jua mchumba wako hana mapenzi na msimamo juu yako kwani anapaswa ajisimamie na kushindana na tamaa za mwili wake,msameheane na muendelee na maisha yenu mapya
 
My dia sista. I am not a pessimist, but being realistic ina maana kawaida history repeats itself. Mara ya kwanza waliokutenda shame on them, lkn ukiruhusu mara ya pili ni shame on you.

I have done same mistakes and I am paying dearly. Forgiveness is divine, lkn it will not mean you have not forgiven them if you keep distance...save your heart from hating or repeating a mistake.
 
huyo shangazi mpe email yangu kwa kweli...
wanawake wenye CENSORED za ovyo ovyo mi napenda nikae nao karibu...
honestly...........
 
huyo shangazi mpe email yangu kwa kweli...
wanawake wenye xxxxxxxx za ovyo ovyo mi napenda nikae nao karibu...
honestly...........

The BOSS in his true colours 🙂
 
...Sasa shangazi amepata internship huku niliko, ameniandikia anaomba niwe mwenyeji wake nimhifadhi kwa miezi 9 atakayokuwa huku, nashindwa nimjibu nini maana bado sijasahau yaliyotokea, nahofia anaweza kufanya jambo jingine hata kama sio kutoka na mchumba wangu maana anaonyesha kutojali masilahi ya wengine. Nabaki najiuliza nifumbe macho nimpokee? Nitaweza kuzuia hisia zangu kwake kwa kipindi chote hicho? Ushauri tafadhali.

Asanteni sana,

Annina

...'damu nzito kuliko maji,'
wote walikukosea lakini Boyfriend wako ndio anastahili kubeba lawama kubwa zaidi, alipaswa kujizuia!
Life goes on,...shangazi yako ataendelea kubaki nduguyo mpaka mwisho wa maisha.

Mkaribishe.
 
Annina unajua maana ya kusamehe?
Kama unajua maana yake na kweli umemsamehe basi mkaribishe shangazi yako.

Annina unamwamini mchumba wako?
Kama unamwamini mchumba wako basi mkaribishe shangazi yako.

Pia kusamehe ni therapy kubwa sana katika kusaidia kusahau uliyotendewa na mkosaji wako, vinginevyo utaishi na kinyongo kwa miaka mingi sana kitu ambacho si kizuri health wise.
 
Pia kusamehe ni therapy kubwa sana katika kusaidia kusahau uliyotendewa na mkosaji wako, vinginevyo utaishi na kinyongo kwa miaka mingi sana kitu ambacho si kizuri health wise.
Kwa kuwa amekiri kuwa alishawasamehe hakuna haja ya kukumbuka yaliyopita kama.
Kama unauwezo wa kumsaidia basi msaidie kama hauna mwambie ukweli kuwa sina sehemu ya kukuhifadhi na ukampatia mawazo mbadala ya nini anaweza akafanya ili apate sehemu ya kuishi.Ndugu ni ndugu hata kama ni mchawi..
 
Pia kusamehe ni therapy kubwa sana katika kusaidia kusahau uliyotendewa na mkosaji wako, vinginevyo utaishi na kinyongo kwa miaka mingi sana kitu ambacho si kizuri health wise.
Asante Baba Mkubwa, bonge la pointi hili, ingawa kusamehe na kusahau ni mitihani migumu kuliko yote maishani mwa binadamu
 
Habari za siku mingi wapendwa, nina wakati mgumu naomba mawazo yenu katika hili. Kwa kifupi shangazi yangu yaani dada wa baba yangu alitoka na boyfriend wangu wa kwanza. Hawakuwa wakifahamiana kabla, niliwatambulisha na sababu shangazi alikuwa kwa kiasi fulani karibu na mimi akazoeana na yule kijana. Ikatokea wakakutana SA wakaanza kuwasiliana na kutembeleana mwisho wa siku wakawa wapenzi! Waliporudi shangazi alijikausha, hakuniambia kwamba walikutana na kijana SA, kijana akaniambia walikutana briefly.

Miezi 2 baadae kijana alitukutanisha mimi na shangazi na akaniambia hawezi kuvumilia tena maana nafsi yake inamsuta kwa hiyo inabidi aniambie ukweli kuwa walikutana na shangazi walipokuwa SA na wakafanya waliyoyafanya, anajutiana tendo hilo na anaomba nimsamehe. Alijitahidi sana kuonyesha kujutia na kuomba msamaha kwa njia na lugha zote lakini kwangu ilikuwa ngumu kusamehe na kusahau - pengine nilikuwa bado mdogo kipindi hicho kuweza kuhimili na kukabiliana na masuala (sio matukio!) mazito kiasi hiki. Na huo ulikuwa mwanzo wa mwisho wa mahusiano yangu na kijana niliempenda na kuamini ananipenda pia.

Ni miaka 3 sasa toka tukio hili litokee, lakini kila mara nimejikuta narudia kuwaza na machungu yananijia upya... kimsingi nimewasemehe wote ingawa kwa huyu kijana bado siwezi hata kupokea salam yake... shangazi tumewahi kukutana mara moja kwenye kikao cha familia - aliniomba radhi na akaniomba yasifike kwa familia.

Sasa shangazi amepata internship huku niliko, ameniandikia anaomba niwe mwenyeji wake nimhifadhi kwa miezi 9 atakayokuwa huku, nashindwa nimjibu nini maana bado sijasahau yaliyotokea, nahofia anaweza kufanya jambo jingine hata kama sio kutoka na mchumba wangu maana anaonyesha kutojali masilahi ya wengine. Nabaki najiuliza nifumbe macho nimpokee? Nitaweza kuzuia hisia zangu kwake kwa kipindi chote hicho? Ushauri tafadhali.

Asanteni sana,

Annina

Pole mpendwa,

Mi nakushauri umkaribishe na wala usisite kumtambulisha kwa mchumba wako.Huu ndo utakua muda muafaka wakuwapima wote....kama ikitokea akarudia tena hicho kitendo utajua kwamba hana nia nzuri na wewe, maana mara yakwanza inaweza kuwa ilitokea tu kwa bahati mbaya ila mara ya pili haina utetezi zaidi ya makusudi.Pia utajua na huyo mchumba nae hajatulia hivyo hakufai.

Kila la Heri.
 
Miezi 9 ni mingi sana kukaa na atu ambaye alishakukwaza na hujaweza kusahau alilokutenda. na ukizingatia kwa sasa huna kabisa imani naye, ingekuwa kwa siku kadhaa ungeweza kupretend na hata kumwambia huyo mchumba asije kwako mpaka shangazi aondoke. wewe mwambie ukweli shangazi yako kuwa huwezi kukaa naye sababu aliyokutendea. na umwambie ukweli kuwa unamchumba na usingependa akutane naye sababu humwamini tena kwa masuala ya wakaka. kama anahitaji msaada wako basi umtafutie sehemu nyingine ya kufikia, tena iwe mbali na unapokaa ili awe anapiga mahesabu mara mbili mbili kila anapofikiria kuja kukutembelea. yeye si analipwa kwa hiyo internship? kwa nini anataka mbabane?
 
Pole mpendwa,

Mi nakushauri umkaribishe na wala usisite kumtambulisha kwa mchumba wako.Huu ndo utakua muda muafaka wakuwapima wote....kama ikitokea akarudia tena hicho kitendo utajua kwamba hana nia nzuri na wewe, maana mara yakwanza inaweza kuwa ilitokea tu kwa bahati mbaya ila mara ya pili haina utetezi zaidi ya makusudi.Pia utajua na huyo mchumba nae hajatulia hivyo hakufai.

Kila la Heri.

LilSun, mambo mengine siyo ya kuyafanyia majaribio. wachumba wenyewe walivyopotea siku hizi eti unapata unayempenda unaamua kumfanyia majaribio? kama hakufai utajua tu lakini sio kwa kumletea kishawishi ili umpime.
 
LilSun, mambo mengine siyo ya kuyafanyia majaribio. wachumba wenyewe walivyopotea siku hizi eti unapata unayempenda unaamua kumfanyia majaribio? kama hakufai utajua tu lakini sio kwa kumletea kishawishi ili umpime.

Nia yangu sio kumjaribu yeyote, ila amkaribishe akiwa anaamini kwamba shangazi kabadilika na mchumba anaaminika.Kama hajabadilika na mchumba nae akamwangukia shangazi kwake itakua ni bahati mbaya yenye faida maana atapata kujua hawezi kumwamini yeyote kati yao.
 
Duh pole bibie, from my perspective its simple amd short.... usimkaribishe huyo nyoka! ni internship za nini ashazeeka huyo....mscheeeeww! and for your benefit...it doesnt pay at all to hold a grudge....u've got to forgive and try to forget....it will cause u more pain if you dont...wenzako wenyewe maisha yao yanasonga mbele..... why shd u put yours on hold....stop living in the past...dont le the past crawl into your now!!!
 
Pole sana Annina,

Ulishaamua kumsamehe shangazi yako, sahau aliyokutendea.

Kumbuka aliyafanya yale akiwa huko SA, boyfrend wako akiwa SA na wewe ukiwa wherever (not SA i suppose0. Case hapa itakuwa tofauti cause atakuwa kwako (utakuwepo), unless kama ni ugonjwa wake.

Mkaribishe na mkumbushe aliyoyafanya, na umuonye. Mueleze kwamba ulishamsamehe ila ni ktk kuwekana sawa asiharibu tena na akiona mchumba wako anamfatilia (in case alitumia excuse kwamba boyfiend wako ndio alimfuata while in SA), akiona dalili zozote za namna hiyo basi akujulishe utajua namna ya kuhandle case hiyo.

Of course una haki ya kukataa asifikie kwako. Lakini here you are, binadamu na una nafsi, anaweza pata sehemu ingine (for sure), lakini je, utakuwa na Amani moyoni kwamba umemkatalia kufikia kwako?

What if usipomkaribisha kwako, and in the end huo uchumba unaojaribu kuurescue ukavunjika kwa namna ingine kabisa? (Siombei itokee dear).

hapa ni kukushauri tu, nafasi kubwa ipo kwako wewe kama wewe. Sikiliza na ufuate kile moyo wako unakutuma.

'Beautiful world, wonderful people".
 
Ndugu, kama ingelikuwa huyu shangazi alikutenda hilo kwa Mme wako ningesema mfungie vioo na ziba masikio lakini kwa vile alikuwa ni ka-boyfriend tu pengine aliona no big deal! mapenzi ya kitoto afterall they come and go!
Kuna umuhimu wa kuzingatia kabla ya kufanya maamuzi yako, kwanza ni kiwango gani upo karibu na huyo Aunt yako?(are you bonded?) Jee ana mchango ama nafasi gani kwako binafsi na katika familia yenu?
Kumbuka as long as you are not married hakuna commitment yoyote baina yako na huyu mchumba na lolote laweza kutokea na ikaishia kila mmoja akaenda upande wakwake.
Lakini blood is thicker than water, shangazi yako ni damu yako na nina imani she will always be there, waswahili tunasema mvua jua.
Nakupa changamoto fikiria scenario hii: Umepata ajali bahati mbaya umekatika miguu na kupata ulemavu jee huyu mchumba wako bado ataendelea na mipango ya harusi ama ataenda kutafuta mwenye miguu yake? Jee Shangazi nae atasepa ama atakuwepo nawe kukupa support? usipofushwe na mapenzi kabla ya ndoa. Trust me your aunt is valued more than this guy/fiance at least for now.
Until you get married for real and share commitment with your guy/fiance and gained his trust nasema usiriski undugu wako na shangazio na mkaribishe.
 
Back
Top Bottom