Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

Halmashauri inayofuata kuwa jiji la 7 Tanzania ni


  • Total voters
    118
  • Poll closed .
Njombe
 
Kahama haina miundombinu.. Lakini katika nchi nzima ndio mji pekee pamoja na ukuaji wa haraka, Manispaa imejitahidi Ku maintain access kwa taratibu za kimipango miji.

Squatter kahama ni chini ya asilimia 10-15 tuu.. Ukilinganisha na miji mingine mikubwa nchini
 
Halmashauri ndio hupewa hadhi hizo wilaya hubaki Kama zilivyo...ndio maana meya wa jiji NI mkuu wa madiwani..madiwani huunda halmashauri..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…