Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Morogoro yenye Tubuyu...!Kuna Vumbi la Kasuru....Morogoro ilipaswa iwejijikabla hata yaDOdoma moro inasifazote
Mbeya nayo,,Jiji zima limejipanga kwenye Barabara ya Tunduma ....Mbeya ni Kijiji kikubwa😂😂😂
By JF member
Kabla ya 2030.Morogoro itakuwa Jiji maana ndio Ina vigezo stahiki Kwa Sasa.Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
- Dar es Salaam
- Mwanza
- Tanga
- Mbeya
- Arusha
- Dodoma
Manispaa/Miji hiyo ni,
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?
- KINONDONI
- SONGEA
- KIBAHA
- MOROGORO
- BUKOBA
- KAHAMA
- IRINGA
- NJOMBE
- MOSHI
- SUMBAWANGA
KUMBUKA
- Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
- Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
- Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
- Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
- Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
- Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,
Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
- Halmashauri ya Wilaya
- Halmashauri ya mji mdogo
- Halmashauri ya mji
- Halmshauri ya manispaa
- Halmashauri ya Jiji
Jiji ni magorofa,Kwa muktadha huo Jiji ni Dar,Arusha na TangaNchi hii ina majiji mawili tu.....Dar es Salaam na Mwanza..huko kwingine ni mkusanyiko wa nyumba nyingi na watu...
Tanga Ina Magorofa mengi kushinda Mwanza,Dodoma na wengineo.Hivi Tanga ni kweli jiji?
Kwa nini wanatania? Jiji ni nini?Hivi mbeya kweli ni jiji au mnatania?
Hakuna Jiji la kinondoni Wala Ubungo,Wacha ujinga.Nilitaraj maoni ya namna hiyo...
Ila mkuu nakukumbusha tu.
Jiji na mkoa ni vitu viwili tofauti...
Jiji la Dar ni Wilaya ya Ilala...hadhi ya Jiji ni inagewa Wilaya moja tu.
Mkoa wa Dar ni Ilala+Temeke+Kinondoni+Ubungo+Kigamboni
Halafu kuna Metropolitan area ,hii inahusisha manispaa zote zinazoitegema Jiji flani kwa karibu,Kama Dar metropolitan area ni Wilaya zote za Mkoa husika pamoja na Kibaha.
Vivyo hivyo kwa Tanga.
Jiji ni Wilaya ya Tanga mjini tu.
Hata ukienda Kenya,
Kuna Jiji la Nairobi ambalo lipo ndani ya Kaunti ya Nairobi.
Mkuu Umefanikiwa kupata supu lakini??? Kama umezimua tayari basi nakuomba uitoe Kahama kwenye ujinga huu wa kuiweka na Niombe sijui Songea au Bukoba. Itoe kabisa fungu Moja na Moshi...
Halafu itoe kabisa kwenye maono ya mwaka 2035.... Waache hao wengine... Pliz iheshimu Kahama Mkuu... Naomba itengenezee uzi wake wa projection ya 2026
Kahama ni Gulio type town, sidhani kama itakuwa Jiji ikizingatiwa imepitwa Mapato na idadi ya watu na Mji wa Geita.Mkuu Umefanikiwa kupata supu lakini??? Kama umezimua tayari basi nakuomba uitoe Kahama kwenye ujinga huu wa kuiweka na Niombe sijui Songea au Bukoba. Itoe kabisa fungu Moja na Moshi...
Halafu itoe kabisa kwenye maono ya mwaka 2035.... Waache hao wengine... Pliz iheshimu Kahama Mkuu... Naomba itengenezee uzi wake wa projection ya 2026
Moro Ina wakazi wa kutosha kuitwa Jiji hata Sasa.Mtoa mada unajua vigezo vya mji kupewa hadhi ya Jiji au umeandika kwa hisia tu. Hivi
Moshi
Njombe
Morogoro
Sumbawanga. Kuna wakaazi kiasi gani hata wapewe hadhi ya Jiji.
Wakifuta waweke Mji gani?Kwanza kabisa futeni Mbeya kwenya list ya majiji.
Kwa hiyo ukitoka Mkoani Huwa unasema naenda Mjini Tekeme au? 🤪🤪Mmmh hakuna kitu, Mbeya haitoboi hata kwa Temeke tena by far!!
Ungeweza kumfahamisha bila kumtukana na ujumbe ukafika bila makasiriko.Kwa hiyo ukitoka Mkoani Huwa unasema naenda Mjini Tekeme au? 🤪🤪
Wewe umewahi ona Bus limeandikwa Arusha-Temeke au Dar-Temeke? 😂😂😂
Punguzeni ujinga
Ujinga sio tusi ni ukosefu wa maarifaUngeweza kumfahamisha bila kumtukana na ujumbe ukafika bila makasiriko.
Hebu mwambie chawa yoyote unayemjua kwamba Ni mjinga Kama atakuacha salama.Ujinga sio tusi ni ukosefu wa maarifa
Dodoma na Tanga sio maji ni siasa za maji taka TU! Jiwe alipitusha Dodoma kibabe bila kutumia sheria! Shenzi type!Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
- Dar es Salaam
- Mwanza
- Tanga
- Mbeya
- Arusha
- Dodoma
Manispaa/Miji hiyo ni,
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?
- KINONDONI
- SONGEA
- KIBAHA
- MOROGORO
- BUKOBA
- KAHAMA
- IRINGA
- NJOMBE
- MOSHI
- SUMBAWANGA
KUMBUKA
- Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
- Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
- Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
- Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
- Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
- Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,
Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
- Halmashauri ya Wilaya
- Halmashauri ya mji mdogo
- Halmashauri ya mji
- Halmshauri ya manispaa
- Halmashauri ya Jiji