Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

Halmashauri inayofuata kuwa jiji la 7 Tanzania ni


  • Total voters
    118
  • Poll closed .
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
Una kitu utafika mbali ,yaani wewe ni mmoja wa watoa maamuzi ,hapa unachukua maoni ,safi sana...Umeelezea vizuri sana ,huwa nachanganya Halmashauri na Manispaa.
 
Kahama ni mji wenye mpangilio wa hovyo sana, labda waanze kuupanga upya kabisa, kuelekea Masumbwe au Isaka. Lakini pale ulipo ni vurugu tupu. Haustahili hata kuwa manispaa.

Kahama ina watu wengi na ina mzunguko mzuri wa pesa, lakini mpangilio wa mji, ni hovyo kabisa.
Miji yote Tanganyika iliyojengwa baada ya uhuru ni ya hovyo.

Haina mpangilio na karibu yote haina mifumo ya maji taka. Miji yenye mifumo ya maji taka nchini iliwekwa na wakoloni. Na tangu waondoke hatujaweza kuongeza hata km moja kwenye hiyo mifumo. Wamejaribu kwa Arusha hapa karibuni lakini 99% ya miji mingine yote haina maji taka. Ndiyo kusema miji imetapaa vinyesi tu.

Pia sehemu za miji yote Tanzania ambako kuna mpangilio na mitaa inayoeleweka ujue ilijengwa na wakoloni. Miji yetu haina parks wala garden. Nyumba zinajengwa hazina mvuto lakini unaambiwa wapo maafisa ardhi kabisa wameajiriwa na wanalipwa mishahara. Ajabu sana
 
  • Thanks
Reactions: FWC
Wilaya ya Tanga ilikuja kuwa Jiji miaka ya 1970 by kipindi ilikuwa ina kubwa sana la fedha kutokana na mkonge na maelfu walikimbilia huko kutafuta ridhiki..
Hapa umechapia Mkuu😆😆
Tanga ilipata hadhi ya manispaa mwaka 1983 na hadhi ya Jiji mwaka 2005
 
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
Kahama naikubali
 
Kusema ukweli Moshi ibastahili sana sana ila politics za CCM kutokubalika sana pande hizo ndio zinazokwamisha haki kutendeka.
Endeleeeni kumkumbatia mzee tu hadi tutaelewana.
 
Miji yote Tanganyika iliyojengwa baada ya uhuru ni ya hovyo.

Haina mpangilio na karibu yote haina mifumo ya maji taka. Miji yenye mifumo ya maji taka nchini iliwekwa na wakoloni. Na tangu waondoke hatujaweza kuongeza hata km moja kwenye hiyo mifumo. Wamejaribu kwa Arusha hapa karibuni lakini 99% ya miji mingine yote haina maji taka. Ndiyo kusema miji imetapaa vinyesi tu.

Pia sehemu za miji yote Tanzania ambako kuna mpangilio na mitaa inayoeleweka ujue ilijengwa na wakoloni. Miji yetu haina parks wala garden. Nyumba zinajengwa hazina mvuto lakini unaambiwa wapo maafisa ardhi kabisa wameajiriwa na wanalipwa mishahara. Ajabu sana
hii kitu inashangaza sana aisee,
hata dodoma pamoja na kupima viwanja lakini huoni miundombinu ya maji taka!
 
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
Labda Kahama kama baada ya miaka 15 ijayo

ila Morogoro na Moshi ni makubwa jinga


Kinondoni ni sehemu ya Dar

Hao wengine waendelee kulima karoti tu
Kahama na Moshi zinasifa zote
 
Kama ule upande wa phantom kuelekea airport kule pote ndani ya miaka mitano patakua ni balaa tupu.

Ogopa wilaya ambayo hadi Toyota wenyewe wameamua kuweka kambi kwa official branch yao badala ya kutumia hawa agents wenye authorized workshops kama wanavyofanya mikoa mingine
Ukweli Kahama inatisha huwezi kuilinganisha na Moro au Tanga, nilifika mwaka jana hadi aibu asee
 
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
Chato.
 
Kama ule upande wa phantom kuelekea airport kule pote ndani ya miaka mitano patakua ni balaa tupu.

Ogopa wilaya ambayo hadi Toyota wenyewe wameamua kuweka kambi kwa official branch yao badala ya kutumia hawa agents wenye authorized workshops kama wanavyofanya mikoa mingine
Makampuni yanaangalia centre za biashara na eneo ambalo watayafikia kirahisi maeneo mengingine
EnRaHiWXYAAXMjS.jpg
FB_IMG_16727495359454879.jpg
 
hii kitu inashangaza sana aisee,
hata dodoma pamoja na kupima viwanja lakini huoni miundombinu ya maji taka!
Ni hatari sana

Pia kwa nn wapanga miji wasiwe na majengo yenye mvuto angalu hata katikati ya mji?

Ukiangalia Kariakoo pamoja na maghorofa mengi lakini yanaonekana kama uchafu tu. Wakati wapanga miji na wachora ramani wangeweza kabisa kuamua aina ya maghorofa kwa kila mtaa lakini wapi. Kila mtu anajenga anavyotaka, na maji machafu mifumo imezidiwa uwezo basi ni vinyesi tu mtaani.
 
Ila hifadhi ya mlima Kilimanjaro ni ipo wilayani Rombo
Hapana KINAPA imezunguka sehemu kubwa Mkuu hadi huko Machame napo ipo.

Moshi Manispaa ni tofauti kidogo na Arusha ambapo wao wapo karibu na Meru ila hifadhi ya mbuga ya Arusha yenye huo mlima ipo Arumeru.
 
Back
Top Bottom