Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ulishawahi kufika Mbeya?Hivi mbeya kweli ni jiji au mnatania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishawahi kufika Mbeya?Hivi mbeya kweli ni jiji au mnatania?
Bwejuu, Micheweni na ChakechakeMpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
- Dar es Salaam
- Mwanza
- Tanga
- Mbeya
- Arusha
- Dodoma
Manispaa/Miji hiyo ni,
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?
- KINONDONI
- SONGEA
- KIBAHA
- MOROGORO
- BUKOBA
- KAHAMA
- IRINGA
- NJOMBE
- MOSHI
- SUMBAWANGA
KUMBUKA
- Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
- Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
- Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
Ok ila kwa Sasa kwa mkoa wa njombe mji unakuwa kwa Kasi ni makambako ni sawa ilivyo kahama kwa shinyanga ndo maana mkoa wa njombe ukaamua makambako ndo uwe mji wa viwanda na biashara kama walivo fanya mkoa wa shinyanga kwa kahama mc na mara nyingi miji inayo kuwa kwa mfumo huu ndo yenye chance kubwa kuwa majiji huko mbeleni kuliko inayokuwa kwa mfumo wa kiutawalajombe ni mji sio manispaa HiYo mzee manispaa hizi hapa mkoa wa njbe upo busy kutengeneza mji wa viwanda na biashara makambako utakao host kibiashara ruvuma iringa na kilomberoView attachment 2989656View attachment 2989658View attachment 2989659View attachment 2989660
Ndiyo maana nikaweka Manispaa/Mji
nataka kuuliza kwani Jiji linawezq kua ndani ya jiji??Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
- Dar es Salaam
- Mwanza
- Tanga
- Mbeya
- Arusha
- Dodoma
Manispaa/Miji hiyo ni,
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?
- KINONDONI
- SONGEA
- KIBAHA
- MOROGORO
- BUKOBA
- KAHAMA
- IRINGA
- NJOMBE
- MOSHI
- SUMBAWANGA
KUMBUKA
- Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
- Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
- Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
- Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
- Halmashauri ya Wilaya
- Halmashauri ya mji mdogo
- Halmashauri ya mji
- Halmshauri ya manispaa
- Halmashauri ya Jiji
Moja ya kigezo kwa Tanzania manispaa inayopaswa kupewa hadhi ya jiji lazima halmashauri hiyo iwe pia ni makao makuu ya mkoa, kwa kigezo hiki inapoteza sifa labda taratibu zibadilishwe.Kahama itastahili.
Lindi hata hadhi ya mkoa inapwaya, inastahili hadhi ya kijiji labdaLindi, Pwani na Mtwara
Kusema ukweli Moshi ibastahili sana sana ila politics za CCM kutokubalika sana pande hizo ndio zinazokwamisha haki kutendeka.Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
- Dar es Salaam
- Mwanza
- Tanga
- Mbeya
- Arusha
- Dodoma
Manispaa/Miji hiyo ni,
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?
- KINONDONI
- SONGEA
- KIBAHA
- MOROGORO
- BUKOBA
- KAHAMA
- IRINGA
- NJOMBE
- MOSHI
- SUMBAWANGA
KUMBUKA
- Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
- Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
- Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
- Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
- Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
- Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,
Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
- Halmashauri ya Wilaya
- Halmashauri ya mji mdogo
- Halmashauri ya mji
- Halmshauri ya manispaa
- Halmashauri ya Jiji
Kumbuka Kuna jiji jipya linataka kuanzishwa la kibiashara kwala pwani je ndo makao makuu ya mkoa hapo ko huenda wameona Bora kuwe na majiji ya mfumo wa viwanda na biashara kama yalivyo majiji MENGINE dunianMoja ya kigezo kwa Tanzania manispaa inayopaswa kupewa hadhi ya jiji lazima halmashauri hiyo iwe pia ni makao makuu ya mkoa, kwa kigezo hiki inapoteza sifa labda taratibu zibadilishwe.
Tafuta video ya Hayati Magufuli wakati anafanya mabadiliko ya Ilala kuwa Jiji...naom
nataka kuuliza kwani Jiji linawezq kua ndani ya jiji??
yaan kinondoni iwe jiji ndani ya jiji la dar es salaam
mi nimeuliza swali we unanipa kazi ila watanzania daahTafuta video ya Hayati Magufuli wakati anafanya mabadiliko ya Ilala kuwa Jiji...
Ingia YouTube...
mi nimeuliza swali we unanipa kazi ila watanzania daah
apo sawa sasaNdiyo inawezekana
Na huu mfumo naona ndo unatumika kukuza miji ya kahama mkoa wa shinyanga na makambako mkoa wa njombe ko ni utaratibu tu inatakiwa kwendana na Dunia kuwa na majiji ya staili hii 👇👇👇👇👇👇👇👇👇SERIKALI imelieleza Bunge kuwa inatekeleza mpango wa kuanzisha, kupanga na kuendeleza jiji la kibiashara na uwekezaji katika eneo la Kwala mkoani Pwani. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula amesema hayo bungeni Dodoma wakati anawasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/2024.Moja ya kigezo kwa Tanzania manispaa inayopaswa kupewa hadhi ya jiji lazima halmashauri hiyo iwe pia ni makao makuu ya mkoa, kwa kigezo hiki inapoteza sifa labda taratibu zibadilishwe.
Yani mfumo Zanzibar ni shida tupu,,kwa maana Wilaya zake ni kama kata kwa huku bara...Bwejuu, Micheweni na Chakechake
Naam Shehe! Ushan'fahamYani mfumo Zanzibar ni shida tupu,,kwa maana Wilaya zake ni kama kata kwa huku bara...
Hizo ni "Satellite cities".Hapo wametumia kama msamiati tu nadhani uchache wa maneno ya kiswahili,kwa lugha ya kiingereza mji wowote uwe mdogo au mkubwa unaweza kuita 'city'Kumbuka Kuna jiji jipya linataka kuanzishwa la kibiashara kwala pwani je ndo makao makuu ya mkoa hapo ko huenda wameona Bora kuwe na majiji ya mfumo wa viwanda na biashara kama yalivyo majiji MENGINE dunian
Na huu mfumo naona ndo unatumika kukuza miji ya kahama mkoa wa shinyanga na makambako mkoa wa njombe ko ni utaratibu tu inatakiwa kwendana na Dunia kuwa na majiji ya staili hii 👇👇👇👇👇👇👇👇👇SERIKALI imelieleza Bunge kuwa inatekeleza mpango wa kuanzisha, kupanga na kuendeleza jiji la kibiashara na uwekezaji katika eneo la Kwala mkoani Pwani. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula amesema hayo bungeni Dodoma wakati anawasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/2024.
Dk Mabula alisema katika kufanikisha mpango huo, wizara hiyo kwa kushirikiana na wizara nyingine za kisekta imeshiriki katika kuandaa mpango kabambe wa jiji hilo. Alisema mpango kabambe unahusisha eneo lenye ukubwa wa hekta 181,130 linalojumuisha vijiji 30 vya halmashauri za wilaya za Kibaha (16), Chalinze (9) na Kisarawe (5).
“Uanzishwaji wa Jiji hilo unalenga kupata eneo kubwa zaidi la uwekezaji wa viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi na pia kupunguza msongamano wa shughuli mbalimbali za kiuchumi katika Jiji la Dar es Salaam ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam.
#HabarileoUPDATESView attachment 2989673
Pa kukimbilia kwenda kununua ardhi...Na huu mfumo naona ndo unatumika kukuza miji ya kahama mkoa wa shinyanga na makambako mkoa wa njombe ko ni utaratibu tu inatakiwa kwendana na Dunia kuwa na majiji ya staili hii 👇👇👇👇👇👇👇👇👇SERIKALI imelieleza Bunge kuwa inatekeleza mpango wa kuanzisha, kupanga na kuendeleza jiji la kibiashara na uwekezaji katika eneo la Kwala mkoani Pwani. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula amesema hayo bungeni Dodoma wakati anawasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/2024.
Dk Mabula alisema katika kufanikisha mpango huo, wizara hiyo kwa kushirikiana na wizara nyingine za kisekta imeshiriki katika kuandaa mpango kabambe wa jiji hilo. Alisema mpango kabambe unahusisha eneo lenye ukubwa wa hekta 181,130 linalojumuisha vijiji 30 vya halmashauri za wilaya za Kibaha (16), Chalinze (9) na Kisarawe (5).
“Uanzishwaji wa Jiji hilo unalenga kupata eneo kubwa zaidi la uwekezaji wa viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi na pia kupunguza msongamano wa shughuli mbalimbali za kiuchumi katika Jiji la Dar es Salaam ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam.
#HabarileoUPDATESView attachment 2989673
Dar Jiji ni Ilala tunaom
nataka kuuliza kwani Jiji linawezq kua ndani ya jiji??
yaan kinondoni iwe jiji ndani ya jiji la dar es salaam