Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

Halmashauri inayofuata kuwa jiji la 7 Tanzania ni


  • Total voters
    118
  • Poll closed .
Hizo ni "Satellite cities".Hapo wametumia kama msamiati tu nadhani uchache wa maneno ya kiswahili,kwa lugha ya kiingereza mji wowote uwe mdogo au mkubwa unaweza kuita 'city'
Nimekuelewa hii ni bajeti ya mwaka huu nadhan wameo Bora kuanzisha majiji ya mfumo huu
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
TAMISEMI kwa kushirikiana na Wadau imekamilisha
uandaaji wa Mpango Kabambe Jumuishi (Master
Plan) wa uendelezaji wa Jiji la Kibiashara na
Uwekezaji la Kwala kwa kipindi cha Mwaka 2022 –
2050 lenye ukubwa wa hekta 130,831. Eneo hilo
limechukua sehemu za maeneo ya Halmashauri za
Wilaya za Kisarawe, Kibaha na Chalinze.
147.MheshimiwaSpika,kazi zinazoendelea
kufanyika ni ukamilishaji wa eneo la maegesho la
magari makubwa karibu na bandari kavu, utwaaji
shirikishi wa maeneo na fidia mbalimbali, ujenzi
wa barabara na vipande vya reli ili kuunganisha
vitovu vyauzalishaji na usafirishaji ndani ya eneo
la mpango.
 
Mkuu Umefanikiwa kupata supu lakini??? Kama umezimua tayari basi nakuomba uitoe Kahama kwenye ujinga huu wa kuiweka na Niombe sijui Songea au Bukoba. Itoe kabisa fungu Moja na Moshi...
Halafu itoe kabisa kwenye maono ya mwaka 2035.... Waache hao wengine... Pliz iheshimu Kahama Mkuu... Naomba itengenezee uzi wake wa projection ya 2026
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
 
Honestly! KAHAMA na MOROGORO zinapambana bila shaka after 15 years watakuwa wanastahili.

Ila nina wasiwasi kwa KAHAMA maana sio mkoa wala makao Makuu ya mkoa, mji ule ulistahili kuwa na hadhi ya mkoa ila ndio hivo ilitanguliwa na SHINYANGA kwhyo nina wasiwasi kama inaweza kuja kuwa Jiji kwa kigezo hicho.
 
Mkuu Umefanikiwa kupata supu lakini??? Kama umezimua tayari basi nakuomba uitoe Kahama kwenye ujinga huu wa kuiweka na Niombe sijui Songea au Bukoba. Itoe kabisa fungu Moja na Moshi...
Halafu itoe kabisa kwenye maono ya mwaka 2035.... Waache hao wengine... Pliz iheshimu Kahama Mkuu... Naomba itengenezee uzi wake wa projection ya 2026
Pitia nyaraka ya mapato ya Manispaa 10 bora ,halafu ndiyo uje useme hayo....
 
Pitia nyaraka ya mapato ya Manispaa 10 bora ,halafu ndiyo uje useme hayo....
Yeye kaangalia idadi ya watu tu kumbe Kuna vitu vingi vinaangaliwa ili jiji lijiendeshe na kwa Sasa miji ambayo itaendelea kukua zaidi ni Ile iliyojikita kwenye uwekezaji wa viwanda na biashara hizi shughuri Zinaongeza mwingiliano wa watu na ukuaji wa sector ya ujenzi na hii imepelekea baadhi ya mikoa GDP kuanza kukua Kwa kasi
IMG-20240508-WA0084.jpg
 
Mtwara na Morogoro na Tabora zitafuata kuwa majiji kabla ya 2030
Jiji ni moja tu, nyingine ni manispaa zilizochangamka(kwa kufuata mtazamo wako maana hutaki kufuata minimum requirements). Mwanza na arusha zimetofautiana kidogo tu. Its like kwenye mtihani Dar imescore 100%, mwanza ikascore 20% kwenye nafasi ya pili na arusha 17% kama tunafuata vigezo vya kuwa jiji kwa usahihi basi majiji ni mengi tu. Kumbuka dar ilitangazwa jiji 1961 ikiwa kama miji mingine ilivyotangazwa. Kama tutakomaa kwa style yako tutakosea kuita dar au mwanza jiji huku dubai, london nk tukiita jiji pia. Refer picha ya jiji la Dar miaka ya 60 aliyopost Issa michuzi juzijuzi uone lilivyokuwa. Just kama moshi tu

will follow
 
Ok ila kwa Sasa kwa mkoa wa njombe mji unakuwa kwa Kasi ni makambako ni sawa ilivyo kahama kwa shinyanga ndo maana mkoa wa njombe ukaamua makambako ndo uwe mji wa viwanda na biashara kama walivo fanya mkoa wa shinyanga kwa kahama mc na mara nyingi miji inayo kuwa kwa mfumo huu ndo yenye chance kubwa kuwa majiji huko mbeleni kuliko inayokuwa kwa mfumo wa kiutawala
Mtwara,Morogoro na Tabora to follow suit
 
***KINONDONI
SONGEA
KIBAHA
MOROGORO
BUKOBA
KAHAMA
IRINGA
NJOMBE
MOSHI
SUMBAWANGA***


πŸ‘†
Kinondoni na Kahama haziwezi kuwa Majiji kwa sababu siyo Makao Makuu ya Mikoa.

Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji na Majiji) inasema kwamba moja ya kigezo kikuu cha eneo kuwa jiji ni eneo husika kuwa Makao Makuu ya Mkoa.

Hivyo basi, kwa njia nyingine, ili Kahama na *Kinondoni ziwe majiji, labda iundwe mikoa mingine, ambapo Manispaa tajwa zitakuwa makao makuu.
 
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
ukiitoa Dar Tz hakuna jiji
 
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
Kinondoni

Ukiuliza sababu ntakwambia Sina 😊
 
***KINONDONI
SONGEA
KIBAHA
MOROGORO
BUKOBA
KAHAMA
IRINGA
NJOMBE
MOSHI
SUMBAWANGA***


πŸ‘†
Kinondoni na Kahama haziwezi kuwa Majiji kwa sababu siyo Makao Makuu ya Mikoa.

Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji na Majiji) inasema kwamba moja ya kigezo kikuu cha eneo kuwa jiji ni eneo husika kuwa Makao Makuu ya Mkoa.

Hivyo basi, kwa njia nyingine, ili Kahama na *Kinondoni ziwe majiji, labda iundwe mikoa mingine, ambapo Manispaa tajwa zitakuwa makao makuu.
Kama sumbawanga inaweza kuwa jiji,basi hata singida inaweza kuwa jiji pia
 
Kama sumbawanga inaweza kuwa jiji,basi hata singida inaweza kuwa jiji pia

Kwa kuwa kigezo kikuu cha Makao Makuu ya Mikoa, wakitimiza vigezo vingine watakua na hadhi ya majiji.
 
Serengi-Mara kuna project wameichukua wamarekani sio mchezo inajengwa Hadi reli kutoka Apo Hadi Mwanza huu mradi ni Smart city sio wa mchezo serikali kuu imeomba kuchangia katika huo mradi soon utaanza.
 
Back
Top Bottom