Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Dar es Salaam na ArushaNchi hii ina majiji mawili tu.....Dar es Salaam na Mwanza..huko kwingine ni mkusanyiko wa nyumba nyingi na watu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar es Salaam na ArushaNchi hii ina majiji mawili tu.....Dar es Salaam na Mwanza..huko kwingine ni mkusanyiko wa nyumba nyingi na watu...
Ushaita local governmentkwa hizi comments nimegundua watu hawana kabisa elimu ya Local Government
Elezea zaidiSerengi-Mara kuna project wameichukua wamarekani sio mchezo inajengwa Hadi reli kutoka Apo Hadi Mwanza huu mradi ni Smart city sio wa mchezo serikali kuu imeomba kuchangia katika huo mradi soon utaanza.
Ni kwamba kuna wazungu wameipenda wilaya ya Serengeti so mkurugenzi kaandaa propasal ya uwekezaji baada ya wadau kuikubali wakatoa go ahead, serekali kuu ilivyoona project ni kubwa wakataka wachukue hisa mwekezaji kawapa asilimia 21 za mradi,halmashauri nayo imechukua asilimia chache, asilimia kubwa anachukua mwekezaji,mpaka sasa mwekezaji kishatoa tirion 1.2 kuandaa master plan kiufupi huyu mwekezaji anabadilisha wilaya kuwa smart city kutakuwa na hotels za kisasa shule,miundombinu, apartments zilizopangiliwa reli na kiwanja kikubwa Cha ndege.Elezea zaidi
Ni kweli hii?Ni kwamba kuna wazungu wameipenda wilaya ya Serengeti so mkurugenzi kaandaa propasal ya uwekezaji baada ya wadau kuikubali wakatoa go ahead, serekali kuu ilivyoona project ni kubwa wakataka wachukue hisa mwekezaji kawapa asilimia 21 za mradi,halmashauri nayo imechukua asilimia chache, asilimia kubwa anachukua mwekezaji,mpaka sasa mwekezaji kishatoa tirion 1.2 kuandaa master plan kiufupi huyu mwekezaji anabadilisha wilaya kuwa smart city kutakuwa na hotels za kisasa shule,miundombinu, apartments zilizopangiliwa reli na kiwanja kikubwa Cha ndege.
We ndio kilaza,jiji la Darni wilaya ya ilala tuNafikiri una matatizo na uelewa wako ni mdogo, Kinondoni ni nini kwenye hiyo list?
Yah ni kweli from internal source jiandaeni kisaikolojia watu mtapigwa fidia za kutosha mpishe mradi, smart city haitaki intefiar na vijumba vyenu vya miaka ya 82. google Serengeti smart city kuna waandishi walifika kujua hatua za project zinaendaje wakaambiwa ni hatua ya awali bado ya mazungumzo wanaweza kuwa wameisha publish.Ni kweli hii?
labda wanaona aibu kuiondoa kwa sababu kimapato iko juu,ccm wana bifu nayo sana ila ndo hivyo namba zinawaumbua.Hivi mbeya kweli ni jiji au mnatania?
MoshiMpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
- Dar es Salaam
- Mwanza
- Tanga
- Mbeya
- Arusha
- Dodoma
Manispaa/Miji hiyo ni,
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?
- KINONDONI
- SONGEA
- KIBAHA
- MOROGORO
- BUKOBA
- KAHAMA
- IRINGA
- NJOMBE
- MOSHI
- SUMBAWANGA
KUMBUKA
- Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
- Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
- Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
- Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
- Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
- Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,
Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
- Halmashauri ya Wilaya
- Halmashauri ya mji mdogo
- Halmashauri ya mji
- Halmshauri ya manispaa
- Halmashauri ya Jiji
Moshi haiwezi kuwa jiji sababu ya hifadhi ya mlima Kilimanjaro. Wakuu wanaogopa isiwe kama yaliyopo hapo kwa jirani MkenyaLabda Kahama kama baada ya miaka 15 ijayo
ila Morogoro na Moshi ni makubwa jinga
Kinondoni ni sehemu ya Dar
Hao wengine waendelee kulima karoti tu
Nakazia📌📌📌Nchi hii ina majiji mawili tu.....Dar es Salaam na Mwanza..huko kwingine ni mkusanyiko wa nyumba nyingi na watu...
Fanya utafiti kabla .hakuna Manispaa ya Njombe wala Kibaha..kwenye hoja yako Manispaa ya Morogoro, Ubungo, Temeke na Kinondoni zinastahili pia kuwa Majiji.Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
- Dar es Salaam
- Mwanza
- Tanga
- Mbeya
- Arusha
- Dodoma
Manispaa/Miji hiyo ni,
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?
- KINONDONI
- SONGEA
- KIBAHA
- MOROGORO
- BUKOBA
- KAHAMA
- IRINGA
- NJOMBE
- MOSHI
- SUMBAWANGA
KUMBUKA
- Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
- Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
- Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
- Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
- Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
- Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,
Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
- Halmashauri ya Wilaya
- Halmashauri ya mji mdogo
- Halmashauri ya mji
- Halmshauri ya manispaa
- Halmashauri ya Jiji
Mkuu, nimeandika Manispaa/Mji ,,,alama ya / huumanisha au....Fanya utafiti kabla .hakuna Manispaa ya Njombe wala Kibaha..kwenye hoja yako Manispaa ya Morogoro, Ubungo, Temeke na Kinondoni zinastahili pia kuwa Majiji.
Ila hifadhi ya mlima Kilimanjaro ni ipo wilayani RomboMoshi haiwezi kuwa jiji sababu ya hifadhi ya mlima Kilimanjaro. Wakuu wanaogopa isiwe kama yaliyopo hapo kwa jirani Mkenya
Ifakara inafaa kuwa jiji la wakulima wa mpunga duniani.Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
- Dar es Salaam
- Mwanza
- Tanga
- Mbeya
- Arusha
- Dodoma
Manispaa/Miji hiyo ni,
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?
- KINONDONI
- SONGEA
- KIBAHA
- MOROGORO
- BUKOBA
- KAHAMA
- IRINGA
- NJOMBE
- MOSHI
- SUMBAWANGA
KUMBUKA
- Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
- Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
- Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
- Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
- Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
- Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,
Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
- Halmashauri ya Wilaya
- Halmashauri ya mji mdogo
- Halmashauri ya mji
- Halmshauri ya manispaa
- Halmashauri ya Jiji
Hata Dar es salaam haina hadhi ya kuwa jiji, sembuse hivyo vijiji vingine.Mkuu, nimeandika Manispaa/Mji ,,,alama ya / huumanisha au....
Serikalini huwa wana vigezo takribani vitano, ambapo Wilaya husika inatakiwa kuwa makao makuu ya mkoa,na ndiyo hizo Wilaya hazijawa majiji.
Ila kwa kauli ya hayati Magufuri,Kino+TMK zinaweza kuja kuwa majiji huko mbeleni.
Kasome ripoti ya Sensa na uone kasi ongezeko la watu katika hizo Manispaa na miji...Mtoa mada unajua vigezo vya mji kupewa hadhi ya Jiji au umeandika kwa hisia tu. Hivi
Moshi
Njombe
Morogoro
Sumbawanga. Kuna wakaazi kiasi gani hata wapewe hadhi ya Jiji.
Kipi kinafanya eneo kuwa jiji?Hata Dar es salaam haina hadhi ya kuwa jiji, sembuse hivyo vijiji vingine.
1. Idadi ya watuKipi kinafanya eneo kuwa jiji?