Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

Halmashauri inayofuata kuwa jiji la 7 Tanzania ni


  • Total voters
    118
  • Poll closed .
Serengi-Mara kuna project wameichukua wamarekani sio mchezo inajengwa Hadi reli kutoka Apo Hadi Mwanza huu mradi ni Smart city sio wa mchezo serikali kuu imeomba kuchangia katika huo mradi soon utaanza.
Elezea zaidi
 
Mtoa mada unajua vigezo vya mji kupewa hadhi ya Jiji au umeandika kwa hisia tu. Hivi
Moshi
Njombe
Morogoro
Sumbawanga. Kuna wakaazi kiasi gani hata wapewe hadhi ya Jiji.
 
Elezea zaidi
Ni kwamba kuna wazungu wameipenda wilaya ya Serengeti so mkurugenzi kaandaa propasal ya uwekezaji baada ya wadau kuikubali wakatoa go ahead, serekali kuu ilivyoona project ni kubwa wakataka wachukue hisa mwekezaji kawapa asilimia 21 za mradi,halmashauri nayo imechukua asilimia chache, asilimia kubwa anachukua mwekezaji,mpaka sasa mwekezaji kishatoa tirion 1.2 kuandaa master plan kiufupi huyu mwekezaji anabadilisha wilaya kuwa smart city kutakuwa na hotels za kisasa shule,miundombinu, apartments zilizopangiliwa reli na kiwanja kikubwa Cha ndege.
 
Ni kwamba kuna wazungu wameipenda wilaya ya Serengeti so mkurugenzi kaandaa propasal ya uwekezaji baada ya wadau kuikubali wakatoa go ahead, serekali kuu ilivyoona project ni kubwa wakataka wachukue hisa mwekezaji kawapa asilimia 21 za mradi,halmashauri nayo imechukua asilimia chache, asilimia kubwa anachukua mwekezaji,mpaka sasa mwekezaji kishatoa tirion 1.2 kuandaa master plan kiufupi huyu mwekezaji anabadilisha wilaya kuwa smart city kutakuwa na hotels za kisasa shule,miundombinu, apartments zilizopangiliwa reli na kiwanja kikubwa Cha ndege.
Ni kweli hii?
 
Ni kweli hii?
Yah ni kweli from internal source jiandaeni kisaikolojia watu mtapigwa fidia za kutosha mpishe mradi, smart city haitaki intefiar na vijumba vyenu vya miaka ya 82. google Serengeti smart city kuna waandishi walifika kujua hatua za project zinaendaje wakaambiwa ni hatua ya awali bado ya mazungumzo wanaweza kuwa wameisha publish.
 
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
Moshi
 
Labda Kahama kama baada ya miaka 15 ijayo

ila Morogoro na Moshi ni makubwa jinga


Kinondoni ni sehemu ya Dar

Hao wengine waendelee kulima karoti tu
Moshi haiwezi kuwa jiji sababu ya hifadhi ya mlima Kilimanjaro. Wakuu wanaogopa isiwe kama yaliyopo hapo kwa jirani Mkenya
 
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
Fanya utafiti kabla .hakuna Manispaa ya Njombe wala Kibaha..kwenye hoja yako Manispaa ya Morogoro, Ubungo, Temeke na Kinondoni zinastahili pia kuwa Majiji.
 
Fanya utafiti kabla .hakuna Manispaa ya Njombe wala Kibaha..kwenye hoja yako Manispaa ya Morogoro, Ubungo, Temeke na Kinondoni zinastahili pia kuwa Majiji.
Mkuu, nimeandika Manispaa/Mji ,,,alama ya / huumanisha au....
Serikalini huwa wana vigezo takribani vitano, ambapo Wilaya husika inatakiwa kuwa makao makuu ya mkoa,na ndiyo hizo Wilaya hazijawa majiji.
Ila kwa kauli ya hayati Magufuri,Kino+TMK zinaweza kuja kuwa majiji huko mbeleni.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
Ifakara inafaa kuwa jiji la wakulima wa mpunga duniani.
 
Mkuu, nimeandika Manispaa/Mji ,,,alama ya / huumanisha au....
Serikalini huwa wana vigezo takribani vitano, ambapo Wilaya husika inatakiwa kuwa makao makuu ya mkoa,na ndiyo hizo Wilaya hazijawa majiji.
Ila kwa kauli ya hayati Magufuri,Kino+TMK zinaweza kuja kuwa majiji huko mbeleni.
Hata Dar es salaam haina hadhi ya kuwa jiji, sembuse hivyo vijiji vingine.
 
Mtoa mada unajua vigezo vya mji kupewa hadhi ya Jiji au umeandika kwa hisia tu. Hivi
Moshi
Njombe
Morogoro
Sumbawanga. Kuna wakaazi kiasi gani hata wapewe hadhi ya Jiji.
Kasome ripoti ya Sensa na uone kasi ongezeko la watu katika hizo Manispaa na miji...
Mpaka 2035,idadi ya watu itakuwa kubwa kuliko Mbeya au Arusha ilivyopewa hadhi ya Jiji.
 
Back
Top Bottom