Kwa vigezo gani??Mmmh hakuna kitu, Mbeya haitoboi hata kwa Temeke tena by far!!
Wadau juu hapo wametoa vigezo vya mji kua jiji, ni kipi Mbeya haijakidhi halafu temeke imekidhi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa vigezo gani??Mmmh hakuna kitu, Mbeya haitoboi hata kwa Temeke tena by far!!
Hivi watu mnaichukulia Temeke poa....🤯Mmmh hakuna kitu, Mbeya haitoboi hata kwa Temeke tena by far!!
Tulikosea mfumo wa decentralisation tangu awali ndio sababu kubwa.Hivi watu mnaichukulia Temeke poa....🤯
Mbagala,Tandika,Gmboto na Tegeta zinaenda kuwa centre kubwa sana za kibiashara....ndani ya miaka 7 hii...Tulikosea mfumo wa decentralisation tangu awali ndio sababu kubwa.
Mpaka leo foleni za magari asubuhi ni kuelekea kariakoo na Posta na jioni kuwatowa watu maeneo hayo kuwarudisha walipotoka.
Mbagala, gongo la mboto na Tegeta zilipaswa kuwa Center kubwa kwa watu wa wilaya hizo na kupunguza kundi kubwa la watu wote hao kuelekea kariakoo na Posta asubuhi.
Wenye Kasuru yao wengi wanakimbilia Dar...kwanza waondoe lile dongo jekunduKasuru
Mzee nmetoa mawazoWenye Kasuru yao wengi wanakimbilia Dar...kwanza waondoe lile dongo jekundu
Kuna jiji Tanzania kote ni upuuzi tu hamna cha dar wala mwanzaNchi hii ina majiji mawili tu.....Dar es Salaam na Mwanza..huko kwingine ni mkusanyiko wa nyumba nyingi na watu...
Mkuu,Mzee nmetoa mawazo
. Hii nchi baba wa taifa alidai uhuru watu tuwe na uhuru wa kutoka mawazo
Huyo ndugu natamani aje kuwa mkuu wa hii nchi aiseeh....Njombe ni mji sio manispaa HiYo mzee manispaa hizi hapa mkoa wa njombe upo busy kutengeneza mji wa viwanda na biashara makambako utakao host kibiashara ruvuma iringa na kilombero ko makambako ndo inakuwa zaidiKama ilivyo shinyanga na kahamaView attachment 2989656View attachment 2989658View attachment 2989659View attachment 2989660
Naona hapo umechanganya.Mkoa Hauwi Jiji,ila Wilaya ndiyo huwa Jiji....
Wilaya ya Tanga ilikuja kuwa Jiji miaka ya 1970 by kipindi ilikuwa ina kubwa sana la fedha kutokana na mkonge na maelfu walikimbilia huko kutafuta ridhiki..
Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili hata manne.
Kiufupi tu wewe fahamu, hakuna kitu kinaitwa jiji la Dar, ni mazoea tu kuita hivyo. Kiofisi na kisheria kwa Dar jiji ni Ilala. Mkoa hauwezi kuwa jiji bali manispaa ndani ya mkoa ndio inayoweza kupandishwa hadhi na kuwa jiji. Hivyo Kinondoni inaweza kupandishwa hadhi na kuwa jiji.naom
nataka kuuliza kwani Jiji linawezq kua ndani ya jiji??
yaan kinondoni iwe jiji ndani ya jiji la dar es salaam
Inajulikana kama zao Mkonge lilikuwa likilimwa Wilaya nyingi huko Tanga,lakini Halmashauri ya Tanga ndipoNaona hapo umechanganya.
Halmashauri (wilaya) ya Tanga mjini (sio mkoa wa Tanga wote) imekuwa jiji miaka ya katikati, sio miaka ya 1970. Zao la mkonge halilimwi Tanga mjini bali katika wilaya zingine za mkoa wa Tanga. Umaarufu wa kipesa wa Tanga mjini uliletwa na Bandari na viwanda vikubwa.
Kuandaa master plan trilioni moja?!!Ni kwamba kuna wazungu wameipenda wilaya ya Serengeti so mkurugenzi kaandaa propasal ya uwekezaji baada ya wadau kuikubali wakatoa go ahead, serekali kuu ilivyoona project ni kubwa wakataka wachukue hisa mwekezaji kawapa asilimia 21 za mradi,halmashauri nayo imechukua asilimia chache, asilimia kubwa anachukua mwekezaji,mpaka sasa mwekezaji kishatoa tirion 1.2 kuandaa master plan kiufupi huyu mwekezaji anabadilisha wilaya kuwa smart city kutakuwa na hotels za kisasa shule,miundombinu, apartments zilizopangiliwa reli na kiwanja kikubwa Cha ndege.
Umeshawahi kuishi Tanga?Inajulikana kama zao Mkonge lilikuwa likilimwa Wilaya nyingi huko Tanga,lakini Halmashauri ya Tanga ndipo
Baada ya kupitwa kwa wakati kwa bidhaa za mkonge na soko lake kupungua,,,basi uchumi wa Jiji nao ukadolora na ndiyo mpaka leo hakuna cha ajabu kinachoendelea katika hilo Jiji.
- Malighafi yote ilipokuwa ikifika kwa kuchakatwa viwandani
- Mzigo ukienda Bandari ya Tanga na kusafirishwa nje ya nchi
- Uwekezaji wa Hoteli na makazi ya matajiri wa mkonge ulipofanyika.
Bandari imebaki jina tu.
Ana maono mapana Sana kwa Muda mfupi kasha isoma njombe vizuri mnoHuyo ndugu natamani aje kuwa mkuu wa hii nchi aiseeh....
Kama sio siasa Moshi ingekuwa mbali sana ila tangia uhuru Moshi ilionekana kama wapinga serikali hvo miundo mbinu na mambo ya muhimu ni juhudi binafsi za wanachi ila project nyingi kubwa zimekuwa zinapitishwa kushotoKahama inaenda kwa kasi sana, labda na iringa japo sijawahi fika then morogoro
Moshi hapana kwakweli, ❌❌❌❌
Zaidi ya trion 1 mkuu wametoa kwa dollar so kwao inasomeka kidogo sana.Kuandaa master plan trilioni moja?!!