Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

Halmashauri ipi nchini inafaa kupandishwa hadhi kuwa Jiji la Saba?

Halmashauri inayofuata kuwa jiji la 7 Tanzania ni


  • Total voters
    118
  • Poll closed .
Ukisoma Comments za wachangiaji wengi hapa utagundua kwamba Watu wengi sana bado hawana uelewa juu ya vigezo vinavyohitajika ili mji uweze kuwa na hadhi ya jiji kwa hapa Tanzania au hata katikà nchi zingine.
Kitaalamu Kuna Vigezo ambavyo vinahitajika ili mji fulani uwe Jiji, vigezo hivi vinatofautiana kati ya nchi na nchi kutokana na sababu mbali mbali Kama vile Maendeleo ya kiuchumi ktk nchi husika, kuwepo kwa mipango-miji Bora, upatikanaji wa huduma za msingi na vibrancy ya biashara katika mji husika, n.k., n.k.

But all in all, Tanzania Hakuna hata mji mmoja ambao umekidhi vigezo vya kuwa Jiji kwa kutumia vigezo vya Kidunia vya Kuainisha mji kuwa Jiji (World Class City Categorization)
 
Kwa hiyo ukitoka Mkoani Huwa unasema naenda Mjini Tekeme au? 🤪🤪

Wewe umewahi ona Bus limeandikwa Arusha-Temeke au Dar-Temeke? 😂😂😂

Punguzeni ujinga
images (9) - 2022-05-11T165831.838.jpeg

💩
 
View attachment 3024007
Umeongea ukiwa timamu ama ushabiki unakusumbua?.
Je, mji LAZIMA uwe makao makuu ya Mkoa ili uweze kukidhi vigezo vya kuwa Jiji???
Hiki Kipengele Cha 5.iii ulichonukuu umeona kuna neno LAZIMA???? Rudia tena kusoma vizuri kwa umakini hicho Kipengele Cha 5 ulichonukuu, hakuna neno LAZIMA au "shall" kwa Kiingereza, bali Kuna maneno "kama vile",
Muone Mwanasheria wako ili akutafsirie matumizi ya maneno "shall" na "may be" katika muktadha wa kiSheria,
 
Je, mji LAZIMA uwe makao makuu ya Mkoa ili uweze kukidhi vigezo vya kuwa Jiji???
Hiki Kipengele Cha 5.iii ulichonukuu umeona kuna neno LAZIMA???? Rudia tena kusoma vizuri kwa umakini hicho Kipengele Cha 5 ulichonukuu, hakuna neno LAZIMA au "shall" kwa Kiingereza, bali Kuna maneno "kama vile",
Muone Mwanasheria wako ili akutafsirie matumizi ya maneno "shall" na "may be" katika muktadha wa kiSheria,
Sasa unataka wakuandikie lazima wakati wametanguliza neno "VIGEZO"
Na nijiji gani apa Tz siyomakao makuu ya mkoa?🐸👈😂.
 
Kwa hiyo ukitoka Mkoani Huwa unasema naenda Mjini Tekeme au? 🤪🤪

Wewe umewahi ona Bus limeandikwa Arusha-Temeke au Dar-Temeke? 😂😂😂

Punguzeni ujinga
Kwa hiyo ukitoka Mkoani Huwa unasema naenda Mjini Tekeme au? 🤪🤪

Wewe umewahi ona Bus limeandikwa Arusha-Temeke au Dar-Temeke? 😂😂😂

Punguzeni ujinga
Kwahiyo basi linavyoandikwa DAR-BABATI,,DAR-MOSHI....kwani Moshi na Babati ni mikoa ama ?...
 
Kwahiyo basi linavyoandikwa DAR-BABATI,,DAR-MOSHI....kwani Moshi na Babati ni mikoa ama ?...
Nawewe siyo sababu mbona kuna Busi zimeandikwa kiyela,😂😂😂
Sema mwendazake alipotaka kuigawa Dsm alitakakufeli sana yaani maamuzi yakijinga kabisa

Anyway temeke aiwezi kua jiji ndani ya jiji Maybe vigawanye kua mkoa nanikitu ambacho akina maana yeyote!.
 
Sema mwendazake alipotaka kuigawa Dsm alitakakufeli sana yaani maamuzi yakijinga kabisa

Anyway temeke aiwezi kua jiji ndani ya jiji Maybe vigawanye kua mkoa nanikitu ambacho akina maana yeyote!.
You are completely wrong and out of point!

Jiji moja kuwa ndani ya Jiji lingine inawezekana kabisa. Sema wewe binafsi kama walivyo Watanzania wengi zaidi mmekosa exposure na uelewa (elimu) ya kutosha kuhusiana na masuala haya ya Taaluma ya Mipango-miji au taaluma ya maendeleo ya Miji duniani. Hili ndilo tatizo kubwa Sana kwa Waafrika wengi.

Rais Magufuli alipotaka kuigeuza Manispaa ya Ilala kuwa ndio Jiji la Dsm alikuwa sahihi kwa kiasi kikubwa, Mimi binafsi nilimuelewa vizuri kabisa katika lengo na idea yake hiyo. Sema TATIZO kubwa alilokuwa nalo Rais Magufuli kuhusiana na suala hili ni kwamba hakuwa na uelewa/elimu ya kutosha kwenye suala hili la Mipango-miji na maendeleo ya miji, hivyo alishindwa kubuni au kuanzisha njia na mchakato sahihi ili kufanikisha azma yake hiyo aliyokuwa nayo. Aidha, pia alikosa Wataalamu Wabobevu wa kumpatia Mwongozo na Ushauri wa namma ya kufanikisha mchakato mzima wa lengo na ndoto yake aliyokuwa nayo, hata Wasaidizi wake wote aliokuwa nao hawana uelewa/elimu sahihi juu ya masuala haya ya maendeleo ya miji, na tatizo hili la kukosa wataalamu wabobevu kwenye masuala ya maendeleo ya miji bado lipo hadi Sasa.

Lengo la Rais Magufuli lilikuwa ni kuifanya/kuigeuza Manispaa ya Ilala kuwa 'Dsm Metro City,' na sehemu nyingine iliyobaki ya Mkoa wa Dsm alitaka iwe majiji mengine ambayo yangetambulika kwa majina yake, e.g. Kinondoni City, Kigamboni City, Temeke City au Ubungo City.
Na ukiyakusanya na kuyajumuisha pamoja majiji hayo yote kabisa yaliyopo kwenye Mkoa huo wa Dsm Basi yangeunda Jiji Moja kubwa Sana ambalo lingetambulika kwa Jina moja la 'DAR ES SALAAM METROPOLITAN CITY.'

NB: Chukua tahadhari ya tofauti iliyopo kati ya neno 'Metro City' na 'Metropolitan City.'

Mifano hai kuhusu Majiji ya namna hii ipo nchini Uingereza katika Jiji la London Metropolitan City, ambako Jiji Hilo limeundwa na Jiji la Greater London na majiji mengineyo. Aidha, hata katikà nchi ya Afrika ya Kusini nako Kuna Jiji la Johannesburg Metropolitan City, ambalo limeundwa na Majiji ya Johannesburg Metro City (aka: Johannesburg Central), Soweto City na Ekuruleni City.

Kwa hiyo Rais Magufuli katika suala hili alikuwa yuko sahihi, alikuwa na idea sahihi na nzuri, isipokuwa alikosa miongozo, elimu na uelewa sahihi kwenye suala hili.
 
Mpaka sasa nchi ina Idadi ya majiji sita, ambayo ni ;
  • Dar es Salaam
  • Mwanza
  • Tanga
  • Mbeya
  • Arusha
  • Dodoma
Ni miaka 3+ tangia kuongeza kwa Idadi ya majiji, ambapo Dodoma ilipandishwa hadhi na kuwa jiji. Mpaka kufika 2035 ni Manispaa/Mji upi utakuja kupandishwa hadhi na kuwa Jiji.
Manispaa/Miji hiyo ni,
  1. KINONDONI
  2. SONGEA
  3. KIBAHA
  4. MOROGORO
  5. BUKOBA
  6. KAHAMA
  7. IRINGA
  8. NJOMBE
  9. MOSHI
  10. SUMBAWANGA
Kwa mtazamo wako lipi ni Jiji linalofuata...!?

KUMBUKA
  • Hadhi ya Jiji hugewa Wilaya
  • Kuna mikoa ina majina sawa na mojawapo ya Wilaya zao
  • Mkoa mmoja unaweza kuwa na majiji mawili au zaidi.
  • Majibu ya wadau ,yatakusaidia kujua sehemu mpya ya kwenda kuwekeza.
  • Vigezo vikubwa vya kuwa Jiji ni Idadi ya watu + pato la Wilaya.
  • Majengo ya ghorofa siyo kipimo cha jiji,,

Hadhi za Wilaya kwa mpangilio wa ukubwa wa hadhi ni.
  • Halmashauri ya Wilaya
  • Halmashauri ya mji mdogo
  • Halmashauri ya mji
  • Halmshauri ya manispaa
  • Halmashauri ya Jiji
Hayo yaliyopo yote hayana hadhi hamna haja ya kuongeza mengine
 
kwa vyovyote vile mkoa wa Pwani unastahili kuwa jiji kwanza kwa sasa kuna viwanda vingi kushinda Dar na pia majengo kama ndio kigezo na kila kitu kwanza nia ajabu Tanga inakuwa jiji kabla ya Mkoa wa Pwani
Hadhi ya jiji haitolewi kwa mkoa inatolewa kwenye mji sasa pwani mji uko wapi pale
 
Back
Top Bottom