Halmashauri Kuu ya CCM yampitisha Rais Samia Suluhu kuwania nafasi ya Uenyekiti wa Chama hicho

Halmashauri Kuu ya CCM yampitisha Rais Samia Suluhu kuwania nafasi ya Uenyekiti wa Chama hicho

INATIA KINYAA chama kinachojinasibu ni kikongwe na kilichokomaa kinachagua kiongozi wake kwa kigezo cha kuwa RAIS! Utamaduni na desturi isiyo na afya kidemokrasia inayompa Rais madaraka na maamuzi yasiyoweza kuhojiwa na yeyote. Tulitegemea kuwa CCM itakuwa imejifunza kupitia utawala uliopita lakini wapi! SI ajabu nchi yetu inaenda mrama kwa sababu chama kilichoshika hatamu za uongozi hakina maonoo chanya('kimekosa dira'HORACE KOLIMBA). Kweli kuna ulazima tena wa mwenyekiti wa CCM kuendelea kuwa ndiye Rais!? Kwani asipokuwa mwenyekiti atafanya nini!? Akifanya makosa mnamdhibiti kivipi na kinga zote alizowekewa na katiba yetu ? Bunge lenyewe ni la chama kimoja (CCM) na yeye ndo mwenyekiti wa vikao vyote vya juu vya chama kuna namna yoyote ya kumkosoa huyu(rais, Mteuzi wa majaji, amiri jeshi mkuu, mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, sehemu ya BUNGE(ana mamlaka ya kulivunja bunge wakati wowote na kuitisha uchaguzi mkuu na pia ni mteuzi pekee wa tume 'huru' ya uchaguzi ya taifa) hakika chama kongwe kimefeli kufanya mabadiliko chanya kwa ustawi wa demokrasia chamani na nchini kwa ujumla.
 
Mama anaweka rekodi tu:
1. Makamo wa Rais - Tz (mwanamke)
2. Rais Tz (mwanamke)
3. Rais wa kwanza wa bila kuchaguliwa Tz, na anaende kuwa:
4. Mwenyekiti wa CCM (Mwanamke)
....
 
Sanyingine wabongo utadhani hawanaga shule kabisa... Hivi nani asojua lazima tuu apewe uenyekiti? Kunahaja kufatilia kwa bashasha kitu kinajulikana? Hilo sio jambo la kuwazisha...
Nikama sa100 anavyosifiwaga kwa hotuba nzuri wakati tunajua kaandikiwa tuu yeye nikusoma!! Hotuba nzuri atoe kichwani naaongee ya moyoni kama kina nyerere!
Tabia ya kusifia ujinga nimambo yakizuzu ndomana linchi haliendelei...
 
Unaandika kama ripota wa ccm unaipenda sana ccm ila hujielewi kuwa kabisa maana tangu uzaliwe hujawahi kuwa na mwenyekiti mpya ni mbowe tu
Kwa ccm Nani mwingine anagombea ukiacha rais Samia?
Mbowe aligombea na wenzake akawashinda.
 
Back
Top Bottom