Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,138
M'Mungu aendelee kuniweka mbali na ushabiki wa michezo uyanga na usimba huu ukae mbali nami
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie si wauaji! Unajivunia uuaji, kweli hamna akili kabisa.Kwanza wewe una impact gani kwenye nchi hii. Kwanza siku tukikutaka tu tunakufata hapo si unajua hiyo taasisi ni ya umma!!
Waambie hapahapa wataona.Naomba nambaya Kinana babu yangu Makamba na Ben Membe niongee nao jambo moja tu
Sent using Jamii Forums mobile app
WhistleblowingUmekua ukijidai mpinga sera sana sasa mwisho wako umewadia,hao wawili ni chambo tu wewe ndo mlengwa na sasa mwisho wako kisiasa umefika
kipindi cha jk Chama kilikuwa cha wanachama, kwa sasa hapanaHalmashauri kuu ya CCM imewatahadharisha wabunge watatu machachari Nape, January na Ngeleja kuwa watavuliwa uanachama endapo hawatajirekebisha baada ya kupata msamaha kutoka kwa Mwenyekiti Dr Magufuli na chama kwa ujumla.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Sasa chama ndio kimerudi kwa wanachama kutoka kwa mafisadi!
Iyumbe kivipi,nchi ni watu sio chama,