Uwazitu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 1,419
- 1,397
Huyo Zelothe Stephen aliyependekezwa kugombea uenyekiti Arusha si aliwahi kuwa kamanda wa Polisi au majina yanafanana!?
Asilimia 99% ya Ma RPC na Ma OCD ni makada watiifu wa ccm,
hivyo intelligence ya polisi ikionesha Mikutano ya Wapinzani inaviashiria vya uvunjifu wa amani wala usishangae na kuhoji.
Wanatekeleza.