Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyoHuyo Zelothe Stephen aliyependekezwa kugombea uenyekiti Arusha si aliwahi kuwa kamanda wa Polisi au majina yanafanana!?
Katiba yao Mwenyekiti ahojiwi ni sawa na mungu katiba yao inampa mamlaka Mwenyekiti kukimiliki chamaWanaweza kumwajibisha mwenyekiti?
Hayo ni mawazo yako yanapaswa kuheshimiwaCHADEMA Mbowe ndo kila kitu.
Siku Mbowe akifa na CHADEMA nayo ndo inakufa.
Iyumbe kivipi,nchi ni watu sio chama,Ccm ni chama cha kizalendo
Ccm ikiyumba Nchi itayumba
Nafurahi kuona Rais Magufuli yupo imara kujenga misingi bora
Nchi ni uongozi thabiti na ni CCM pekee yenye uongozi thabiti hivyo bila uimara wa CCM nchi itayumbaIyumbe kivipi,nchi ni watu sio chama,
Chadema ni chama chenye wafuasi wa kutosha nilitegemea mtakuwa na hiyo kamati bwashee!Nilijua utaelekea huko maana nimegonga penyewe!
Shallow analysis. hao wote ni kwa vile wako kwenye utumwa wa Jiwe na wanabembeleza kitumbua, wanaogopa kutekwa, kuuawa, kufilisiwa biashara zao, kuulizwa uraia etc, etc. Ngoja iondoke madarakani kama kuna amtu ataitwa akaenda! Think deep!
Nitajitahidi kukuletea in-depth analysisShallow analysis. hao wote ni kwa vile wako kwenye utumwa wa Jiwe na wanabembeleza kitumbua, wanaogopa kutekwa, kuuawa, kufilisiwa biashara zao, kuulizwa uraia etc, etc. Ngoja iondoke madarakani kama kuna amtu ataitwa akaenda! Think deep!
Nchi ni katiba sio chama.Nchi ni uongozi thabiti na ni CCM pekee yenye uongozi thabiti hivyo bila uimara wa CCM nchi itayumba
Toka lini ukashika makalio ya nyati