Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Chama Cha Mapindizi CCM kimeridhia kwa kauli moja kuwasamehe Nape, January Makamba na Ngeleje hata hivyo wamepewa onyo Kali wasirudie tena kosa hilo.

Hata hivyo kimeagiza kwa kauli moja kuhojiwa kwa Makatibu wakuu wastaafu Kinana na Makamba pamoja na Waziri wa Zamani Ndugu Bernard Membe.

Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imeagiza makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, Yusuf Makamba na waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe kuhojiwa na kamati ya usalama na maadili ya Taifa ya chama hicho kujibu tuhuma za kimaadili zinazowakabili.

Zaidi, soma:




FB_IMG_1576245504069.jpeg

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe
FB_IMG_1576245500230.jpeg

Yusufu Makamba Katibu mkuu wa zamani wa CCM
FB_IMG_1576245492207.jpeg

Abdulrahman Kinana Katibu mkuu wa zamani wa CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza. Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na Watanzania kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo Ijumaa Desemba 13, 2019 jijini Mwanza chini ya Rais John Magufuli.

Mkutano huo wa Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) ni wa kawaida kwa mujibu wa Katiba ya CCM. Katika mkutano huo, imewasamehe wanachama wake watatu huku wengine wakitwa kuhojiwa.

Walioitwa kuhojiwa ni makatibu wakuu wawili wa zamani wa chama hicho, Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba pamoja na Benard Membe.

Kabla ya Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa wajumbe walifanya ziara ya kukagua miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa katika Mkoa wa Mwanza.

Wajumbe pia walipata muda wa kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa kipindi cha Miaka Minne ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Maandalizi na maudhui ya Mwelekeo wa Sera za CCM kwa Mwaka 2020 – 2030 sambamba na Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020.

Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (HKT) wameazimia kwa kauli moja kupongeza Serikali ya Tanzania inayo ongozwa na Rais Magufuli na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inayo ongozwa na Rais Ali Mohamed Shein kwa utekelezaji mzuri wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ambapo mafanikio makubwa ya kimaendeleo yamepatikana.

Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imepokea, kujadili na kuridhia kwa kauli moja Taarifa ya Kamati ya Usalama na Maadili juu ya uamuzi wa Mwenyekiti wa CCM wa kuwasamehe wanachama walioomba radhi kwake baada ya kukiri mbele yake kufanya makosa ya kimaadili yaliyokidhalilisha chama na viongozi wake mbele ya umma.

Wanachama hao ni;-

1. Ndg. Januari Makamba (Mb)

2. Ndg. Nape Nnauye (Mb) na,

3. Ndg. William Ngeleja (Mb)

Kikao cha HKT kimewataka wanachama hao kujirekebisha na kutorudia makosa yao ama sivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yao kwa mujibu wa katiba, Kanuni na taratibu za Chama ikiwamo kufukuzwa uanachama.

Wakati uo huo, Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeazimia kwa kauli moja na kuelekeza kwamba wanachama wafuatao;-

1. Abdulrahman Kinana

2. Mzee Yusuf Makamba na,

3. Benard Membe

Waitwe na Kamati ya Usalama na Maadili ya Taifa ili wajibu tuhuma za kimaadili zinazowakabili kwa mujibu wa Katiba ya Chama na Kanuni ya Maadili na Uongozi.

Awali Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (HKT) imefanya uteuzi wa majina ya Wagombea wa nafasi za Uongozi katika Chama na Jumuia kama ifuatavyo;-

1. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha

a. Ndg. Batilda Salha Buriani

b. Ndg. Zelothe Stephen Zelothe

c. Ndg. Bakari Rahibu Msangi

2. Wagombea wa nafasi ya Katibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa Iringa

a. Mafanikio Paulo Kinemelo

b. Hilary Adelitius Kipingi

c. Lucas Felix Lwimbo

3. Wagombea wa nafasi ya Katibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa Mtwara

a. Petro Mwendo Mwendo

b. Mustafa Nguyahamba Mohamed

c. Selemani Manufred Sankwa

4. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Wazazi Mkoa wa Dodoma

a. Ndg. Damas Mukassa Kasheegu

b. Baraka Andrea Mkunda

c. Christopher Thomas Mullemwah

5. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Pwani

a. Mary Daniel Joseph

b. Fredrick Gasper Makachila

c. Samaha Seif Said

Licha ya hamasa kubwa waliyokuwa nayo wajumbe wa HKT kutokana na kazi nzuri ya Serikali ya CCM, Ndg. Magufuli amesisitiza kazi ya Urais ni ngumu sana na yeye ataheshimu utamaduni na desturi za CCM, Kanuni, Katiba ya CCM na Katiba ya Nchi na kwamba CCM ni kiwanda cha kuzalisha viongozi na kwa utaratibu ambao chama kimejiwekea kitampata mtu bora zaidi atakayepokea uongozi baada yake.

Nawashukuru sana viongozi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) ya Chama chetu kwa kuzisimamia vizuri Serikali zetu mbili na hivyo kuwezesha kupatikana mafanikio makubwa katika Utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Tukaendelee kujenga umoja, kuimarisha ujenzi wa Chama chetu na tunapoelekea katika chaguzi zinazokuja tukaepuke makundi, na tuendelee kuisimamia Serikali ikiwamo kukagua miradi ya kimaendeleo katika maeneo yetu, amesema Ndg. Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Credit Mwananchi
View attachment 1291275View attachment 1291276

Sent using Jamii Forums mobile app
huu ni mtego kwa Kinana..... ndiye anayetafutwa ili abambikiwe kesi zisizokuwa na dhamana.

comrade Kinana nakushauri ubaki huko huko uliko kama kweli unajipenda!
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na Watanzania kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo Jijini Mwanza chini ya Ndg. John Pombe Joseph Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mkutano huo wa Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) ni wa kawaida kwa mujibu wa Katiba ya CCM. Kabla ya Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa wajumbe walifanya ziara ya kukagua miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa katika Mkoa wa Mwanza.

Wajumbe pia walipata muda wa kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa kipindi cha Miaka Minne ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Maandalizi na maudhui ya Mwelekeo wa Sera za CCM kwa Mwaka 2020 – 2030 sambamba na Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020.

Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (HKT) wameazimia kwa kauli moja kupongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (JMT) inayo ongozwa na Ndugu Rais John Pombe Joseph Magufuli na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inayo ongozwa na Ndugu Rais Ali Mohamed Shein kwa utekelezaji mzuri wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ambapo mafanikio makubwa ya kimaendeleo yamepatikana.

Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imepokea, kujadili na kuridhia kwa kauli moja Taarifa ya Kamati ya Usalama na Maadili juu ya uamuzi wa Mwenyekiti wa CCM wa kuwasamehe wanachama walioomba radhi kwake baada ya kukiri mbele yake kufanya makosa ya kimaadili yaliyokidhalilisha chama na viongozi wake mbele ya umma.

1. Ndg. Januari Makamba (Mb)
2. Ndg. Nape Nnauye (Mb) na,
3. Ndg. William Ngeleja (Mb)

Kikao cha HKT kimewataka wanachama hao kujirekebisha na kutorudia makosa yao ama sivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yao kwa mujibu wa katiba, Kanuni na taratibu za Chama ikiwamo kufukuzwa uanachama.

Wakati uo huo, Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeazimia kwa kauli moja na kuelekeza kwamba wanachama wafuatao;-

1. Abdulrahman Kinana
2. Mzee Yusuf Makamba na,
3. Benard Membe.

Waitwe na Kamati ya Usalama na Maadili ya Taifa ili wajibu tuhuma za kimaadili zinazowakabili kwa mujibu wa Katiba ya Chama na Kanuni ya Maadili na Uongozi.

Awali Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (HKT) imefanya uteuzi wa majina ya Wagombea wa nafasi za Uongozi katika Chama na Jumuia kama ifuatavyo;-

A. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha.

1. Ndg. Batilda Salha Buriani
2. Ndg. Zelothe Stephen Zelothe
3. Ndg. Bakari Rahibu Msangi

B. Wagombea wa nafasi ya Katibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa Iringa.

1. Mafanikio Paulo Kinemelo
2. Hilary Adelitius Kipingi
3. Lucas Felix Lwimbo

C. Wagombea wa nafasi ya Katibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa Mtwara.

1. Petro Mwendo Mwendo
2. Mustafa Nguyahamba Mohamed
3. Selemani Manufred Sankwa

D. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Wazazi Mkoa wa Dodoma.

1. Ndg. Damas Mukassa Kasheegu
2. Baraka Andrea Mkunda
3. Christopher Thomas Mullemwah.

E. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Pwani.

1. Mary Daniel Joseph
2. Fredrick Gasper Makachila
3. Samaha Seif Said.

Licha ya hamasa kubwa waliyokuwa nayo wajumbe wa HKT kutokana na kazi nzuri ya Serikali ya CCM, Ndg. Magufuli amesisitiza kazi ya Urais ni ngumu sana na yeye ataheshimu utamaduni na desturi za CCM, Kanuni, Katiba ya CCM na Katiba ya Nchi na kwamba CCM ni kiwanda cha kuzalisha viongozi na kwa utaratibu ambao chama kimejiwekea kitampata mtu bora zaidi atakayepokea uongozi baada yake.

Nawashukuru sana viongozi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) ya Chama chetu kwa kuzisimamia vizuri Serikali zetu mbili na hivyo kuwezesha kupatikana mafanikio makubwa katika Utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Tukaendelee kujenga umoja, kuimarisha ujenzi wa Chama chetu na tunapoelekea katika chaguzi zinazokuja tukaepuke makundi, na tuendelee kuisimamia Serikali ikiwamo kukagua miradi ya kimaendeleo katika maeneo yetu, amesema Ndg. Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

-GlobalView attachment 1291365

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii taarifa ipo hapa Jf muda mrefu sana bwashee!
 
Hapo mi namtafuta atayemung'amua kati kumuoji mzee makamba kinana na mzee membe,naomba nisubri kuona haya nais yanafurahisha yajayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huu ni mtego kwa Kinana..... ndiye anayetafutwa ili abambikiwe kesi zisizokuwa na dhamana.

comrade Kinana nakushauri ubaki huko huko uliko kama kweli unajipenda!
Kinana juzi tulikuwa naye kwenye msiba wa Mafuruki!
 
Kipindi cha pili sasa.. ngoja niongeze popcorn huku nafatilia mtanange huu [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuna mwanaccm atakuja kuiona mbingu kweli?tunapotunga sheria kwa kutumia pesa za wale tunaowaita wanyonge harafu hatuzitekelezi huwa ina mnufaisha nani?Nalaum umri wangu other wise ningehama Tanzania
 
Chama Cha Mapindizi CCM kimeridhia kwa kauli moja kuwasamehe Nape, January Makamba na Ngeleje hata hivyo wamepewa onyo Kali wasirudie tena kosa hilo.

Hata hivyo kimeagiza kwa kauli moja kuhojiwa kwa Makatibu wakuu wastaafu Kinana na Makamba pamoja na Waziri wa Zamani Ndugu Bernard Membe.

Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imeagiza makatibu wakuu wastaafu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, Yusuf Makamba na waziri wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe kuhojiwa na kamati ya usalama na maadili ya Taifa ya chama hicho kujibu tuhuma za kimaadili zinazowakabili.

Zaidi, soma:




FB_IMG_1576245504069.jpeg

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe
FB_IMG_1576245500230.jpeg

Yusufu Makamba Katibu mkuu wa zamani wa CCM
FB_IMG_1576245492207.jpeg

Abdulrahman Kinana Katibu mkuu wa zamani wa CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza. Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na Watanzania kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo Ijumaa Desemba 13, 2019 jijini Mwanza chini ya Rais John Magufuli.

Mkutano huo wa Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) ni wa kawaida kwa mujibu wa Katiba ya CCM. Katika mkutano huo, imewasamehe wanachama wake watatu huku wengine wakitwa kuhojiwa.

Walioitwa kuhojiwa ni makatibu wakuu wawili wa zamani wa chama hicho, Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba pamoja na Benard Membe.

Kabla ya Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa wajumbe walifanya ziara ya kukagua miradi mikubwa ya kimkakati inayotekelezwa katika Mkoa wa Mwanza.

Wajumbe pia walipata muda wa kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa kipindi cha Miaka Minne ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Maandalizi na maudhui ya Mwelekeo wa Sera za CCM kwa Mwaka 2020 – 2030 sambamba na Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020.

Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (HKT) wameazimia kwa kauli moja kupongeza Serikali ya Tanzania inayo ongozwa na Rais Magufuli na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) inayo ongozwa na Rais Ali Mohamed Shein kwa utekelezaji mzuri wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ambapo mafanikio makubwa ya kimaendeleo yamepatikana.

Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imepokea, kujadili na kuridhia kwa kauli moja Taarifa ya Kamati ya Usalama na Maadili juu ya uamuzi wa Mwenyekiti wa CCM wa kuwasamehe wanachama walioomba radhi kwake baada ya kukiri mbele yake kufanya makosa ya kimaadili yaliyokidhalilisha chama na viongozi wake mbele ya umma.

Wanachama hao ni;-

1. Ndg. Januari Makamba (Mb)

2. Ndg. Nape Nnauye (Mb) na,

3. Ndg. William Ngeleja (Mb)

Kikao cha HKT kimewataka wanachama hao kujirekebisha na kutorudia makosa yao ama sivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yao kwa mujibu wa katiba, Kanuni na taratibu za Chama ikiwamo kufukuzwa uanachama.

Wakati uo huo, Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeazimia kwa kauli moja na kuelekeza kwamba wanachama wafuatao;-

1. Abdulrahman Kinana

2. Mzee Yusuf Makamba na,

3. Benard Membe

Waitwe na Kamati ya Usalama na Maadili ya Taifa ili wajibu tuhuma za kimaadili zinazowakabili kwa mujibu wa Katiba ya Chama na Kanuni ya Maadili na Uongozi.

Awali Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (HKT) imefanya uteuzi wa majina ya Wagombea wa nafasi za Uongozi katika Chama na Jumuia kama ifuatavyo;-

1. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha

a. Ndg. Batilda Salha Buriani

b. Ndg. Zelothe Stephen Zelothe

c. Ndg. Bakari Rahibu Msangi

2. Wagombea wa nafasi ya Katibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa Iringa

a. Mafanikio Paulo Kinemelo

b. Hilary Adelitius Kipingi

c. Lucas Felix Lwimbo

3. Wagombea wa nafasi ya Katibu wa Siasa na Uenezi Mkoa wa Mtwara

a. Petro Mwendo Mwendo

b. Mustafa Nguyahamba Mohamed

c. Selemani Manufred Sankwa

4. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Wazazi Mkoa wa Dodoma

a. Ndg. Damas Mukassa Kasheegu

b. Baraka Andrea Mkunda

c. Christopher Thomas Mullemwah

5. Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Pwani

a. Mary Daniel Joseph

b. Fredrick Gasper Makachila

c. Samaha Seif Said

Licha ya hamasa kubwa waliyokuwa nayo wajumbe wa HKT kutokana na kazi nzuri ya Serikali ya CCM, Ndg. Magufuli amesisitiza kazi ya Urais ni ngumu sana na yeye ataheshimu utamaduni na desturi za CCM, Kanuni, Katiba ya CCM na Katiba ya Nchi na kwamba CCM ni kiwanda cha kuzalisha viongozi na kwa utaratibu ambao chama kimejiwekea kitampata mtu bora zaidi atakayepokea uongozi baada yake.

Nawashukuru sana viongozi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) ya Chama chetu kwa kuzisimamia vizuri Serikali zetu mbili na hivyo kuwezesha kupatikana mafanikio makubwa katika Utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Tukaendelee kujenga umoja, kuimarisha ujenzi wa Chama chetu na tunapoelekea katika chaguzi zinazokuja tukaepuke makundi, na tuendelee kuisimamia Serikali ikiwamo kukagua miradi ya kimaendeleo katika maeneo yetu, amesema Ndg. Magufuli Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Credit Mwananchi
View attachment 1291275View attachment 1291276

Sent using Jamii Forums mobile app
Anatafutwa Bernard Membe. Mzee Makamba na Kinana hawana cha kupoteza hata wakifukuzwa CCM.

Inatafutwa njia kumzuia Membe asigombee urais kupitia CCM ili kumchallenge Jiwe. Hakuna kitu Jiwe anaogopa kama ushindani.

Jana Mzee Pinda kaongea uharo sana. Kubadili katiba ili Jiwe aendelee kuua Watanzania kwa kisingizio cha ndege, SGR na upuuzi mwingine.
 
Binafsi napata kigugumizi kuzungumzia mazingira ambayo mwanachama anakuwa na nguvu kuliko chama. Mazingira hayo yanaogopesha na kutisha sana, kwamba mtu kwa mamlaka yake na cheo chake ndani ya chama anakuwa ana sauti kuliko chama, yeye ndio sheria, utaratibu na katiba ya chama. Utaasisi ndani ya vyama unaanza pale hakuna mwanachama aliyejuu ya chama, hii inakipa chama mamlaka na uwezo wa kumuadhibu mtu si kinadharia bali kivitendo.

Daima naamini mwanachama sharti awe chini ya mamlaka na uwezo wa chama, kufanya hivi kunaongeza ufanisi na uwajibikaji wa wanachama kwa chama. Kuna baadhi ya vyama vya siasa hapa Tanzania wanachama wana nguvu kuliko vyama, mwenyekiti wa chama ana mamlaka makubwa ya kusimama kama chama yeye ndio anakuwa sheria na katiba, naomba nisitaje vyama hivyo ila vipo na badala yake tutafuta muda wa kuvizungumzia kwa mapana, leo tuizungumzie CCM.

Miaka zaidi ya 40, CCM inazungumziwa kama chama cha mfano Afrika na duniani kwa ujumla, hii ni kwa sababu ya utaasisi ndani yake unayoifanya kiwe na nguvu kuliko wanataasisi( wanachama). kila mwenye kuifikria Tanzania ya kesho huifikiria CCM na asilimia kubwa ya watanzania wanaamini taasisi imara huandaa viongozi imara.

Kama si utaasisi wa CCM, naamini CCM ingekuwa imebaki stori kama KANU ya Kenya au inapata upinzani mgumu kama ANC ya Afrika kusini. Bila ya kuwepo kwa matukio ya kuitikisa CCM kama kuhamia kwa wanaCCM upinzani kama ilivyokuwa kwa Mrema 1995( alihamia NCCR-mageuzi) na Lowassa 2015( alihamia CHADEMA) nakiri kusema upinzani si tishio kwa CCM. WanaCCM hao wanaohamia CCM wanapata nguvu kutokana na kujifunza mbinu za kuwa viongozi bora wanatumia mbinu hizo lakini kwa CCM ni mfumo imara hawakuweza kuwa zaidi ya CCM.

Uwezo wa CCM kumwajibisha, kumuhoji na kumuadhibu( kufukuzwa uanachama, onyo au karipio kali) mwanachama wake yeyote bila kujali umaarufu wake, imekiwezesha chama kujenga nidhamu kwa wanachama, kuaminika, kupendwa na kuheshimika kwa wanachama na watanzania kwa ujumla. Chama ni watu na nidhamu ya chama ni wanachama waadilifu na wenye sifa za kushika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama na serikali.

Waasisi wa CCM walituachia msingi huu kwa kuamini kwamba CCM itaendelea kuchaguliwa na wananchi na ni CCM pekee yenye jukumu la kuhahakisha uongozi na viongozi bora vipo muda wote. Nidhamu ya wanachama ni njia mojawapo la kudumisha msingi huu.

Tanzania ni yetu sote.
 
Back
Top Bottom