Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM yawaita ili kuwahoji Kinana, Makamba na Membe

Labda KINANA anaweza kuwa na ujasiri huo

MEMBE anaweza naye kuthubutu..

MAKAMBA sahau bado anapenda wanae waendelea kuwa sehemu ya watafuna keki ya Taifa..

KIFUPI TUFANYENI KAZI KWA MANUFAA YA FAMILIA ZETU, HAWA WANASIASA WA AFRICA WAPO KUTETEA MATUMBO YAO
 
Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?

Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nami nimejiuliza hilo swali.
CCM is flogging dead horses.
 
Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?

Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Amua ya kwako sio ya kwao.
 
Kwa muktadha huo waende, makes sense anyway! All in all CCM ya Magufuli inajulikana kuwa ni dictatorial party under the command of one man. Hivyo hata wasipoenda historia aliyojijengea Magufuli ya udikiteita itawalinda milele.
Lkn kama ulivyo opin, waende!
Mimi nafikiri ni vema waende. Kuliko kufukuzwa huku wanapakaziwa (unajuwa CCM walivyo bingwa wa kupakaza) mambo ya hovyo wao waende na waombe kikao chao kiwe wazi kwa waandishi kisha watiririke ukweli wa kinachojiri ndani ya CCM na kwa nini wao wanaona huo ni ushamba.
Hapo hata wakifukuzwa heshima yao itakuwa kubwa sana na baada ya kipindi cha jiwe kuondoka au kufyekwa, majina ya hawa wazee yatarudishwa kileleni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerere alisema CCM siyo mama yangu! Mkiamua kuwa na ujasiri wa Nyerere mkatamka hivyo na mkafukuzwa (ingawa Nyerere hakufukuzwa) uanachama, mtapoteza nini la maana katika Dunia hii? What significant loss do you stand to suffer in these few remaining years of life on earth?
Lipi linawajengea heshima kati ya kuitwa kama mbwa na kufukuzwa kishujaa?

Twende kanisani na msikitini tusali, ya dunia na CCM tuwaachie Bashiru, Polepole na Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena bahati nzuri ni wazee,umri umeenda. Bahati mbaya wasitegemee haki yoyote dhidi yao. Hapo ni ksbb ya kamati kujipendekeza kwa mkuu. Mnaachana na lichama lao. Bahati nzuri kuna watu wako nyuma yao,hata humo humo kwenye hilo lidude. Anzeni kuishi maisha yenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli sioni chochote ambacho Kinana, Makamba na Membe watapoteza wakiamua kutokwenda huko Kamati ya Maadili, zaidi wao ndio watakuwa wamepata faida sana kwa kuachana na CCM..
CCM ni kusanyiko la Binadamu WAPUMBAVU.
Genge la kiharifu,bora ukutane na mafia wanajurikana ni mafia genge la kiharifu la wazi. Kuliko kukutana na hili genge limejificha mahala patakatifu,halafu likiendeleza uharifu kimya kimya. Iwe wa hisia,kulazimisha,hata wa wazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom