Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Miaka ya 2000 mwanzoni jiji la Mbeya walijenga Shule ya Mkapa ambayo ni ya msingi lakini inafundisha kwa kiingereza, ada yake ni ndogo sana ukilinganisha na zile za private. Mpaka sasa wana shule 3 za aina hiyo na wana mpango wa kujenga zingine 3.
Kwa sababu kuanzia sekondari masomo ni kwa kiingereza nafikiri huu ni utaratibu mzuri katika kutoa elimu bora. Ingefaa halmashauri zingine kuiga jambo hili.
Kwa sababu kuanzia sekondari masomo ni kwa kiingereza nafikiri huu ni utaratibu mzuri katika kutoa elimu bora. Ingefaa halmashauri zingine kuiga jambo hili.