Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 557
πππTulisha kubaliana na mwendazake kingereza hakitusaidii kitu, sasa kujenga shule za kingereza ni kumsaliti, NECTA na NACTE wasizisajili, tutumie kiswahili kinatosha, kipo mpaka AU.
Na diamonddsm kuna olympio na ipi sijui.
Umetumia kigezo gani kuwaita vilaza hao walimuWala hilo halijaanzia huko Mbeya ,Tunduma zipo tena 2 alafu hapo Mbeya kuna shule iko jirani na stand Kuu ilijengwa na Serikali miaka mingi na pia ziko pia mikoa mingine.
Kama unafuatilia utasikia wazuri huwa anazizungumzia hizo shule,pia zingine zilijengwa kama shule za mifano wakati wa Kikwete chini ya ufadhili wa Umoja wa Umoja wa Mataifa kama pilot project ya malengo ya Millenia.
Sema hivi ,kumeanza kuzuka huo mtindo kwa Halmashauri kujenga shule za mchepuo wa Kiingereza kwa kutumia pesa za walipakodi afu kwenye udahili zinageuzwa za biashara na chanzo cha mapato kwa Halmashauri husika.
Hii tabia haiwatendei haki walipakodi wote na inakuwa leta conflicts of interests na sekta binafsi.Kazi ya serikali ni kutoa huduma sio kufanya biashara.
Athari yake ni kwamba watoto wa maofisa na watu wenye uwezo ndio watasomesha watoto wao hapo huku Halmashauri husika ikitumia mapato waliyokusanya kutoka kwa wananchi kuhudumia vizuri hizo shule na kutelekeza shule zingine,zitafanywa bora liende.Hii sio sawa Kabisa na Serikali ipige marufuku.
Mwisho walimu wa hizo shule watakuwa wale wazuri na wako paid vizuri afu vilaza wanaletwa shule za kayumba ambako pia watoto wamerundikana madarasani hadi kukaa chini.
Kwani D 3 za shule ya msingi wewe unategemea nini?Umetumia kigezo gani kuwaita vilaza hao walimu
Mazoezi Chang'ombe na Diamonddsm kuna olympio na ipi sijui.
Ni ya serikali, ipo pale Nkuyu.Hiyo ya kyela ni ya serikali kweli, au ni ile ya Judy kule Ngonga?
Ya Gomes ni ipi hiyo,inaitwaje?Diamond na moja iko kule Gongo la mboto
Inaitwaje ya kyela? Tafadhali naomba kuifahamKule Kyela ipo moja pia.
Sio kiswahili ni kiingereza nchi nzima....wakati mwingine hizi siasa zinatupotosha haswaaSema serikali ifanye maamuzi kusuka au kunyoa kutumia kiingereza au kiswahili katika shule zote.
Inaitwa NyasaInaitwaje ya kyela? Tafadhali naomba kuifaham
Asante SanaInaitwa Nyasa
UDSM wamefanya jambo kubwa sana kuanzisha chuo cha Afya.Pia tusisahau mbeya ndio sehemu ya pili yenye vyuo vingi zaidi Tanzania
MUST
MCHAS (tawi la udsm)
UCC (tawi la udsm)
MZUMBE
TIA
SAUT
ADEM
CBE
TUMAINI
TEKU
Hivi vingine vya ufundi na afya kwa ngazi za chini vipo kama utitiri.
Mbeya hakuna UCC ilishadanjaPia tusisahau mbeya ndio sehemu ya pili yenye vyuo vingi zaidi Tanzania
MUST
MCHAS (tawi la udsm)
UCC (tawi la udsm)
MZUMBE
TIA
SAUT
ADEM
CBE
TUMAINI
TEKU
Hivi vingine vya ufundi na afya kwa ngazi za chini vipo kama utitiri.
wataizindua upya ila kwa certificate nadhani, wana jengo lao kule uzunguni karibu na benki ya nbcMbeya hakuna UCC ilishadanja
Hapo sawawataizindua upya ila kwa certificate nadhani, wana jengo lao kule uzunguni karibu na benki ya nbc
... hiyo inakupa picha gani? Wananchi wanajua zaidi wanachokihitaji badala ya kuamuliwa na watawala.inasmekana kupata nafasi hapo,ni vita ya nne ya dunia.
hapana shule ni chache na wahitaji ni wengi.... hiyo inakupa picha gani? Wananchi wanajua zaidi wanachokihitaji badala ya kuamuliwa na watawala.
Hahahaaaaa.Eti tulishakubalianaTulisha kubaliana na mwendazake kingereza hakitusaidii kitu, sasa kujenga shule za kingereza ni kumsaliti, NECTA na NACTE wasizisajili, tutumie kiswahili kinatosha, kipo mpaka AU.