Sio kazi yake kivipi mkuu, si ndio maana tumeambiwa tupeleke huko? Wana majukumu mengi ndio ila na hilo ni mojawapoNa nyie jifunzeni kuheshimu muda wa watu.
Hivi unafikiri kazi ya WEO Ni kukaa tu ofisini kusubiri watu walete barua zao ugonge mihuri?
Watu kama nyie ningekiwa Mimi, Wala hata nisingepitisha barua yako.
ivi hujawahi pata huduma serikali za mitaa ee kabla, au hata kwa mjumbeNyie ndo Huwa hamjielewi hivi nani anatakiwa ajue Hali halisi kati ya anayetafuta ajira na aliye ndani ya ajira? Mwenye ajira si ndo anatakiwa amhurumie ambae Hana maana uhalisia wa maisha unamuumiza Sana asie kua nacho.
Wala hii sio ishu ya ubush lawyer kutambua haki zako na mipaka ya kazi ya mtu mwingine sio ubush lawyer ni jukumu lako na ni haki yako zinduka ndugu
Mmeambiwa mmepeleke huko lakini hshaurutishwi kumpitishia barua mtu yeyote.Sio kazi yake kivipi mkuu, si ndio maana tumeambiwa tupeleke huko? Wana majukumu mengi ndio ila na hilo ni mojawapo
Kiongozi wa serikali ya mtaa hawezi kumjua kila mtu kwenye mtaa wake hata itokee nini hasa kwa hapa mjini, ndio maana wengine ili kujiridhisha wanakutaka ulete utambulisho kutoka kwa mjumbe wako.Mmeambiwa mmepeleke huko lakini hshaurutishwi kumpitishia barua mtu yeyote.
Maana yake, unapitishq baraua kwake ili kuthibitisha kama kweli wewe Ni mkazi wa kata hiyo.
Sasa akisema hakujui kama Ni mkazi wa kata hiyo unafanyaje ?
Mfano, Wenyeviti serikali za Mitaa hawana mishahara.ivi hujawahi pata huduma serikali za mitaa ee kabla, au hata kwa mjumbe
kwa mjumbe tu kwenyewe kuweka sahihi yake inabidi uache 1000
documentation yoyote ile inayohitaji notarization ya serikali ndogo (ya mtaa) siyo bure
Kwa sheria ipi? Mbona sehemu nyingine wanapitisha bure ina maana hawalijui hilo?ivi hujawahi pata huduma serikali za mitaa ee kabla, au hata kwa mjumbe
kwa mjumbe tu kwenyewe kuweka sahihi yake inabidi uache 1000
documentation yoyote ile inayohitaji notarization ya serikali ndogo (ya mtaa) siyo bure
Hivi mfano, unauza Kiwanja au nyumba yako, shuhuda wa kwanza mwenyekiti serikali ya mtaa.Sio kazi yake kivipi mkuu, si ndio maana tumeambiwa tupeleke huko? Wana majukumu mengi ndio ila na hilo ni mojawapo
Walipokuwa wanagombea hawakujua kuwa hakuna mishahara? Tena wanarogana hadi kurogana kwenye hizo nafasi...ili wakale kwa urefu wa kamba zaoMfano, Wenyeviti serikali za Mitaa hawana mishahara.
Hivi anadhani wanafaidikaje ?
Nikifika huko kwenye kununua na kuuza mashamba nitajua kwa sasa hivi niache kwanza.Hivi mfano, unauza Kiwanja au nyumba yako, shuhuda wa kwanza mwenyekiti serikali ya mtaa.
Je, utalipa au Ni sehemu ya majukumu yake ?
Na mjumbe wako hachukui hata 100 ?Kiongozi wa serikali ya mtaa hawezi kumjua kila mtu kwenye mtaa wake hata itokee nini hasa kwa hapa mjini, ndio maana wengine ili kujiridhisha wanakutaka ulete utambulisho kutoka kwa mjumbe wako.
Ubishi up na utabisha mpaka ugale gale chini.Walipokuwa wanagombea hawakujua kuwa hakuna mishahara? Tena wanarogana hadi kurogana kwenye hizo nafasi...ili wakale kwa urefu wa kamba zao
Mimi sehemu zote nilizopita sikudaiwa hata 100Na mjumbe wako hachukui hata 100 ?
Haya tuambie yeye analipwa na Nani?
Rushwa rushwa rushwa...rushwa ni adui wa haki. Tunabariki rushwa ndogo ndogo ila zikifika huko juu tunaanza kulalama....Ubishi up na utabisha mpaka ugale gale chini.
Lakini mwisho wa siku , wewe ndio UTAKAYEPOTEZA.
Of course, siyo kila mtu anataka pesa.Mimi sehemu zote nilizopita sikudaiwa hata 100
Mimi sidhani kama hizo Ni RUSHWA. Labda uziite TIP za lazima.Rushwa rushwa rushwa...rushwa ni adui wa haki. Tunabariki rushwa ndogo ndogo ila zikifika huko juu tunaanza kulalama....
Kwani wewe ndio umeanza kufanya kazi na watumishi wa serikali hivi karibuni..mbona hii ndio maisha yetu...hatutoi rushwa ila tunaharakisha huduma.Naona mnanishambulia tu kumbe mimi ndo nipo nyuma ya wakati Ina maana Siku hizi hata kazi za serikali mpaka utoe kitu kidogo? Haya mambo tulizoea huko kwenye sekta binafsi sio serikalini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ni tip haikupaswa kuwa lazima. Tena inatakiwa utoe mwenyewe au uombwe baada ya huduma ili hata kama huna huduma upateMimi sidhani kama hizo Ni RUSHWA. Labda uziite TIP za lazima.
Haya yasipokemewa mapema tutaangamiaHabari za wakati huu wana jamvi,
Billa kupoteza wakati Kuna kitu jana nimekishuhudia nikabaki kinywa wazi. Kuhusu hizi nafasi ambazo serikali imekuwa ikitangaza hivi karibuni Katika halmashauri na wilaya mbali mbali nchini kuhusu kazi ya kukusanya na kuweka vibao vya ANWANI ZA MAKAZI.
Jambo la kusikitisha nililoliona Katika halmashauri ya manispaa ya Tabora ofisi ya kata ya Mpera ni kwamba watu wakipeleka barua zao Ili zisainiwe na watendaji wa kata na mtaa baada ya kusainiwa wanaambiwa watoe shilingi elfu 2000/=.
Kijana mmoja akajaribu kuhoji "mbona kwenye maelekezo ya tangazo hakuna mahali tumeambiwa tulipe hio elfu 2000/=?"
Akaambiwa "hayo ndo maelekezo tuliyopewa" na akaoneshwa orodha ya waliotoa hio pesa idadi ni kubwa kidogo.
Basi yule kijana akamwambia "mimi sina hio pesa maana sikuona maelekezo yake"
Akaambiwa "wewe una kiasi gani hapo ulipo Ili tukusaidie?"
Yule kija akawajibu "Sina kiasi chochote,"
Akaambiwa "haya kama huna basi katoe hio barua yako copy ulete copy ya hio barua."
Nikabaki najiuliza.
1. Ina maana serikali imetoa maelekezo watu walipie pesa kuomba hizo nafasi?
2. Je, waliotoa pesa hizo pesa zinapelekwa wapi?
3. Je, ambao hawajatoa pesa kama huyo kijana atakuwa na ukakika wakupata hio kazi hata kama anakidhi vigezo?
4. Inawezekana waliotoa pesa ndo wakapewa priority kuliko ambao hawajatoa?
5. Ikiwa ajira hii ya siku chache hivi mtu analipishwa je zile kazi za muda mrefu huwa watu wanatozwa kiasi gan?
Maswali ni mengi itoshe kusema inasikitisha sana.
Wasalaam