Halmashauri ya Manispaa ya Tabora ofisi ya Kata ya Mpera yawatoza Tsh 2000 Vijana wanaotuma barua za maombi ya kazi za ukusanyaji wa Anuani za Makazi

Na nyie jifunzeni kuheshimu muda wa watu.

Hivi unafikiri kazi ya WEO Ni kukaa tu ofisini kusubiri watu walete barua zao ugonge mihuri?

Watu kama nyie ningekiwa Mimi, Wala hata nisingepitisha barua yako.
Sio kazi yake kivipi mkuu, si ndio maana tumeambiwa tupeleke huko? Wana majukumu mengi ndio ila na hilo ni mojawapo
 
ivi hujawahi pata huduma serikali za mitaa ee kabla, au hata kwa mjumbe
kwa mjumbe tu kwenyewe kuweka sahihi yake inabidi uache 1000

documentation yoyote ile inayohitaji notarization ya serikali ndogo (ya mtaa) siyo bure
 
Sio kazi yake kivipi mkuu, si ndio maana tumeambiwa tupeleke huko? Wana majukumu mengi ndio ila na hilo ni mojawapo
Mmeambiwa mmepeleke huko lakini hshaurutishwi kumpitishia barua mtu yeyote.

Maana yake, unapitishq baraua kwake ili kuthibitisha kama kweli wewe Ni mkazi wa kata hiyo.

Sasa akisema hakujui kama Ni mkazi wa kata hiyo unafanyaje ?
 
Mmeambiwa mmepeleke huko lakini hshaurutishwi kumpitishia barua mtu yeyote.

Maana yake, unapitishq baraua kwake ili kuthibitisha kama kweli wewe Ni mkazi wa kata hiyo.

Sasa akisema hakujui kama Ni mkazi wa kata hiyo unafanyaje ?
Kiongozi wa serikali ya mtaa hawezi kumjua kila mtu kwenye mtaa wake hata itokee nini hasa kwa hapa mjini, ndio maana wengine ili kujiridhisha wanakutaka ulete utambulisho kutoka kwa mjumbe wako.
 
ivi hujawahi pata huduma serikali za mitaa ee kabla, au hata kwa mjumbe
kwa mjumbe tu kwenyewe kuweka sahihi yake inabidi uache 1000

documentation yoyote ile inayohitaji notarization ya serikali ndogo (ya mtaa) siyo bure
Mfano, Wenyeviti serikali za Mitaa hawana mishahara.

Hivi anadhani wanafaidikaje ?
 
ivi hujawahi pata huduma serikali za mitaa ee kabla, au hata kwa mjumbe
kwa mjumbe tu kwenyewe kuweka sahihi yake inabidi uache 1000

documentation yoyote ile inayohitaji notarization ya serikali ndogo (ya mtaa) siyo bure
Kwa sheria ipi? Mbona sehemu nyingine wanapitisha bure ina maana hawalijui hilo?
 
Sio kazi yake kivipi mkuu, si ndio maana tumeambiwa tupeleke huko? Wana majukumu mengi ndio ila na hilo ni mojawapo
Hivi mfano, unauza Kiwanja au nyumba yako, shuhuda wa kwanza mwenyekiti serikali ya mtaa.

Je, utalipa au Ni sehemu ya majukumu yake ?
 
Hivi mfano, unauza Kiwanja au nyumba yako, shuhuda wa kwanza mwenyekiti serikali ya mtaa.

Je, utalipa au Ni sehemu ya majukumu yake ?
Nikifika huko kwenye kununua na kuuza mashamba nitajua kwa sasa hivi niache kwanza.
 
Kiongozi wa serikali ya mtaa hawezi kumjua kila mtu kwenye mtaa wake hata itokee nini hasa kwa hapa mjini, ndio maana wengine ili kujiridhisha wanakutaka ulete utambulisho kutoka kwa mjumbe wako.
Na mjumbe wako hachukui hata 100 ?

Haya tuambie yeye analipwa na Nani?
 
Walipokuwa wanagombea hawakujua kuwa hakuna mishahara? Tena wanarogana hadi kurogana kwenye hizo nafasi...ili wakale kwa urefu wa kamba zao
Ubishi up na utabisha mpaka ugale gale chini.

Lakini mwisho wa siku , wewe ndio UTAKAYEPOTEZA.
 
Ubishi up na utabisha mpaka ugale gale chini.

Lakini mwisho wa siku , wewe ndio UTAKAYEPOTEZA.
Rushwa rushwa rushwa...rushwa ni adui wa haki. Tunabariki rushwa ndogo ndogo ila zikifika huko juu tunaanza kulalama....
 
Mimi sehemu zote nilizopita sikudaiwa hata 100
Of course, siyo kila mtu anataka pesa.

Mimi naishi Mombasa Ukonga, ila kwa Hulu barua zote ili upitishiwe lazima utoe chochote.

Lakini Kuna siku nimewahi kupeleka barua yangu serikali za Mitaa, Kinondoni hawakudai pesa yoyote ILA tu unatakiwa uwe na barua ya Mjumbe. Sasa hiyu Mjumbe ndio alitaka 3,000.
 
Naona mnanishambulia tu kumbe mimi ndo nipo nyuma ya wakati Ina maana Siku hizi hata kazi za serikali mpaka utoe kitu kidogo? Haya mambo tulizoea huko kwenye sekta binafsi sio serikalini
Kwani wewe ndio umeanza kufanya kazi na watumishi wa serikali hivi karibuni..mbona hii ndio maisha yetu...hatutoi rushwa ila tunaharakisha huduma.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi sidhani kama hizo Ni RUSHWA. Labda uziite TIP za lazima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ni tip haikupaswa kuwa lazima. Tena inatakiwa utoe mwenyewe au uombwe baada ya huduma ili hata kama huna huduma upate
 
Haya yasipokemewa mapema tutaangamia
 
Huwa inaitwa Ela ya copy au Ela ya muhuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…