Halmashauri ya Rungwe: Katika upandishaji madaraja, Kuna majina ya watu ambao hawajawahi kuwa watumishi kabisa

kuna Lawson utapita wapi, labda anataka ile kitu yao"UHAKIKI"
si ndo hapo, halaf mtu hakuwepo kwnye utumishi huku nyuma unaanzaje tu kumpandisha daraja?? yaani unaingiza jina moja kwa moja kwnye daraja la juu huku taarifa za utumishi wake wa awali hazipo, nani atakayepitisha huko utumishi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…