Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Wakuu wote wa Idara ni Makaimu

Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Wakuu wote wa Idara ni Makaimu

Kama siyo tatizo Halmashauri nyingi zingekuwa na lundo la watu wanaokaimu?? Unajua kwamba waraka wa hizo "Masters" ulikuja watu wakiwa hawapo?

Yaani huwezi kujenga hoja bila ya kutukana wengine??
Umekaimishwa Idara, na unajua kabisa Qualifications za ngazi uliyopo Ni Masters Degree.

Mshahara wa Mkuu wa Idara Ni almost 3M.

Unashindwa kweli kupata 5M hata ya mkopo ukasome Masters ili upewe Idara kamili, eti unasema unataka serikali tena ikupeleke shule.

Hata Masters Degree, scholarships zimejaa rundo wewe unaleta visingizio uchwara kabisa.

Subiria, wajanja wenye Masters wajue Manyara Hakuna mtu mwenye sifa ya Ukuu wa Idara, WAHAMIE huko wapewe hizo Idara, halacu ndio upate vizuri Agenda za siasa uchwara.
 
Ubora wangu wewe siyo kipimo changu!!
Achana nao hao huku Iringa watu kama hao Huwa tunawaita wanywa MACHORO,Huwa kazi Yao wakiamka asubuhi ni kutembelea nyumba zilizopika pombe ya komoni wanachukua machicha yalichujwa ikapatikana pombe,wao wanaweka maji ya moto kwenye machicha Yale Halafu wanakamua Tena kupata MACHORO .
 
Achana nao hao huku Iringa watu kama hao Huwa tunawaita wanywa MACHORO,Huwa kazi Yao wakiamka asubuhi ni kutembelea nyumba zilizopika pombe ya komoni wanachukua machicha yalichujwa ikapatikana pombe,wao wanaweka maji ya moto kwenye machicha Yale Halafu wanakamua Tena kupata MACHORO .
Ndilumba!!
 
Umekaimishwa Idara, na unajua kabisa Qualifications za ngazi uliyopo Ni Masters Degree.

Mshahara wa Mkuu wa Idara Ni almost 3M.

Unashindwa kweli kupata 5M hata ya mkopo ukasome Masters ili upewe Idara kamili, eti unasema unataka serikali tena ikupeleke shule.

Hata Masters Degree, scholarships zimejaa rundo wewe unaleta visingizio uchwara kabisa.

Subiria, wajanja wenye Masters wajue Manyara Hakuna mtu mwenye sifa ya Ukuu wa Idara, WAHAMIE huko wapewe hizo Idara, halacu ndio upate vizuri Agenda za siasa uchwara.
Wale watu watano wameshasimamishwa kazi kupisha uchunguzi.
 
Aliyezifahamu na kufika wilaya zote alifanya kipi cha tofauti?
Kwani wakati waziri anapita kugawa mitungi ya gesi hakuliona hilo??

Hayo ndio madhara ya kuwa na Rais anayepiga tripu za Nje ya nchi kuliko za ndani.

Unaweza kuta hafahamu hata majina ya wilaya nyingine wala hajawahi fika kabisa ila ndio kiongozi wetu.

Mungu tusaidie tu.
 
Nafasi nyingi za Ukuu wa Idara Kutokana na Muundo Mpya wa Halmashauri unahitaji Masters Degree.

Kwahiyo, Kama Hakuna mwenye qualifications wanaokuwepo lazima wakaimu.
Masters degree siku hizi imekua sifa rasmi na sio added advantage tena? I mean elimu ya masters ipo kwenye muundo wa utumishi?
 
Nafasi nyingi za Ukuu wa Idara Kutokana na Muundo Mpya wa Halmashauri unahitaji Masters Degree.

Kwahiyo, Kama Hakuna mwenye qualifications wanaokuwepo lazima wakaimu.
kwahiyo anapokaimu hiyo nafasi ndo anapewa na masters equivalents certificate au
 
Back
Top Bottom