Halotel imekuja Tanzania mwaka 2015 kamkuta TTCL ana miaka 30 sokoni ila Halotel kampita wateja TTCL

"Black people are good for nothing apart from indulging in sex and having so many wives."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Siyo kwamba hayapendi, bali viongozi wake hawana "skills" za ujasiriamali. Wanaendesha biashara kwa mtazamo wa kijamaa.
 
Kwa wasio jua code ya TTCL ni 073.........
 
chakushangaza namba za ttcl ndio zinaongoza kwa kutumiwa na wale watu matapeli wa tuma kwenye namba hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…