Hama hama ya viongozi wa CHADEMA inarudisha nyuma hamasa ya vijana kuupambania upinzani

Hama hama ya viongozi wa CHADEMA inarudisha nyuma hamasa ya vijana kuupambania upinzani

Duuh kuna vijana mnapambania upinzani uchukue madaraka??!! What a joke?!!! Kuikwamua nchi hapa ilipo kwenda hatua bora zaidi hakuhitaji wanasia (upinzani/watawala) bali kunahitaji 'watu' wenye nia thabiti na mawazo huru nje ya misingi ya vyama, kama unategemea CHADEMA wakipewa nchi watafanya tofauti na wanayofanya CCM nakupa pole in advance
 
Deal done! Nadhani ndiyo ile pesa ya Abdul na Mom aliyosema TAL kwenye moja ya mikutano!
Anyway wakati anaondoka Sugu anaendelea kuwasha moto wa CHADEMA huko Nyanda za Kusini!
 
Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.

Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.

Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.

Lakini usajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.

Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.

Ni hayo tu!

Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Wajiunge na CCM mara ngapi?
 
Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.

Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.

Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.

Lakini usajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.

Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.

Ni hayo tu!

Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
chadema watabaki tu G-Z wazee wote waende watakako
 
Kuhama chama kwa mtu ambaye ametangulizwa mbele kama kiongozi wa ideology (chama) inavunja maana na uwepo wa chama hicho.

Wahame wanachama wa kawaida hapo sawa.

Hebu angalia hii orodha ya waliohama:-Mashinji, Katambi, Dr. Slaa, na Msigwa. Mwanachama wa kawaida inakuwaje?

..Nini kinawafanya wahamie CCM?

..kwa maneno mengine wanashawishika na nini?

..tukiweza kukiondoa hicho wanachokifuata huko CCM tutakuwa tumemaliza upuuzi huu kwa kiwango kikubwa.
 
Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.

Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.

Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.

Lakini usajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.

Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.

Ni hayo tu!

Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Kazi ya Chadema ni kuwasaidia CCM kutawala. YAANI namaanisha Chadema ni mpango wa kando wa CCM kuwadanganya wazungu.kuwa tuna mfumo wa Vyama vingi. Ni jiwe tu hakutaka kuendelea na huo mpango ili abane matumizi kwa maana ya kuwanyima ruzuku.
 
Upinzani ni Ideology mkuu sujui ni lini mtaelewa hili, Upinzani sio Political Party. Kama mnawaza hivyo mtachelewa sana kupara mabadiliko.
Wale machalii wanaompelekea moto Ruto hawana chama lakini wanafanya kazi iliyotukuka zaidi ya vyama vya siasa.
 
..Nini kinawafanya wahamie CCM?

..kwa maneno mengine wanashawishika na nini?

..tukiweza kukiondoa hicho wanachokifuata huko CCM tutakuwa tumemaliza upuuzi huu kwa kiwango kikubwa.
Huko wanatafuta vyeo, kitu ambacho hakiwezi kutibika chadema kwakuwa hawana serikali.
 
Mkuu Upinzani ni Ideology na kamwe huwezi ua Ideology angalia anacho fanya Mpina utaelewa, Upinzani sio chama cha Siasa.

Bahati mbaya Bongo tunaacha Ideology na tunategemea watu. na by the way huwezi ua Ideology mkuu. Kule Saudi Arabia utawala ni wa Kifarume ila kuna Upinzani na hakuna Chama cha siasa, sasa upinzani unatoka wapi? China kuna Upinzania na Chama ni kimoja tu cha Kokomonist
Acheni CCM waendelee kuwachukua akina Kitambi, Msigwa, Kitila,bado chadema na upinzani utaendelea kuwepo ni itikadi na falsafa na mindset- walianza akina Mtei,Shariff Hamad nk hawapo lakini upinzani unaendelea ....
 
Huko wanatafuta vyeo, kitu ambacho hakiwezi kutibika chadema kwakuwa hawana serikali.

..dawa ni kuinua mojawapo ya vyama vya upinzani ili wawe na nguvu zinazokaribiana na Ccm.
 
Siku alipohama Dkt. Slaa, vijana wengi wa CHADEMA walivunjika moyo. Na ndiyo ikawa mwanzo wa kupungua kwa kishindo na nguvu ya maandamano ya CHADEMA.

Hata walipofuata wengine akina Mashinji, Katambi, n.k hakuna aliyestuka tena, maana watu waliwapuuza.

Ni muda umepita sasa, hatujashuhudia hizi hama hama, na ilianza kuaminika kuwa waliobaki ndiyo roho na moyo wa CHADEMA.

Lakini usajili wa leo wa Msigwa ndani ya CCM umetonesha makovu ya donda lililoanza kupona.

Nashawishika kuamini kuwa ipo siku hata Mbowe, Lisu, Mnyika, Heche na Lema watajiunga CCM.

Ni hayo tu!

Soma ===>> Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
Siasa ni kazi na Ajira kama zingine kinachoangiwa ni maslahi tuu 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C82M_OVMNFf/?igsh=MTRsMHY1ZDA5cWlnZw==

Dini pia ni mchongo wa.kupiga hela Kwa mbumbumbu
 
..Nini kinawafanya wahamie CCM?

..kwa maneno mengine wanashawishika na nini?

..tukiweza kukiondoa hicho wanachokifuata huko CCM tutakuwa tumemaliza upuuzi huu kwa kiwango kikubwa.
Pesa na vyeo. Ndani ya cdm huwezi pata hivyo. Mnyika na Lema nao watafuata. Haswa Mnyika na Msigwa ni kama walichelewa kuhamia ccm, ila kwa nyakati tofauti walishafika bei kwenye utawala wa dhalimu magu.

Kwa bahati mbaya hawaiongezea ccm mvuto kwa kuhamia, bali wanawaongezea idadi ya viongozi wa upinzani waliohamia ccm. Nina hakika atapewa vipindi kwenye media mbalimbali ili aichafue cdm, kisha baada ya hapo atakaa kwa kutulia kusubiri alichoahidiwa na ccm.
 
Back
Top Bottom