Hamad Masauni: Taasisi ya dini ya Mfalme Zumaridi haijasajiliwa

Haihitaji tamko la waziri, mbona Suguye alishughulikiwa na RPC tu na huduma ikasimamishwa kwa miezi ya kutosha? Nguvu kubwa kwa taasisi ndogo kama hiyo ndio wasiwasi wangu wa kututoa kwenye reli
 
Watangananyika hawajielewi achana NAO watakuumisha kichwa vichwa maji haoo
 
Zumaridi ni nani Hadi anaogopwa kiasi Cha Kuendesha mambo yake kinyume na sheria za Nchi?
 
TUONE UTEKELEZAJI SASA SIO MANENO
 
Sawa,Mungu Zumaridi atasajiri hiko kikundi,wivu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…