Hamas: Israel watajuta kuvamia Rafah

Mwenye nacho anaongezewa mwenye kidogo ananyanganywa alichonacho hii ndio dunia ilivyo.
 
Vita imeisha na sasa ni post war plan mkuu Ritz ! Mmekanyagwa pole sana
Soma hii hali ilivyo wewe Muisrael mweusi hauna unachojua zaidi ya ushabiki mandanzi

🚨BREAKING: BENNY GANTZ ATOA HABARI ZA MWISHO KWA NETANYAHU.

Katika hotuba yake kali muda mchache uliopita, Waziri wa Vita Benny Gantz alitoa kauli ya mwisho kwa Benjamin Netanyahu, akitishia kwamba chama chake kitaondoka kwenye serikali ya vita isipokuwa pendekezo la mpango wa Gantz wenye vipengele sita kwa ajili ya mwisho wa vita na baada ya kutekelezwa ifikapo tarehe 8 Juni.

Madai ya Gantz 6:

1. Kurudi nyumbani watekwa wetu.
2. Kuangusha utawala wa Hamas, kunyakua Ukanda wa Gaza na kuhakikisha udhibiti wa usalama wa Israel.
3. Pamoja na kudumisha udhibiti wa usalama wa Israel, anzisha utawala wa Marekani-Ulaya-Kiarabu-Palestina ambao utasimamia kiraia Ukanda na kuweka msingi wa mbadala wa siku zijazo ambao sio Hamas au Abbas.
4. Rudisha wakazi wa kaskazini kwenye nyumba zao kufikia Septemba 1 na kurejesha Negev Magharibi.
5. Kukuza urekebishaji na Saudi Arabia kama sehemu ya hatua ya kina ambayo itaunda muungano na ulimwengu huru na ulimwengu wa Kiarabu dhidi ya Iran.
6. Pitisha muhtasari wa huduma ambao utasababisha Waisraeli wote kutumikia serikali na kuchangia juhudi za kitaifa.

Gantz alisema kwamba "wachache wachache wamechukua udhibiti wa meli ya 'israel' na kuipeleka kwenye shimo refu...Wale wanaoitawala 'Israel' kwa sasa wanafanya waoga na wengine wanajifikiria tu," katika hali inayozidisha migawanyiko iliyopo. ndani ya chombo.
 
Wakimbie mapigano,kama hawataki idadi itafika 150,000.Netanyahu si mtu wa kujaribiwa
Israeli Opposition Leader Gantz, kaishamwambia Netanyahu hatuwezi kupambana na Hamas wala kufikia malengo tuondoe jeshi kama hauataki tunajiondoa kwenye serikali, wewe Yahudi jeusi la Ushirombo ufahamu lolote zaidi ya ulokole na ushabiki mandazi.
 
Israeli Opposition Leader Gantz, kaishamwambia Netanyahu hatuwezi kupambana na Hamas wala kufikia malengo tuondoe jeshi kama hauataki tunajiondoa kwenye serikali, wewe Yahudi jeusi la Ushirombo ufahamu lolote zaidi ya ulokole na ushabiki mandazi.
Wale wanaouwawa Sudan hawakuhusu eeeeeeeh?
 
Al-Qassam (Hamas) ilichapisha video inayoonyesha vikosi vyake vikilenga askari wa IOF na magari ya wanamgambo kwenye mstari wa mbele mashariki mwa Rafah.

Wanajeshi wa Israel mapunguani sana eti wanawatafuta Hamas na Mbwa 😀

Wameuliwa pamoja mbwa wao.
 
Ritz umeiona hiyo? Rais wa Iran ameondoka kwa ajali ya Helicopter. Upo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…