Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Wanashikana mashati mi mbwiga ya kiIsrael Netanyahu kavamia msitu Mkubwa Duniani Palestina sio kitu kidogo. Ichi kibabu paka Paka kitakufa na presha
Wazungu wenzake wanafurahi huko kajibebesha zigo la misumari wamepita marais toka mwaka 1948 wameshindwa kupambana na Wapestina wamekufa wameiacha Palestina😅
 
Wanashikana mashati mi mbwiga ya kiIsrael Netanyahu kavamia msitu Mkubwa Duniani Palestina sio kitu kidogo. Ichi kibabu paka Paka kitakufa na presha
Misri iliifahamisha rasmi Ikulu ya White House kwamba haina nia ya kuwa mshirika katika mpango wa uhamisho wa Trump: "Tunaunga mkono haki ya watu wa Palestina kuamua hatima yao na kuanzisha taifa huru."

Chanzo: redio ya Jeshi la Israeli.


View: https://x.com/suppressednws/status/1889078891714597343?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wewe mwizi umefukuzwa kazi dukani kwa Filip Matemu baada ya kuiba viatu sasa hivi hauna kazi umeamua kushinda kariakoo unaingia JF kitukana Waislam unajifariji😅 wewe si unaitwa Vicent😀😀
Mwizi tena Hahahahaa. Hiz hasira mnazitoaga wapi. Kwahiyo wewe kwa akili yako waarabu wote ni waislam akili za kubumba kweli hiz. Nielekeze namna ya kuweka video nikutumie video nilipo tena uarabuni. Nikusaidie. Nipo al ain kusin mwa Dubai. Na kwa taarifa yako mi nakusidia cjawah kuajiriwa tangu namaliza la saba 93 mpaka muda huu.
 
Wazungu wenzake wanafurahi huko kajibebesha zigo la misumari wamepita marais toka mwaka 1948 wameshindwa kupambana na Wapestina wamekufa wameiacha Palestina😅NETANYAHU
 
Netanyahu Wazungu Washenzi sio kidogo ukikubali kuwa Jinga Wanakucheka pembeni kuwa ww Zoba!! Tumeona sasa Israel kwakuwa imekuwa Zoba Israel nzima inagalamika kwenye michezo

Wazungu wa Ulaya awawataki Waisrael adi kwenye Michezo Ichi mbili za Ulaya zimeigomea Israel kushiliki kwenye michezo Wakiofia kupata aibu Israel na flag yao Wanchi wa Ulaya kwasasa Wamekuwa kama wapalestina awawapendi kabisa Waisrael Wala flag yao!!!

NETANYAHU kayatimba aiba ya Israel imechafuka Vibaya Sana NETANYAHU Ulaya awezi kwenda tena!! is over!!! yeye Ataenda marekani maybe na Russia China

NETANYAHU alikuwa anaona Sifa kuuwa Watoto Wamama!! Sasa Mwangalieni NETANYAHU popote kawa kama anaukimwi kapoteza kujiamini kwake kapoteza Ukakamavu Wake yupo yupo kama Ayupo!!!!

Anawaza jinsi kaingiza nchi kwenye Tope ilivopoteza Aiba yake Duniani . Tayari Wanajeshi wake wengine wanataka kutoloka Israel manake Mifumo ya Jesh la police la Israel kwasasa linalinda ndani ya mipaka vijana Wasiondoke

Mmoja alikamatwa airport leo siku y3 kawekwa ndani akitaka kutoloka!!!!! Hiiii ni Hatari kubwa kwa mustakbari wa Israel kwann

ipo ivi ktk Wanajeshi wa Israel yani IDF awajamaa uwa awakai sana ndani ya Israel Wamesambaa Duniani uku Wakifanya Biashara na pia kusimamia misheni za MOSSAD kwa kufadhili pesa na mengine

pale ikiitajika!!! manake ikitokea Vita awa IDF walio nje ya Israel alaka Wanalejea nyumbani kwenda kuwajibika kwenye Vita sasa hiii Vita ya Juzi imewagalimu pakubwa Kibiashara Vifo Ulemavu

sasa offu imetawala hii vita ikiisha Vijana Wakiondoka awa kikiwaka tena awajamaa Watajipoteza kwenye system zao

hii vita imewaopa Funzo kubwa!!! Kwaiyo nguvu kazi ilikuwa inakuja yenyewe sasa uko mbele itakuwa kizungumkuti labda waende awa waisrael wa kwamachale!!!
 
Netanyahu Wazungu Washenzi sio kidogo ukikubali kuwa Jinga Wanakucheka pembeni kuwa ww Zoba!! Tumeona sasa Israel kwakuwa imekuwa Zoba Israel nzima inagalamika kwenye michezo

Wazungu wa Ulaya awawataki Waisrael adi kwenye Michezo Ichi mbili za Ulaya zimeigomea Israel kushiliki kwenye michezo Wakiofia kupata aibu Israel na flag yao Wanchi wa Ulaya kwasasa Wamekuwa kama wapalestina awawapendi kabisa Waisrael Wala flag yao!!!

NETANYAHU kayatimba aiba ya Israel imechafuka Vibaya Sana NETANYAHU Ulaya awezi kwenda tena!! is over!!! yeye Ataenda marekani maybe na Russia China

NETANYAHU alikuwa anaona Sifa kuuwa Watoto Wamama!! Sasa Mwangalieni NETANYAHU popote kawa kama anaukimwi kapoteza kujiamini kwake kapoteza Ukakamavu Wake yupo yupo kama Ayupo!!!!

Anawaza jinsi kaingiza nchi kwenye Tope ilivopoteza Aiba yake Duniani . Tayari Wanajeshi wake wengine wanataka kutoloka Israel manake Mifumo ya Jesh la police la Israel kwasasa linalinda ndani ya mipaka vijana Wasiondoke

Mmoja alikamatwa airport leo siku y3 kawekwa ndani akitaka kutoloka!!!!! Hiiii ni Hatari kubwa kwa mustakbari wa Israel kwann

ipo ivi ktk Wanajeshi wa Israel yani IDF awajamaa uwa awakai sana ndani ya Israel Wamesambaa Duniani uku Wakifanya Biashara na pia kusimamia misheni za MOSSAD kwa kufadhili pesa na mengine

pale ikiitajika!!! manake ikitokea Vita awa IDF walio nje ya Israel alaka Wanalejea nyumbani kwenda kuwajibika kwenye Vita sasa hiii Vita ya Juzi imewagalimu pakubwa Kibiashara Vifo Ulemavu

sasa offu imetawala hii vita ikiisha Vijana Wakiondoka awa kikiwaka tena awajamaa Watajipoteza kwenye system zao
hii vita imewaopa Funzo kubwa!!! Kwaiyo nguvu kazi ilikuwa inakuja yenyewe sasa uko mbele itakuwa kizungumkuti labda waende awa waisrael wa kwamachale!!!
 
Mwizi tena Hahahahaa. Hiz hasira mnazitoaga wapi. Kwahiyo wewe kwa akili yako waarabu wote ni waislam akili za kubumba kweli hiz. Nielekeze namna ya kuweka video nikutumie video nilipo tena uarabuni. Nikusaidie. Nipo al ain kusin mwa Dubai. Na kwa taarifa yako mi nakusidia cjawah kuajiriwa tangu namaliza la saba 93 mpaka muda huu.
Kwisha habari yako.
 
Back
Top Bottom