Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Kinachoenda kutokea Gaza ewe mvaa kobazi wa kwa mtogole utalia na kusaga meno....
Mwisho Jumamosi saa sita mchana......tusisikie kilio
Mvaa msalaba wa mboa kutoka Rombo anatoa tamko 😂
 
TRAMP UYU UYU unamuamini ametoa ahadi ngapi na akutelekeza!????
Wanamuona Mungu wao hawa walokole si wanaabudu watu kashindwa kujenga ukuta huko kwake ataweza Gaza😀
 
Watu wanasaidiwa na Wenye mapenzi na Palestina kuna misaada sio ya kitoto uko Mpakani n Misri,,, IDF mimacho inamtoka sasa anazuiya Misaada !!! Yeye si pia si anapokea kutoka Marekani na Ulaya!!!! Israel Awe mpole yote maisha tu.
Anadhanga pamoja propaganda zao Hamas ni magaidi watu wanajitolea misaada yao kuja magari yamebeba vufaa vya ujenzi na mitambo hataki yaingie Gaza jamaa wajinga sana.
 
Wanaukumbi.

Breaking | Al-Qassam Brigades spokesperson Abu Obaida announces that due to Israel's failure to uphold the terms of the ceasefire agreement, the release of Israeli captives scheduled for this Saturday will be postponed until further notice.
=========================
⚡️BREAKING: Ofisi ya Vyombo vya Habari vya Serikali huko Gaza ilichapisha muhtasari wa ukiukaji wa Israeli wa vifungu vya kibinadamu vya makubaliano ya kusitisha mapigano:

- Malori 12,000 ya misaada yanapaswa kuwa yameingia Ukanda wa Gaza kwa sasa. 8,500 tu ndio wameingia. Shirika la Kizayuni limeshindwa kufikia mwisho wa makubaliano na lori 3,500.

- Malori 50 ya mafuta yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza kila siku. 15 tu wameingia kila siku. Shirika hilo la Kizayuni limekiuka usitishaji vita wa lori 35 za mafuta kila siku.

- Nyumba 60,000 za muda zilitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. Hakuna kitengo hata kimoja kilichoingia, kuzuia mamia ya maelfu ya watu wa Gaza kupata makazi ya muda.

- Mahema 200,000 yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. 20,000 tu ndio wameingia. Jumuiya ya Kizayuni imeshindwa kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano, kwani mahema 180,000 zaidi yanapaswa kuingia Ukanda huo.
===============
⚡️BREAKING: The Government Media Office in Gaza published a summary of Israel’s violations of the humanitarian clauses of the ceasefire agreement:

- 12,000 aid trucks should have entered the Gaza Strip by now. Only 8,500 have entered. The zionist entity has fallen short of its end of the agreement by 3,500 trucks.

- 50 fuel trucks were supposed to enter the Gaza Strip daily. Only 15 have entered daily. The zionist entity has violated the ceasefire to the tune of 35 fuel trucks every day.

- 60,000 temporary mobile housing units were supposed to enter the Gaza Strip. Not a single unit has entered, preventing hundreds of thousands of Gazans from obtaining temporary shelter.

- 200,000 tents were supposed to enter the Gaza Strip. Only 20,000 have entered. The zionist entity has failed to implement the ceasefire agreement, as 180,000 more tents are supposed to enter the Strip.


View: https://x.com/suppressednws/status/1888992089490543051?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Sasa tutaona kama kweli KAALLAH katawasaidia, kwani mumepewa hadi Jumamosi mchana muwe mumewaachia mateka wote. Ndiyo hapo wale hamas waliokuwa wanavaa miguo ya kijeshi wote watageuka RAIA WA KAWAIDA. mulikuwa mnachezacheza na Muslim brotherhood wenzenu akina Joe Biden na Barack Obama lakini sasa amekuja mwamba wenu. Muulizeni mwenzenu Rais wa Venezuela Nickolas Maduro. Kapeleka mwenyewe ndege ya kuwahamishia illegal immigrants wake.


View: https://x.com/Imamofpeace/status/1889112953179566437
 
Wanaukumbi.

Breaking | Al-Qassam Brigades spokesperson Abu Obaida announces that due to Israel's failure to uphold the terms of the ceasefire agreement, the release of Israeli captives scheduled for this Saturday will be postponed until further notice.
=========================
⚡️BREAKING: Ofisi ya Vyombo vya Habari vya Serikali huko Gaza ilichapisha muhtasari wa ukiukaji wa Israeli wa vifungu vya kibinadamu vya makubaliano ya kusitisha mapigano:

- Malori 12,000 ya misaada yanapaswa kuwa yameingia Ukanda wa Gaza kwa sasa. 8,500 tu ndio wameingia. Shirika la Kizayuni limeshindwa kufikia mwisho wa makubaliano na lori 3,500.

- Malori 50 ya mafuta yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza kila siku. 15 tu wameingia kila siku. Shirika hilo la Kizayuni limekiuka usitishaji vita wa lori 35 za mafuta kila siku.

- Nyumba 60,000 za muda zilitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. Hakuna kitengo hata kimoja kilichoingia, kuzuia mamia ya maelfu ya watu wa Gaza kupata makazi ya muda.

- Mahema 200,000 yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. 20,000 tu ndio wameingia. Jumuiya ya Kizayuni imeshindwa kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano, kwani mahema 180,000 zaidi yanapaswa kuingia Ukanda huo.
===============
⚡️BREAKING: The Government Media Office in Gaza published a summary of Israel’s violations of the humanitarian clauses of the ceasefire agreement:

- 12,000 aid trucks should have entered the Gaza Strip by now. Only 8,500 have entered. The zionist entity has fallen short of its end of the agreement by 3,500 trucks.

- 50 fuel trucks were supposed to enter the Gaza Strip daily. Only 15 have entered daily. The zionist entity has violated the ceasefire to the tune of 35 fuel trucks every day.

- 60,000 temporary mobile housing units were supposed to enter the Gaza Strip. Not a single unit has entered, preventing hundreds of thousands of Gazans from obtaining temporary shelter.

- 200,000 tents were supposed to enter the Gaza Strip. Only 20,000 have entered. The zionist entity has failed to implement the ceasefire agreement, as 180,000 more tents are supposed to enter the Strip.


View: https://x.com/suppressednws/status/1888992089490543051?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Kuna msemo unasema ukiona mpo vitani na jirani yako kinchi then kuna mmoja aliongea na US
 
PALESTINA Wenyeji wanafaamika ata na UN wanawajua dheni na Waliokuja na Majaahazi kuamia eneo lile pia UN inawajua!!! vip Mgeni awe ndio mwenye Ardhi!!!!

Kenge awa mungu FUNDI sana kuwapeleka kwa Warabu ambao ndio Wenye Iman thabiti Mwarabu kamwe atokubali eneo lao lichukuliwe Kibabe hii Vita inamiaka mingine 20 pengine lkn waisrael awatawai kupata Aman ktk Ardhi ile Mungu Fundi sana

MIGAID Wakatili sana Waisrael kwenda kuangukia Pele sawa na mbuz kufia kwa muuza Supu!!! Awa waisrael kama Wangekuja Africa wangetusumbua Sana

au Wangeenda America kusini kote uko wangenyakuwa Ardhi na kuuwa ovyo sidhani kama Wangepeta Upinzani kama huu wanaokutana nao mana HAMAS aitaji pesa anapigania Ardhi yao Iman yao,,

kinachofanya IDF Wawepo apo GAZA ni kimoja tu Jesh la Anga ili jesh ndio linazuiya HAMAS wasipigane Hana kwa Hana au Wapigane muda Mfupi na kupotea ili kukwepa Jeshi la Anga Kama sio ANGA haaaaa sasaivi HAMAS Wangekuwa Washachukua Ardhi yao yote,,,

Lkn leo sio jana Mpalestine alikuwa anatumia mawe lkn Sasaivi japo mtutu anao na Yumkini miaka 3 au 4 uko mbele nayeye akawa kama hezbollah akachagua pakupiga sio kurusha tu Makombora Ovyo

ukweli siku baada ya Siku ndio Mvamizi anakabiliwa na Hatari kubwa kuliko Jana. Vile sasa technology inawafikia Wapalestina,
ndio mana Netanyahu na washauri wake wanajua muda ndio huu kuichukua GAZA Baada ya miaka 3 Vita Itakuwa ngumu kwao

kama ile ya Hezbollah, iyo Hezbollah nayo Baada ya miaka 3 ndio IDF asogei kabisa ule upande. Kwasasa Wairan Wawasaidie uwezo Wa kuzishusha zile ndege apo sasa ndio IDF watagoma kabisa kusikia Habari ya Vita na HAMAS au Hezbollah,, Wakiweza kushusha ndege Iran abaki tu zile Promis zake ili kuzitwanga Store zilizojazwa silaha kutoka marekani na kwengineko,,, YEMEN afunge Bahari Waisrael kwishaaaa,,,
 
‎Hamas leader Osama Hamdan: We will not make concessions to the enemy, we will not repeat the mistakes of Oslo, and the resistance is capable of continuing
 
Pole kwa hasira mwarabu. Hakuna namna mashoga wanawapelekea moto
Hahaha nimecheka sana kuna mchaga mmoja hapa kaniambia huyo shoga alikuwa mfanyakazi wa Matemu kafukuzwa kazi kwa wizi wa viatu hizi ni hasira tu nimecheka sana🤣 pole sana endelea kujiliwaza na kupambana na Hamas.
 
HAMAS SAYS 'DOOR REMAINS OPEN' FOR EXCHANGE TO PROCEED AS PLANNED' PENDING ISRAEL'S COMPLIANCE
 
Back
Top Bottom