Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Hamas kusitisha makubaliano kuachiliwa mateka kutokana wa Israel kushindwa kutimiza makubaliano

Hawa ni really defenders of motherland . Hawaogopi kufa wakipigana ardhi Yao! Wapo tayari kufa woote hata Kwa njaa lakini hawako tayari pia kuona mkoloni akiishi Kwa Raha. Licha ya vita ya kimbari dhidi Yao Kwa siku 470 Bado hawakupiga magoti Kwa mtesi wao. Walisimama kidete wakatoa conditions kwamba bila kutimizwa hawataacha kupigana Wala kuachia mateka. Ni kweli wakoloni wanaelekea kushindwa conditions zinazidi kutekelezwA japo Kwa fedheha na aibu kubwa...From land to the sea Palestine will be free. Keep it up defenders.

View: https://x.com/qudsnen/status/1889017163630956788?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hawa ni really defenders of motherland . Hawaogopi kufa wakipigana ardhi Yao! Wapo tayari kufa woote hata Kwa njaa lakini hawako tayari pia kuona mkoloni akiishi Kwa Raha. Licha ya vita ya kimbari dhidi Yao Kwa siku 470 Bado hawakupiga magoti Kwa mtesi wao. Walisimama kidete wakatoa conditions kwamba bila kutimizwa hawataacha kupigana Wala kuachia mateka. Ni kweli wakoloni wanaelekea kushindwa conditions zinazidi kutekelezwA japo Kwa fedheha na aibu kubwa...From land to the sea Palestine will be free. Keep it up defenders.
Unafikiri kati ya wayahud na waarabu nani ambae yupo tayar kufa kuliko kuiachia ardhi yao?
 

View: https://x.com/drloupis__/status/1888648662122893527?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwniwniwapeWatoto waisrael Walikuwa wanapigania Taifa teule mashujaa wao K


Hawa uwa hawanisumbui kabisa nawajua vyema na wanajua bakora zangu😅 hamna watu waoga kama hawa walokole wa JF.
Sana sana ukiwasikia popote ndio walivo utasikia Wanamkemea Shetani!!! atokee tu Panya kwwnye kichwa cha m'bwa uwone izo mbio zao ata Watoto wao Wanawatelekeza!!!!!!
 
Wanaukumbi.

Breaking | Al-Qassam Brigades spokesperson Abu Obaida announces that due to Israel's failure to uphold the terms of the ceasefire agreement, the release of Israeli captives scheduled for this Saturday will be postponed until further notice.
=========================
⚡️BREAKING: Ofisi ya Vyombo vya Habari vya Serikali huko Gaza ilichapisha muhtasari wa ukiukaji wa Israeli wa vifungu vya kibinadamu vya makubaliano ya kusitisha mapigano:

- Malori 12,000 ya misaada yanapaswa kuwa yameingia Ukanda wa Gaza kwa sasa. 8,500 tu ndio wameingia. Shirika la Kizayuni limeshindwa kufikia mwisho wa makubaliano na lori 3,500.

- Malori 50 ya mafuta yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza kila siku. 15 tu wameingia kila siku. Shirika hilo la Kizayuni limekiuka usitishaji vita wa lori 35 za mafuta kila siku.

- Nyumba 60,000 za muda zilitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. Hakuna kitengo hata kimoja kilichoingia, kuzuia mamia ya maelfu ya watu wa Gaza kupata makazi ya muda.

- Mahema 200,000 yalitakiwa kuingia Ukanda wa Gaza. 20,000 tu ndio wameingia. Jumuiya ya Kizayuni imeshindwa kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano, kwani mahema 180,000 zaidi yanapaswa kuingia Ukanda huo.
===============
⚡️BREAKING: The Government Media Office in Gaza published a summary of Israel’s violations of the humanitarian clauses of the ceasefire agreement:

- 12,000 aid trucks should have entered the Gaza Strip by now. Only 8,500 have entered. The zionist entity has fallen short of its end of the agreement by 3,500 trucks.

- 50 fuel trucks were supposed to enter the Gaza Strip daily. Only 15 have entered daily. The zionist entity has violated the ceasefire to the tune of 35 fuel trucks every day.

- 60,000 temporary mobile housing units were supposed to enter the Gaza Strip. Not a single unit has entered, preventing hundreds of thousands of Gazans from obtaining temporary shelter.

- 200,000 tents were supposed to enter the Gaza Strip. Only 20,000 have entered. The zionist entity has failed to implement the ceasefire agreement, as 180,000 more tents are supposed to enter the Strip.


View: https://x.com/suppressednws/status/1888992089490543051?s=48&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hizo Demand wanazotaka wamelipa kiasi gani cha pesa? wapenda dezo ni shida sana.. asiyefanya kazi na asile..

Waendelee tu kudeka dawa yao ipo karibu... hivi Si uislam umekataza kuomba omba au ndio mafeki muslim ni manafiki.. wanainyea Quran na Uislam
 
Ben-Gvir anasema dawa yao wanazuia misaada dawa ya Jeuri ni kusudi.. kwanza misaada haiwafikii mateka so kelele za wanafiki hazitosikilizwa tena vita ikilipuka upya.. Kosa kubwa sana kuingia mkataba na Iblis atakugeuka tu..

Ben-Gvir proposes law to block aid to Gaza​

Itamar Ben-Gvir is pushing for Israel to legally forbid transferring humanitarian supplies to Gaza in response to Hamas suspending the hostage deal.​

 
Dah.hata kuperuzi imekuwa tabu kama ilivyokuwa huko mashariki ya kati.

Ritz una sababu gani za kuflood jukwaa namna hivyo?

Urg
 
Unafikiri kati ya wayahud na waarabu nani ambae yupo tayar kufa kuliko kuiachia ardhi yao?
Huko tunakoelekea wayahudi wote wataondoka atabaki netanyahu labda na ben gavir tu wazingu mnaowaita wayahudi kwao ni ulaya mda ukifika wakiona mambo magumu wanapanda ndege kurudi ww umeona wapi hao wapalestina wakiondoka licha ya banker busta na F35
 

View: https://x.com/drloupis__/status/1888648662122893527?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvwniwniwapeWatoto waisrael Walikuwa wanapigania Taifa teule mashujaa wao K


Hizo Demand wanazotaka wamelipa kiasi gani cha pesa? wapenda dezo ni shida sana.. asiyefanya kazi na asile..

Waendelee tu kudeka dawa yao ipo karibu... hivi Si uislam umekataza kuomba omba au ndio mafeki muslim ni manafiki.. wanainyea Quran na Uislam
Kuomba wapi tena umeelewa kilicholeezwa misaada ipo apo mpakani yani Misri tàtizo wao Wanazuiya mizigo isipite sio kuwa wao ndio watoe!!!!!
 
Watu wanasaidiwa na Wenye mapenzi na Palestina kuna misaada sio ya kitoto uko Mpakani n Misri,,, IDF mimacho inamtoka sasa anazuiya Misaada !!! Yeye si pia si anapokea kutoka Marekani na Ulaya!!!! Israel Awe mpole yote maisha tu.
 
Huko tunakoelekea wayahudi wote wataondoka atabaki netanyahu labda na ben gavir tu wazingu mnaowaita wayahudi kwao ni ulaya mda ukifika wakiona mambo magumu wanapanda ndege kurudi ww umeona wapi hao wapalestina wakiondoka licha ya banker busta na F35
Sasa eneo si lilikuwa la waarabu kwa asilimia 90 mpaka sasa hiv kati ya mwarabu na myahud nani kaondoka jibu swali.
 
Sasa wewe shoga upo Ikizu unajua Hamas walipojifika sasa kwa nini usiwaambie mabasha zako walipo Hamas😅
Punguza asira mzee kunywa maji. Trump kasema hicho kieneo anapita nacho mazima
 
Back
Top Bottom