Hamas mbona hawaonekani tena Gaza? Wameuawa? Wamekimbia? Wamejificha?

Hamas mbona hawaonekani tena Gaza? Wameuawa? Wamekimbia? Wamejificha?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Waziri mkuu wa Israel, Benjamini Netanyau amenukuliwa akisema kwa jeuri na majivuno kuwa, jeshi la Israeli (IDF) litafika kila eneo lisiloweza kufikiwa huko Gaza na hakuna kima, pimbi au mende wa kiHamas ataachwa salama.

Jeshi la Israeli kwa sasa liko katika viunga vya mitaa yote ya jiji la Gaza, mahali yalipo makao makuu ya shughuli zote za Hamas katika ukanda wa Gaza, kuanzia bungeni, hospitalini mpaka msikitini mayahudi yanajivinjari kama kwao, yakipiga mpaka selfie za dhihaka.

Mahandaki yanabomolewa, majumba mbali mbali yanapekuliwa na IDF kuna kama kuna hata panya wa kiHamas amebakia.

Wengi tulitegemea huenda majeshi ya Israeli hayatakanyaga Gaza kwa haraka hivi ama yakikanyaga tu yatakutana na upinzani mkali wa uso kwa uso kutoka kwa jeshi la Hamas, lakini hali imekuwa kinyume kabisa. Hamas kumbe kwenye vita ya mtaa kwa mtaa ni mrojo kabisa, bora hata mgambo wa kule Sudan wanaafadhali kubwa. Hamas kumbe wepesi hivi, bado nashindwa kuamini.

Hamas wako wapi tena?
Hamas wamekimbia kusikojulikana?
Hamas wameuawa karibu wote?
Hamas wamejificha kusikojulikana?

Ndio tuseme Makafir wanaelekea kushinda vita na kujinyakulia maeneo yote ya Gaza kirahisi namna hii.
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamini Netanyau amenukuliwa akisema kwa jeuri na majivuno kuwa, jeshi la Israeli (IDF) litafika kila eneo lisiloweza kufikiwa huko Gaza na hakuna kima, pimbi au mende wa kiHamas ataachwa salama.

Ndio tuseme Makafir wanaelekea kushinda vita na kujinyakulia maeneo yote ya Gaza kirahisi namna hii.

Screenshot_20231115-195433_Biblia%20Takatifu.jpg
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamini Netanyau amenukuliwa akisema kwa jeuri na majivuno kuwa, jeshi la Israeli (IDF) litafika kila eneo lisiloweza kufikiwa huko Gaza na hakuna kima, pimbi au mende wa kiHamas ataachwa salama....
Mbona unaandika kishabiki as if ni Mambo ya Simba na Yanga?

Mbona hujiulizi...
Kama wamefika kila mahali?
Je, "MATEKA 246"Wa kiisraeli wamepatikana?

Kama bado basi jibu ni kwamba IDF haijafika kila mahala,na ukweli utabakia kuwa watahangaika sana tu!

Kama Marekani ilivyohangaika Iraq bila mafanikio mpaka ikaamua kuyaondoa majeshi yake uli kunusuru anguko la uchumiwa Marekani!
 
Mbona unaandika kishabiki as if ni Mambo ya Simba na Yanga?

Mbona hujiulizi...
Kama wamefika kila mahali?
Je, "MATEKA 246"Wa kiisraeli wamepatikana?

Kama bado basi jibu ni kwamba IDF haijafika kila mahala,na ukweli utabakia kuwa watahangaika sana tu!

Kama Marekani ilivyohangaika Iraq bila mafanikio mpaka ikaamua kuyaondoa majeshi yake uli kunusuru anguko la uchumiwa Marekani!
Kwa Taarifa yako Israel haitaondoa Gaza ,itasalia Gaza kwa muda mrefu.taarifa niliyonayo kuna jambo linaenda kutokea utabaki mshangao.
Stay tunnued
 
Mbona unaandika kishabiki as if ni Mambo ya Simba na Yanga?

Mbona hujiulizi...
Kama wamefika kila mahali?
Je, "MATEKA 246"Wa kiisraeli wamepatikana?

Kama bado basi jibu ni kwamba IDF haijafika kila mahala,na ukweli utabakia kuwa watahangaika sana tu!

Kama Marekani ilivyohangaika Iraq bila mafanikio mpaka ikaamua kuyaondoa majeshi yake uli kunusuru anguko la uchumiwa Marekani!
Je kama wameuliwa
 
Haiwezi kuwa Rahisi hivyo

Hamasi wapo na watawamaliza hao IDF we subiri utaona
Je, ni wale wale HAMAS walioanzisha timbwili tar.7 Oct. 2023 au wameibuka magaidi wengine na kuamua kulirithi jina la HAMAS ya zamani waliopotezwa na Myahudi?
 
Hivi we Huna habari kuna kilio leo kuliko cha tarehe 7th October we tega masikio, wenzako wamekufa huko kama panzi.

Jeshi lilio ingia Al shifaa hospital wameisha safishwa, kule Mukhaim Al Shati jeshi la Israel wamekosa mawasiliano yani kikosi kizima kimemalizwa.

Kuna jeshi la Hamasi lipo ndani ya Israel we ka unaimba tarabu hapa
 
Hivi we Huna habari kuna kilio leo kuliko cha tarehe 7th October we tega masikio, wenzako wamekufa huko kama panzi.

Jeshi lilio ingia Al shifaa hospital wameisha safishwa, kule Mukhaim Al Shati jeshi la Israel wamekosa mawasiliano yani kikosi kizima kimemalizwa.

Kuna jeshi la Hamasi lipo ndani ya Israel we ka unaimba tarabu hapa
Tupe source ya hii taarifa yako
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamini Netanyau amenukuliwa akisema kwa jeuri na majivuno kuwa, jeshi la Israeli (IDF) litafika kila eneo lisiloweza kufikiwa huko Gaza na hakuna kima, pimbi au mende wa kiHamas ataachwa salama.

Jeshi la Israeli kwa sasa liko katika viunga vya mitaa yote ya jiji la Gaza, mahali yalipo makao makuu ya shughuli zote za Hamas katika ukanda wa Gaza, kuanzia bungeni, hospitalini mpaka msikitini mayahudi yanajivinjari kama kwao, yakipiga mpaka selfie za dhihaka.

Mahandaki yanabomolewa, majumba mbali mbali yanapekuliwa na IDF kuna kama kuna hata panya wa kiHamas amebakia.

Wengi tulitegemea huenda majeshi ya Israeli hayatakanyaga Gaza kwa haraka hivi ama yakikanyaga tu yatakutana na upinzani mkali wa uso kwa uso kutoka kwa jeshi la Hamas, lakini hali imekuwa kinyume kabisa. Hamas kumbe kwenye vita ya mtaa kwa mtaa ni mrojo kabisa, bora hata mgambo wa kule Sudan wanaafadhali kubwa. Hamas kumbe wepesi hivi, bado nashindwa kuamini.

Hamas wako wapi tena?
Hamas wamekimbia kusikojulikana?
Hamas wameuawa karibu wote?
Hamas wamejificha kusikojulikana?

Ndio tuseme Makafir wanaelekea kushinda vita na kujinyakulia maeneo yote ya Gaza kirahisi namna hii.
Vita ni akili bwana mdogo sio manguvu bila akili
 
Back
Top Bottom