Hamas mbona hawaonekani tena Gaza? Wameuawa? Wamekimbia? Wamejificha?

Hamas mbona hawaonekani tena Gaza? Wameuawa? Wamekimbia? Wamejificha?

Hivi we Huna habari kuna kilio leo kuliko cha tarehe 7th October we tega masikio, wenzako wamekufa huko kama panzi.

Jeshi lilio ingia Al shifaa hospital wameisha safishwa, kule Mukhaim Al Shati jeshi la Israel wamekosa mawasiliano yani kikosi kizima kimemalizwa.

Kuna jeshi la Hamasi lipo ndani ya Israel we ka unaimba tarabu hapa
Hahahhaaaaaa..... Akili ndogo km hizi zina shida Sana.

Uislam Ni tatizo la dunia .
 
Naona unschanganya kati ya Comical Ali zidi ya Chemical Ally.
Screenshot_20231116-200151.jpg
 
Mbona unaandika kishabiki as if ni Mambo ya Simba na Yanga?

Mbona hujiulizi...
Kama wamefika kila mahali?
Je, "MATEKA 246"Wa kiisraeli wamepatikana?

Kama bado basi jibu ni kwamba IDF haijafika kila mahala,na ukweli utabakia kuwa watahangaika sana tu!

Kama Marekani ilivyohangaika Iraq bila mafanikio mpaka ikaamua kuyaondoa majeshi yake uli kunusuru anguko la uchumiwa Marekani!
Gaza ina kaskazini na kusini mkuu.. idf wako kaskazini pekee sasa
 
Of course Hamas style yao ni Guerrilla warfare. Hit and run. Usiwategemee kwenye confrontation za conventional war. Wanajua weakness zao na hivyo best way ni hit ansd run.
 
Amka usingizi,Hamas ndio ishakufa hivyo
Hamas imebakia historia.

..... kwenye mwaka wa 19.. kilianzishwa kikundi cha kigaidi eneo la Gaza linalokaliwa na Palestina.....

... mwaka 2023 jeshi imara la Israel lilisambaratisha kikundi cha Hamas na kuirudisha ardhi ya Gaza kwenye Taifa la Israel. ..

GOD BLESS ISRAEL
🇮🇱
 
Raia wasiokua na hatia ndio wanaanza kuwafanyia hivi
 

Attachments

  • Screenshot_20231117_064238_Chrome.jpg
    Screenshot_20231117_064238_Chrome.jpg
    111.2 KB · Views: 3
hizo sarakasi za israel ni kutaka kutuonesha sisi kajamba nani kwamba yeye ni mbabe ila kimya kimya wanakipata pata huko...wao wanaua raia tu ila hatusikii jeshi la HAMAS wamekufa wangapi na wale mateka 200+ mbon hawakombolewi mpk sasa
Hsyo hayatuhusu, sisi tutawapiga wote hadi mseme imetosha
 
kati ya kitu cha kumshukuru Mungu kuliko vyote ni kwamba, aliwanyima nguvu za kivita na akili wafuasi wa mnyazi, wangelikuwa na akili ya shule na utafiti na wakawa na nguvu kijeshi, wangetunyanyasa sana. Mungu naye aliona, akaamua kuwatengua ubongo na nguvu za kivita, watabaki wanasota milele hadi wamwamini Yesu Kristo wajiunge kwenye safari ya mbinguni.
 
Back
Top Bottom