Hamas mbona hawaonekani tena Gaza? Wameuawa? Wamekimbia? Wamejificha?

Hamas mbona hawaonekani tena Gaza? Wameuawa? Wamekimbia? Wamejificha?

Hivi we Huna habari kuna kilio leo kuliko cha tarehe 7th October we tega masikio, wenzako wamekufa huko kama panzi.

Jeshi lilio ingia Al shifaa hospital wameisha safishwa, kule Mukhaim Al Shati jeshi la Israel wamekosa mawasiliano yani kikosi kizima kimemalizwa.

Kuna jeshi la Hamasi lipo ndani ya Israel we ka unaimba tarabu hapa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Mkuu kwa hiyo kwa sasa umekubali IDF wapo ndani ya Gaza?
 
Haiwezi kuwa Rahisi hivyo

Hamasi wapo na watawamaliza hao IDF we subiri utaona
🤣🤣We jamaa Umenikumbusha vita ya Iraq na US mwaka 2003. Kulikuwa na Waziri mmoja wa Iraq alikuwa machachari sana kwa propaganda. Mojawapo ilikuwa kwamba tayari wameshaandaa makaburi ya kuwazika askari wote Marekani watakao thubutu kuingiza miguu yao Iraq. Na kwamba hakuna askari hata mmoja atakeingia Iraq ambaye angetoka akiwa hai.
 
Ni kweli hawaonekani ila tunashangaa bado wanazidi kurusha rockets Tel aviv ndani ya mipaka ya Israel na kulipua vifaru vya majeshi ya Israel. Hawa jamaa watakua siyo binadamu wa kawaida hawa.
Unataka kumaanisha nini😳?
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamini Netanyau amenukuliwa akisema kwa jeuri na majivuno kuwa, jeshi la Israeli (IDF) litafika kila eneo lisiloweza kufikiwa huko Gaza na hakuna kima, pimbi au mende wa kiHamas ataachwa salama.

Jeshi la Israeli kwa sasa liko katika viunga vya mitaa yote ya jiji la Gaza, mahali yalipo makao makuu ya shughuli zote za Hamas katika ukanda wa Gaza, kuanzia bungeni, hospitalini mpaka msikitini mayahudi yanajivinjari kama kwao, yakipiga mpaka selfie za dhihaka.

Mahandaki yanabomolewa, majumba mbali mbali yanapekuliwa na IDF kuna kama kuna hata panya wa kiHamas amebakia.

Wengi tulitegemea huenda majeshi ya Israeli hayatakanyaga Gaza kwa haraka hivi ama yakikanyaga tu yatakutana na upinzani mkali wa uso kwa uso kutoka kwa jeshi la Hamas, lakini hali imekuwa kinyume kabisa. Hamas kumbe kwenye vita ya mtaa kwa mtaa ni mrojo kabisa, bora hata mgambo wa kule Sudan wanaafadhali kubwa. Hamas kumbe wepesi hivi, bado nashindwa kuamini.

Hamas wako wapi tena?
Hamas wamekimbia kusikojulikana?
Hamas wameuawa karibu wote?
Hamas wamejificha kusikojulikana?

Ndio tuseme Makafir wanaelekea kushinda vita na kujinyakulia maeneo yote ya Gaza kirahisi namna hii.

Wakati nyie mnaendelea kujadiliana wao wanauwa wanajeshi na kuteketeza vifaru

Vita ya chini hawawezi, in short wameshindwa vita hao ndugu zenu
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamini Netanyau amenukuliwa akisema kwa jeuri na majivuno kuwa, jeshi la Israeli (IDF) litafika kila eneo lisiloweza kufikiwa huko Gaza na hakuna kima, pimbi au mende wa kiHamas ataachwa salama.

Jeshi la Israeli kwa sasa liko katika viunga vya mitaa yote ya jiji la Gaza, mahali yalipo makao makuu ya shughuli zote za Hamas katika ukanda wa Gaza, kuanzia bungeni, hospitalini mpaka msikitini mayahudi yanajivinjari kama kwao, yakipiga mpaka selfie za dhihaka.

Mahandaki yanabomolewa, majumba mbali mbali yanapekuliwa na IDF kuna kama kuna hata panya wa kiHamas amebakia.

Wengi tulitegemea huenda majeshi ya Israeli hayatakanyaga Gaza kwa haraka hivi ama yakikanyaga tu yatakutana na upinzani mkali wa uso kwa uso kutoka kwa jeshi la Hamas, lakini hali imekuwa kinyume kabisa. Hamas kumbe kwenye vita ya mtaa kwa mtaa ni mrojo kabisa, bora hata mgambo wa kule Sudan wanaafadhali kubwa. Hamas kumbe wepesi hivi, bado nashindwa kuamini.

Hamas wako wapi tena?
Hamas wamekimbia kusikojulikana?
Hamas wameuawa karibu wote?
Hamas wamejificha kusikojulikana?

Ndio tuseme Makafir wanaelekea kushinda vita na kujinyakulia maeneo yote ya Gaza kirahisi namna hii.
Wameipenda wenyewe, chaguo lao wenyewe, wacha waisome namba eee, IDF mbele kwa mbele. Upanga wa wana wa Yakobo hautawaacha salama wavaa pedo
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamini Netanyau amenukuliwa akisema kwa jeuri na majivuno kuwa, jeshi la Israeli (IDF) litafika kila eneo lisiloweza kufikiwa huko Gaza na hakuna kima, pimbi au mende wa kiHamas ataachwa salama.

Jeshi la Israeli kwa sasa liko katika viunga vya mitaa yote ya jiji la Gaza, mahali yalipo makao makuu ya shughuli zote za Hamas katika ukanda wa Gaza, kuanzia bungeni, hospitalini mpaka msikitini mayahudi yanajivinjari kama kwao, yakipiga mpaka selfie za dhihaka.

Mahandaki yanabomolewa, majumba mbali mbali yanapekuliwa na IDF kuna kama kuna hata panya wa kiHamas amebakia.

Wengi tulitegemea huenda majeshi ya Israeli hayatakanyaga Gaza kwa haraka hivi ama yakikanyaga tu yatakutana na upinzani mkali wa uso kwa uso kutoka kwa jeshi la Hamas, lakini hali imekuwa kinyume kabisa. Hamas kumbe kwenye vita ya mtaa kwa mtaa ni mrojo kabisa, bora hata mgambo wa kule Sudan wanaafadhali kubwa. Hamas kumbe wepesi hivi, bado nashindwa kuamini.

Hamas wako wapi tena?
Hamas wamekimbia kusikojulikana?
Hamas wameuawa karibu wote?
Hamas wamejificha kusikojulikana?

Ndio tuseme Makafir wanaelekea kushinda vita na kujinyakulia maeneo yote ya Gaza kirahisi namna hii.
Wameipenda wenyewe, chaguo lao wenyewe, wacha waisome namba eee, IDF mbele kwa mbele. Upanga wa wana wa Yakobo hautawaacha salama wavaa pedo
 
Sasa hiyo Habari ya kijiweni,toa Habari vzr tupate update za uhakika
Hivi we Huna habari kuna kilio leo kuliko cha tarehe 7th October we tega masikio, wenzako wamekufa huko kama panzi.

Jeshi lilio ingia Al shifaa hospital wameisha safishwa, kule Mukhaim Al Shati jeshi la Israel wamekosa mawasiliano yani kikosi kizima kimemalizwa.

Kuna jeshi la Hamasi lipo ndani ya Israel we ka unaimba tarabu hapa
 
Sasa hiyo Habari ya kijiweni,toa Habari vzr tupate update za uhakika

Update za gaza jf huwezi pata kitu coz wanajf tumeifanya ile vita kama mechi za simba na yanga watu wanatetea mahaba yao si myahudi so mpalestina wa tz wote wanajisifia tu.ukitaka update fuatilia international media
 
Update za gaza jf huwezi pata kitu coz wanajf tumeifanya ile vita kama mechi za simba na yanga watu wanatetea mahaba yao si myahudi so mpalestina wa tz wote wanajisifia tu.ukitaka update fuatilia international media
Sahihi...ushabiki ndio sana.. eti hapo juu kwenye comment mtu kaandika .."nina taarifa kuwa blaa blaa".. 😆 as if yeye ndio Netanyahu
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamini Netanyau amenukuliwa akisema kwa jeuri na majivuno kuwa, jeshi la Israeli (IDF) litafika kila eneo lisiloweza kufikiwa huko Gaza na hakuna kima, pimbi au mende wa kiHamas ataachwa salama.

Jeshi la Israeli kwa sasa liko katika viunga vya mitaa yote ya jiji la Gaza, mahali yalipo makao makuu ya shughuli zote za Hamas katika ukanda wa Gaza, kuanzia bungeni, hospitalini mpaka msikitini mayahudi yanajivinjari kama kwao, yakipiga mpaka selfie za dhihaka.

Mahandaki yanabomolewa, majumba mbali mbali yanapekuliwa na IDF kuna kama kuna hata panya wa kiHamas amebakia.

Wengi tulitegemea huenda majeshi ya Israeli hayatakanyaga Gaza kwa haraka hivi ama yakikanyaga tu yatakutana na upinzani mkali wa uso kwa uso kutoka kwa jeshi la Hamas, lakini hali imekuwa kinyume kabisa. Hamas kumbe kwenye vita ya mtaa kwa mtaa ni mrojo kabisa, bora hata mgambo wa kule Sudan wanaafadhali kubwa. Hamas kumbe wepesi hivi, bado nashindwa kuamini.

Hamas wako wapi tena?
Hamas wamekimbia kusikojulikana?
Hamas wameuawa karibu wote?
Hamas wamejificha kusikojulikana?

Ndio tuseme Makafir wanaelekea kushinda vita na kujinyakulia maeneo yote ya Gaza kirahisi namna hii.
Wapo chini ya ardhi na awataki jeshi la Israel litoe misaada ya kibinadamu kwenye hospital ya Al shifa maana wanajua watakutana nao uso kwa uso! Hawa jamaa bhana....wanawaambia watu waliojificha pale hospital wasiondoke na kama wakipata madhara yeyote familia zao zitalipwa fidia na Hamas
 
Hivi we Huna habari kuna kilio leo kuliko cha tarehe 7th October we tega masikio, wenzako wamekufa huko kama panzi.

Jeshi lilio ingia Al shifaa hospital wameisha safishwa, kule Mukhaim Al Shati jeshi la Israel wamekosa mawasiliano yani kikosi kizima kimemalizwa.

Kuna jeshi la Hamasi lipo ndani ya Israel we ka unaimba tarabu hapa
We ni mzima kweli? Umetumiwa email au? Au upo Gaza?
 
Mbona unaandika kishabiki as if ni Mambo ya Simba na Yanga?

Mbona hujiulizi...
Kama wamefika kila mahali?
Je, "MATEKA 246"Wa kiisraeli wamepatikana?

Kama bado basi jibu ni kwamba IDF haijafika kila mahala,na ukweli utabakia kuwa watahangaika sana tu!

Kama Marekani ilivyohangaika Iraq bila mafanikio mpaka ikaamua kuyaondoa majeshi yake uli kunusuru anguko la uchumiwa Marekani!
Hivi unazani Israel anatafuta hao mateka mithili ya mtu anayetafuta sindano au sarafu iliyo dondoka kwenye kichaka? Au unazani IDF hawajui mpaka leo walipo mateka? Hamas wanaojeruhiwa kwenye makabiliano na IDF wanapelekwa Israel kwa nn? Na unazani huko Israel wanaenda kutibiwa tu huku wakipewa pole ya tende,kahawa na sigara?Wenzio wanataka kukomboa mateka wao kishujaa ikishindikana plan ya mwisho kabsa kabsa ni kuisafisha Gaza na kuandika historian mpya. Hayo yanayoendelea yakubadilishana sijui wafungwa ni mark time na timing tu.
 
Mbona unaandika kishabiki as if ni Mambo ya Simba na Yanga?

Mbona hujiulizi...
Kama wamefika kila mahali?
Je, "MATEKA 246"Wa kiisraeli wamepatikana?

Kama bado basi jibu ni kwamba IDF haijafika kila mahala,na ukweli utabakia kuwa watahangaika sana tu!

Kama Marekani ilivyohangaika Iraq bila mafanikio mpaka ikaamua kuyaondoa majeshi yake uli kunusuru anguko la uchumiwa Marekani!
Marekan katoa jeshi Iraq. Una uhakika Chief.
 
Waziri mkuu wa Israel, Benjamini Netanyau amenukuliwa akisema kwa jeuri na majivuno kuwa, jeshi la Israeli (IDF) litafika kila eneo lisiloweza kufikiwa huko Gaza na hakuna kima, pimbi au mende wa kiHamas ataachwa salama.

Jeshi la Israeli kwa sasa liko katika viunga vya mitaa yote ya jiji la Gaza, mahali yalipo makao makuu ya shughuli zote za Hamas katika ukanda wa Gaza, kuanzia bungeni, hospitalini mpaka msikitini mayahudi yanajivinjari kama kwao, yakipiga mpaka selfie za dhihaka.

Mahandaki yanabomolewa, majumba mbali mbali yanapekuliwa na IDF kuna kama kuna hata panya wa kiHamas amebakia.

Wengi tulitegemea huenda majeshi ya Israeli hayatakanyaga Gaza kwa haraka hivi ama yakikanyaga tu yatakutana na upinzani mkali wa uso kwa uso kutoka kwa jeshi la Hamas, lakini hali imekuwa kinyume kabisa. Hamas kumbe kwenye vita ya mtaa kwa mtaa ni mrojo kabisa, bora hata mgambo wa kule Sudan wanaafadhali kubwa. Hamas kumbe wepesi hivi, bado nashindwa kuamini.

Hamas wako wapi tena?
Hamas wamekimbia kusikojulikana?
Hamas wameuawa karibu wote?
Hamas wamejificha kusikojulikana?

Ndio tuseme Makafir wanaelekea kushinda vita na kujinyakulia maeneo yote ya Gaza kirahisi namna hii.
Wengi wameuliwa

Wengine wametekwa

Na wengine wamevua magwanda wamevaa kiraia na kuikimbia Gaza kama raia na wengine wamejifanya wagonjwa hapo shia hospital et wapo vitanda vya wagonjwa😕😃😃😃😃

Wavaavipedo bila Chupi mnataabika Sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom