This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 5,050
- 5,204
Hahahhaaaaaa..... Akili ndogo km hizi zina shida Sana.Hivi we Huna habari kuna kilio leo kuliko cha tarehe 7th October we tega masikio, wenzako wamekufa huko kama panzi.
Jeshi lilio ingia Al shifaa hospital wameisha safishwa, kule Mukhaim Al Shati jeshi la Israel wamekosa mawasiliano yani kikosi kizima kimemalizwa.
Kuna jeshi la Hamasi lipo ndani ya Israel we ka unaimba tarabu hapa
Akili za ki Hamas au......Vita ni akili bwana mdogo sio manguvu bila akili
Mbona unaleta ubishi wa kitoto,Al-Sahaf ndio alikuwa Waziri wa Habari wa Iraq kipindi cha Vita,huyo Chemical Ally alikuwa mwanajeshi ndio aliamuru Wakurdi wapigwe na silaha za chemicals ndio akapewa jina la utani Chemical Ally.Acha izo basi View attachment 2815504
Death to Netanyahu,Death to Israel, Death to America huku wakichoma vinyago vya Netanyahu,Bieden na Bendera zao.Wako Iran wakichora mstari mwekundu.
Naona unschanganya kati ya Comical Ali zidi ya Chemical Ally.Acha izo basi View attachment 2815504
Gaza ina kaskazini na kusini mkuu.. idf wako kaskazini pekee sasaMbona unaandika kishabiki as if ni Mambo ya Simba na Yanga?
Mbona hujiulizi...
Kama wamefika kila mahali?
Je, "MATEKA 246"Wa kiisraeli wamepatikana?
Kama bado basi jibu ni kwamba IDF haijafika kila mahala,na ukweli utabakia kuwa watahangaika sana tu!
Kama Marekani ilivyohangaika Iraq bila mafanikio mpaka ikaamua kuyaondoa majeshi yake uli kunusuru anguko la uchumiwa Marekani!
Chupi kwao najisi wakijukojolea inakuwa chafu hivyo Huwa wanavaa pedo na kanzu tuDah! Bila chupi tena!
Hamas imebakia historia.Amka usingizi,Hamas ndio ishakufa hivyo
Alli Saafu, wanajeshi wa Iraq waliuawa wengine kukimbia, Alli Saaf akasema hugo ni mbinu ya vita na hakuna adui atatoka salama katika malango ya Baghdadi.Kemiko Ally.. huyu mpuuzi alitufanya tukashangilia kumbe akuna kitu
Wewe unaweza toa taarifa wapi ya ki intelligencia kuhusu Gaza ? Wabongo bwana .Kwa Taarifa yako Israel haitaondoa Gaza ,itasalia Gaza kwa muda mrefu.taarifa niliyonayo kuna jambo linaenda kutokea utabaki mshangao.
Stay tunnued
Hsyo hayatuhusu, sisi tutawapiga wote hadi mseme imetoshahizo sarakasi za israel ni kutaka kutuonesha sisi kajamba nani kwamba yeye ni mbabe ila kimya kimya wanakipata pata huko...wao wanaua raia tu ila hatusikii jeshi la HAMAS wamekufa wangapi na wale mateka 200+ mbon hawakombolewi mpk sasa