Hamas ni miongoni mwa wanaoshangilia usitishwaji wa vita

Hamas ni miongoni mwa wanaoshangilia usitishwaji wa vita

Kumbe kuna muda network ikirudi wanakuwa na akili pia...............gaidi bila akili cease fire linashangilia
Lazima wafurahi maana wameshuhudia kwa macho migaidi myenzao kama yahya sinwar ikiuliwa kibudu na Israel, wapalestina zaidi ya 40K wameuliwa ka kuku.
 
Mwamba Trump kesho anaapishwa, magaidi wa Hamas na washirika wao hawajui hatima yao.

Na baada ya kuapishwa wahamiaji wanaanza kuondolewa warudi walikotoka.
 
Kumbe kuna muda network ikirudi wanakuwa na akili pia...............gaidi bila akili cease fire linashangilia
Bunduki imewaweka akili sawa! Gaidi lugha pekee anayoielewa ni risasi! Bahati mbaya kwao Israel wanaijua na wanaipenda risasi; wamenyooshwa umbwa hao.
 
Bunduki imewaweka akili sawa! Gaidi lugha pekee anayoielewa ni risasi! Bahati mbaya kwao Israel wanaijua na wanaipenda risasi; wamenyooshwa umbwa hao.
Nikikumbuka Yahya, Nasrall na Haniyah walivyopasuliwa kibudu aisee myahudi noumer.
 
Mm naona walitakiwa kuhudhunika maana wameshindwa kuiona Pepo mapema.
 
Wacha uwongo wewe hao wanashangilia ushindi. Shetanyahu alisema hakuna mwanamgambo wa kubaki wa Hamasi pale Gaza, na ataikalia kwa nguvu leo yuko wapi.

Hamasi wanaume Israel kasaidiwa na Europe na US mpaa na India hawakuweza kuwashinda Hamasi.
Wacha weee mwarabu wa Kipatimu huyo. 😀😀😀😀
 
Lazima wafurahi maana wameshuhudia kwa macho migaidi myenzao kama yahya sinwar ikiuliwa kibudu na Israel, wapalestina zaidi ya 40K wameuliwa ka kuku.
Mumeumia kuona wapendwa wameshinda mlidhani muislam muoga wa kufa kama nyinyi mungu wetu mnamsaidoa kuponya Wagonjwa kimchongo!!!!
 
Kumbe nawao wanaogopa kufa...🤔
Netanyahu anawajua vizuli wapalestina ndio mana katema Bungo wamekufa IDF wa kutosha na walikuwa wanaendelea kufa chezea muislam ww marekani mwenyewe alitoka mbio na pichu mkononi muislam anamatumaini zaid na mungu wake kufa sio ishu kwake.
 
Wacha uwongo wewe hao wanashangilia ushindi. Shetanyahu alisema hakuna mwanamgambo wa kubaki wa Hamasi pale Gaza, na ataikalia kwa nguvu leo yuko wapi.

Hamasi wanaume Israel kasaidiwa na Europe na US mpaa na India hawakuweza kuwashinda Hamasi.
Mkuu kwa hiyo hamas mpaka sasa kwenye hiyo vita wame gain nini?
 

Attachments

  • 20250119_231721.jpg
    20250119_231721.jpg
    253.9 KB · Views: 3
Huo moto waliowasha uliwawasha wenyewe nadhani wakiikumbuka October 7 wanajisikilizia maumivu
 
Watu wanataka nchi huru , hakuna kukata tamaa , akili zao sio kama Chadema gari moja la polisi mbio na maandamano wanayakimbia
Uhuru wa kufuta wengine wasiwepo kwenye uso wa Dunia eti kisa SI waisilamu haukubaliki
 
Uhuru wa kufuta wengine wasiwepo kwenye uso wa Dunia eti kisa SI waisilamu haukubaliki
Hata Israel aliambiwa afute wenzake wote kwenye Biblia ili atawale peke yake tena ni amri ya Mungu wao toka kale, lakini kwasasa hawezi kila mmoja ana haki ya kuwa na nchi yake
 
Back
Top Bottom