Hamas tumieni mbinu hii kumshinda Israel

Hamas tumieni mbinu hii kumshinda Israel

Hao Hamas si mliwatambia kuwa kila raia wa Israel ni mjeda? Basi ndio siri ya kichapo cha yeyote watakayemkuta njiani wanajua ni mwanajeshi huyo.
Na israel anajua kila mtu aishie ukanda wa gaza ni gaidi!! Hata awe mtoto mchanga lazima tu atakuja kuwa gaidi, na wao wanamuwahi!! Kwa hiyo hakuna suala la kuomba huruma.
 
Happy HAMAS Ni mapunga kupitiliza, waliingia kichwa kichwa acha Sasa waone Cha mtema kuni.
 
Nawaza tu, hivi hatuna makomando wetu wa kwenda gaza kuokoa raia wetu kama wako mateka mikononi mwa hamas kama ile operation entebe? Au hiyo kazi itafanywa na makomando wa kiisrael kuokoa mateka hao? Kama vipi israel ishirikishe makomando wetu kwenye opesheni ya kuokoa mateka hao.
Mimi naamini makomando wa Israel tayar wapo Gaza tena sio peke Yao inawezekana hata wa US pia wamohizi operation ni ngumu lazima uwe makini la sivyo utapoteza wote.
 
Nawaza tu, hivi hatuna makomando wetu wa kwenda gaza kuokoa raia wetu kama wako mateka mikononi mwa hamas kama ile operation entebe? Au hiyo kazi itafanywa na makomando wa kiisrael kuokoa mateka hao? Kama vipi israel ishirikishe makomando wetu kwenye opesheni ya kuokoa mateka hao.

Entebbe issue was so different. Hakuna anaejua state ya raia wetu waliopotea na wako wapi.
Mean while israel iko busy masna wao wahanga wakuu.
 
Hizo ng'ombe za kizayuni ni magaidi pia ,wameshambulia hospital yote bila kujali Kuna wagonjwa.USA ni mnafiki pamoja na usharika wake.. Chuki ya USA ni dhidi ya uislamu tu hana jipya maana walishasema hawapigani na ugaidi ila wanapigana dhidi ya uislamu.

Wapi wali state officialy kuwa hawapigani na ugaidi wanapigana na dini?
 
Raia wote wa Israel ni askari au hujui wewe?

Kuna tofauti ya kuwa active na reserve.
Ni similar kwetu wengi wamepita jkt, ikiyokea vita serous wataitwa frontline sababu tyr una mafunzo.
Lakin si kila mtu ni mwanajeshi , na kuwa mwanajeshi hakumaanishi unakuwa invisible
 
Hamasi hawana uhusiano na rais wao Abasi. Yaani kile ni kikundi cha kigaidi kama alivyo Mbowe na kikundi chake
chawa wa mama , usije toa tgo kwa mme wa first lady wetu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa,mfano ukirudia maandishi yako,mbinu ya HAMAS kutumia kushinda vita na Israel iko wapi?

Kingine unaposema kwamba Israel alifanya kitendo cha uungwana kuwataka watu wahame. Unadhani kuacha kila kitu na kuondoka ni rahisi kama unavyofikilia? Haya,waote wana magari ya kusafilia? Siku moja iliyotolewa,wote walikuwa na nauli za kutumia?
Mkuu,ukimbizi usikie tu kwa watu usiombe ukukute,we chukulia poa tu.
Kikubwa iwe HAMAS au Israel wote wauaji tu.
Kama Israel angekuwa na akili,angewasaka wahusika kuliko kuua bila kuchagua. Kuuawa kwa aliyehusika na mauwaji kusingekuwa na tabu.
Kwani Israel ikishinda,wa Palestina wanaenda wapi? Na HAMAS ikishinda,wayahudi wataenda wapi? Wote si wakazi wa eneo hilo! Kikubwa wangekaa meza moja na kugawa ardhi kwa nchi mbili na zikaktambulika kimataifa. Full stop
 
Back
Top Bottom