Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Nilikuliza swali ukandandia mnazi πMwarabu atatolewa Israeli kama alivyotolewa Spain.
Alichobakiza ni Misikiti ambayo imefanywa Museums huko Spain.Nilikuliza swali ukandandia mnazi π
Warabu wamewazalisha Spain usiombe. Kama vile walivyo wazalisha wafrica, sa zamu ya mchina kuwazalisha.
We si ajabu shombe wa kiarabu naona unawachukia sana warabu.
Badaye usianze wachukia wachina pia.
Sawa lini tunaenda kanisani kulipia maji anayo leta Padr we kaa benches za mwanzo ili ulipe pesa nyingi. Mimi tenda kusikiliza tu nyimbo zile za kwaya huwa nzuri sana haswa ile ya chini chini πAlichobakiza ni Misikiti ambayo imefanywa Museums huko Spain.
Wanaukumbi.
π¨ HAMAS ILITUMA MAJIBU KUHUSU PENDEKEZO LA KUSITISHA MAPIGANO KWA WAPATANISHI PAMOJA NA MABADILIKO.
Haniyeh na Nakhaleh walikabidhi majibu ya pendekezo la "israeli" la kusitisha mapigano kwa Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar.
Majibu ambayo yalikabidhiwa ni pamoja na marekebisho ya pendekezo la "israeli", ikiwa ni pamoja na kusitisha mapigano.
Marekebisho hayo yalijumuisha uondoaji kutoka Ukanda wote wa Gaza, ikijumuisha kivuko cha Rafah na kivuko cha Philadelphia.
======================
π¨JUST IN: HAMAS SENT THE RESPONSE REGARDING CEASEFIRE PROPOSAL TO THE MEDIATORS WITH AMENDMENTS.
Haniyeh and Nakhaleh handed over the response to the "israeli" ceasefire proposal to the Prime Minister and Foreign Minister of Qatar.
The response that was handed over included amendments to the "israeli" proposal, including a ceasefire.
The amendments included a withdrawal from the entire Gaza Strip, including the Rafah crossing and the Philadelphia crossing.
View: https://x.com/suppressednws/status/1800605042145120726?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
ZIMEANZA LINI KUJIPANGA? HUU UONGO WA MIEZI MINGI. SI MLISEMA IRAN? KIKO WAPI? MSIDHANI NA WENZENU NAO HAWANA AKILIHii ni deal ya Wamarekani ili kuficha aibu ya netanyau wanajidai ni deal ya netanyau.
Kabla ya deal, USA kwa mara ya jwanza wameomba wao ceasefire UN.
Baada ya meli yao kubwa ya kivita kutandikwa na Wayemeni. Hivi ipo jeddah kwa vibaraka wao inatengenezwa, ilichapwa wik au wiki mbili nyuma.
WakitazqmA Hezbollah inawapelekea moto, Wayemeni wanawapelekea moto, Wairan waliwapelekea moto, Ghaza wanapelekewa moto kukicha.
Walidhani kuuwa watoto na wanawake na kubomoa mahospitali kutawakatisha tamaa, kumbe ndiyo wanajipalilia mkaa.
Waendelee kubana waone cha moto cha wengoine ambao wanajipanga. Marekani wanalijuwa hilo, wanajuwa kuna nchi zinajipanhga ziungane na Wapalestina, kuna Pakistan, kuna Afghanistan, wote hao damu ishawachemka.
Unstumia lugha za matusi ila ukweli wewe ni kilazaWewe jamaa uwa punguani sana sijui unapinga nini wewe mlokole unakataa wasome mabwana zako hapa chini.
Wewe ndiyo una matatizo upo Mbarali kisha unapinga mambo yanafanyika Mashariki ya Kati kwa kutumia fikra zako.Mnamatatizo sana, Vita inapiganwa ukanda wa Gaza, halafu Hmas ndio watoe masharti?
Yani nakupigia sebuleni hadi chumbani kwako halafu wewe ndio ulete masharti ya cease fire, uongo ulio kithiri.