Hamas wamekubali pendekezo la Israel la kusitisha vita na kuondoa majeshi yote Gaza na kubadilshana wafungwa

Hamas wamekubali pendekezo la Israel la kusitisha vita na kuondoa majeshi yote Gaza na kubadilshana wafungwa

Nlikuambia mantiki inategemeana na mhusika. It is very subjective. So shika hili dogo. Kweli yako si kweli ya wote. Mimi nimekula chumvi nyingi na nime ona mengi nikiwa mwana Tanu mpaka sasa CCM. mtu akiambiwa usifanye hivi, akakaidi akafanya atapigwa tu. Na mimi nasema wacha wapigwe.
Kwani hamna wazee mapunguani mbona wajinga wengi tu wanazeeka kama wewe.
 
Nlikuambia mantiki inategemeana na mhusika. It is very subjective. So shika hili dogo. Kweli yako si kweli ya wote. Mimi nimekula chumvi nyingi na nime ona mengi nikiwa mwana Tanu mpaka sasa CCM. mtu akiambiwa usifanye hivi, akakaidi akafanya atapigwa tu. Na mimi nasema wacha wapigwe.
Hakuna mtu mzima anayewaza kwa akili zako.
Nina mashaka na uelewa wako.
Si kila japo la utakwa binafsi lina mantiki.
Nina mashaka na huko kula kwako chumvi nyingi.
Maslahi ya mmoja yanafananaje na maslahi ya wengi!?
Tufanye umeshinda mkuu.
 
Nlikuambia mantiki inategemeana na mhusika. It is very subjective. So shika hili dogo. Kweli yako si kweli ya wote. Mimi nimekula chumvi nyingi na nime ona mengi nikiwa mwana Tanu mpaka sasa CCM. mtu akiambiwa usifanye hivi, akakaidi akafanya atapigwa tu. Na mimi nasema wacha wapigwe.
Utakuwa na matatizo kichwani. Kwakula chumvi nyingi na haufahamu kuwa Israeli inaikalia kibabavu palestina
 
Hakuna mtu mzima anayewaza kwa akili zako.
Nina mashaka na uelewa wako.
Si kila japo la utakwa binafsi lina mantiki.
Nina mashaka na huko kula kwako chumvi nyingi.
Maslahi ya mmoja yanafananaje na maslahi ya wengi!?
Tufanye umeshinda mkuu.
Dogo mbishi na mgumu kuelewa. Umekariri tu some terms. Huzielewi.
 
Back
Top Bottom