Kwani hamna wazee mapunguani mbona wajinga wengi tu wanazeeka kama wewe.Nlikuambia mantiki inategemeana na mhusika. It is very subjective. So shika hili dogo. Kweli yako si kweli ya wote. Mimi nimekula chumvi nyingi na nime ona mengi nikiwa mwana Tanu mpaka sasa CCM. mtu akiambiwa usifanye hivi, akakaidi akafanya atapigwa tu. Na mimi nasema wacha wapigwe.
Hakuna mtu mzima anayewaza kwa akili zako.Nlikuambia mantiki inategemeana na mhusika. It is very subjective. So shika hili dogo. Kweli yako si kweli ya wote. Mimi nimekula chumvi nyingi na nime ona mengi nikiwa mwana Tanu mpaka sasa CCM. mtu akiambiwa usifanye hivi, akakaidi akafanya atapigwa tu. Na mimi nasema wacha wapigwe.
Huyo jamaa anaibishia hadi Amnesty na UN.Wewe uwa punguani sana kila kitu unabisha tu kisa unawapenda mabwana zako.
Israel's economy shrinks more than expected on Gaza war
Its gross domestic product contracted by far more than expected in the wake of the conflict with Gaza.www.bbc.com
Utakuwa na matatizo kichwani. Kwakula chumvi nyingi na haufahamu kuwa Israeli inaikalia kibabavu palestinaNlikuambia mantiki inategemeana na mhusika. It is very subjective. So shika hili dogo. Kweli yako si kweli ya wote. Mimi nimekula chumvi nyingi na nime ona mengi nikiwa mwana Tanu mpaka sasa CCM. mtu akiambiwa usifanye hivi, akakaidi akafanya atapigwa tu. Na mimi nasema wacha wapigwe.
Afadhali wakiwa wamezeeka. Inasikitisha wakiwa vijana wapumbavu kama wewe dogo. 😁Kwani hamna wazee mapunguani mbona wajinga wengi tu wanazeeka kama wewe.
Dogo mbishi na mgumu kuelewa. Umekariri tu some terms. Huzielewi.Hakuna mtu mzima anayewaza kwa akili zako.
Nina mashaka na uelewa wako.
Si kila japo la utakwa binafsi lina mantiki.
Nina mashaka na huko kula kwako chumvi nyingi.
Maslahi ya mmoja yanafananaje na maslahi ya wengi!?
Tufanye umeshinda mkuu.
Chogo huwa linajaa makande. Wakichokoza watapiga tu. Hata ukitumia IDs zako zote.Utakuwa na matatizo kichwani. Kwakula chumvi nyingi na haufahamu kuwa Israeli inaikalia kibabavu palestina
Mie sio dogo mkuu nina utu uzima wa kutosha.Dogo mbishi na mgumu kuelewa. Umekariri tu some terms. Huzielewi.