Netanyahu ana umri wa miaka 74 sasa hivi. Mwaka jana alifanyiwa upasuaji wa moyo na kuwekewa pacemaker (kama ile inayodaiwa kuwa alikuwa nayo Magufuli).Wanakumbi.
Netanyahu alikuwa akitetemeka sana wakati mpiga picha alipogundua, mara moja alijaribu kuwaficha kwenye video .
Netanyahu ana kila kitu anapewa misaada ye pesa na silaha kutoka Marekani na Ulaya.
Hamas wamemfanya anateteka hovyo.
View: https://x.com/sprinterfamily/status/1832801354986701036?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ana ripoti Dr wa Netanyahu kutoka MAKWENJE..Netanyahu ana umri wa miaka 74 sasa hivi. Mwaka jana alifanyiwa upasuaji wa moyo na kuwekewa pacemaker (kama ile inayodaiwa kuwa alikuwa nayo Magufuli).
Israeli doctors reveal Netanyahu's yearslong heart problem only after implanting pacemaker
Netanyahu's current medical crisis reveals that he has suffered from an irregular heartbeat for years. It's news to Israelis that their longest-serving prime minister has been dealing with a chronic health problem.www.pbs.org
Kwa hiyo ni mzee huyo, na yuko katika umri wa kuumwa magonjwa ya uzeeni. Mikono kutetemeka ni mojawapo ya magonjwa ya uzeeni yanayohusiana na moyo au mfumo wa fahamu.
Kwa hiyo acha propaganda za kijinga za kusema Hamas ndo wanamtetemesha. Siku akifa kwa ugonjwa au kifo cha kawaida cha uzee basi utasema kafa kwa sababu ya Hamas.
Hawa wavaa kobazi wanaliwa vichwa kila sikuThe mass murderer of our time - he must pay for his crimes in this life and the next
Hawa wavaa kobazi wanaliwa vichwa kila siku
USSR
Hivi Mudy kwenye pango alitokewa na shetani alitetemeka hadi akazimia hahahaParkinsons temor he is likely undiagnosed parkinsons dementia too
Asipokunywa whiskey, konyagi au kuvuta ugoroWewe Babu yako anatetemeka hivyo?
Hivi Mudy kwenye pango alitokewa na shetani alitetemeka hadi akazimia hahaha