Halafu watakuja wana waisraeli wa bonyokwa na nyantimbi wakuambie Israel taifa teule😂😂😂😂😂😂😂.
Hawa jamaa hawana akili kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada kusema Hamas wanamtetemesha hajakusudia kama unavyokusudia.Netanyahu ana umri wa miaka 74 sasa hivi. Mwaka jana alifanyiwa upasuaji wa moyo na kuwekewa pacemaker (kama ile inayodaiwa kuwa alikuwa nayo Magufuli).
![]()
Israeli doctors reveal Netanyahu's yearslong heart problem only after implanting pacemaker
Netanyahu's current medical crisis reveals that he has suffered from an irregular heartbeat for years. It's news to Israelis that their longest-serving prime minister has been dealing with a chronic health problem.www.pbs.org
Kwa hiyo ni mzee huyo, na yuko katika umri wa kuumwa magonjwa ya uzeeni. Mikono kutetemeka ni mojawapo ya magonjwa ya uzeeni yanayohusiana na moyo au mfumo wa fahamu.
Kwa hiyo acha propaganda za kijinga za kusema Hamas ndo wanamtetemesha. Siku akifa kwa ugonjwa au kifo cha kawaida cha uzee basi utasema kafa kwa sababu ya Hamas.
Pamoja na kutetemeka lakini bado anaongoza mapambano ya nchi yake dhidi ya ugaidi.The mass murderer of our time - he must pay for his crimes in this life and the next
Bora bangi bado akili zipo zipo, kuliko kusema binadamu Mungu. Hebu nifahamisheni hapo Yesu ni Mungu, au Yesu ana Mungu 😄JF siku hizi imejaa wavuta bangi maanake siku hizi mtu akiamka anaweza akaandika chochote kile kinachokuja kichwani.
huna akili unaelewa maana ya neno ALLAH!Mawaidha ya Misikitini haya.. hapo so kuna Hamas? Netanyahu kesha proof anamzidi Allah kwa kila kitu.. na amemfanya Allah aishi pangoni
Wanakumbi.
Netanyahu alikuwa akitetemeka sana wakati mpiga picha alipogundua, mara moja alijaribu kuwaficha kwenye video .
Netanyahu ana kila kitu anapewa misaada ye pesa na silaha kutoka Marekani na Ulaya.
Hamas wamemfanya anateteka hovyo.
View: https://x.com/sprinterfamily/status/1832801354986701036?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wayahudi wa leo wanapenda kuishi kuliko Taifa lao. Watoto wao wapo vitani kuipigania nchi yao na usalama wao, wazazi wako barabarani kutaka PM ajiuzuru. Wanampa nguvu adui .Mleta mada kusema Hamas wanamtetemesha hajakusudia kama unavyokusudia.
Bali anamaanisha kwa namna vita inapoelekea na hali ilivyo ya kutokufanikisha lolote kwa Israel ndani ya Gaza,humpa stress huyu mzee na kumuumiza kichwa.
Na kama ni kweli ana matatizo ya moyo na kawekewa pacemaker basi ni hatari kuwa na msongo wa mawazo ama sonona kwa afya yake.
Anaweza kufa kwa kuhangaika na vita ya Gaza.
Na ukiangalia ni kweli,kila leo raia wanarudi barabarani kuandamana dhidi yake,Gaza mateka hawajakombolewa na wengine wanazidi kufa,amepoteza international support duniani imebakia ya USA na baadhi ya washirika wake,Kaskazini mwa Israel kuna total of 300k displacement kwa mashambulizi na Hizbollah,nchi nzima kuna waliohama nchi takriban 180k citizens.
Kwa hali kama hii mkuu wewe kama kiongozi halafu una matatizo ya moyo utakosa kutetemeka!??
Mkuu ukifuatilia huu mzozo hauhitaji vita wala kupigana.Wayahudi wa leo wanapenda kuishi kuliko Taifa lao. Watoto wao wapo vitani kuipigania nchi yao na usalama wao, wazazi wako barabarani kutaka PM ajiuzuru. Wanampa nguvu adui .
sawa dr SAMIANetanyahu ana umri wa miaka 74 sasa hivi. Mwaka jana alifanyiwa upasuaji wa moyo na kuwekewa pacemaker (kama ile inayodaiwa kuwa alikuwa nayo Magufuli).
![]()
Israeli doctors reveal Netanyahu's yearslong heart problem only after implanting pacemaker
Netanyahu's current medical crisis reveals that he has suffered from an irregular heartbeat for years. It's news to Israelis that their longest-serving prime minister has been dealing with a chronic health problem.www.pbs.org
Kwa hiyo ni mzee huyo, na yuko katika umri wa kuumwa magonjwa ya uzeeni. Mikono kutetemeka ni mojawapo ya magonjwa ya uzeeni yanayohusiana na moyo au mfumo wa fahamu.
Kwa hiyo acha propaganda za kijinga za kusema Hamas ndo wanamtetemesha. Siku akifa kwa ugonjwa au kifo cha kawaida cha uzee basi utasema kafa kwa sababu ya Hamas.
Wanakumbi.
Netanyahu alikuwa akitetemeka sana wakati mpiga picha alipogundua, mara moja alijaribu kuwaficha kwenye video .
Netanyahu ana kila kitu anapewa misaada ye pesa na silaha kutoka Marekani na Ulaya.
Hamas wamemfanya anateteka hovyo.
View: https://x.com/sprinterfamily/status/1832801354986701036?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanakumbi.
Netanyahu alikuwa akitetemeka sana wakati mpiga picha alipogundua, mara moja alijaribu kuwaficha kwenye video .
Netanyahu ana kila kitu anapewa misaada ye pesa na silaha kutoka Marekani na Ulaya.
Hamas wamemfanya anateteka hovyo.
View: https://x.com/sprinterfamily/status/1832801354986701036?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
NA BADO MPK SIKU AJINYEE HADHARANI NDO ATAJUA MAKOBAZI SIO POWA KUWACHEZEA
Wanakumbi.
Netanyahu alikuwa akitetemeka sana wakati mpiga picha alipogundua, mara moja alijaribu kuwaficha kwenye video .
Netanyahu ana kila kitu anapewa misaada ye pesa na silaha kutoka Marekani na Ulaya.
Hamas wamemfanya anateteka hovyo.
View: https://x.com/sprinterfamily/status/1832801354986701036?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw