Hamas wameshashinda mapigano. Dalili zipo wazi kabisa.

Hamas wameshashinda mapigano. Dalili zipo wazi kabisa.

Hujakubaliana kwa nini ntakuelewesha ili tukubaliane mzee lipi hilo
Uislamu kabla ya ujio wa s.a.w nimekueleza kule juu kwamba uliwahi kua na manabii zaidi ya 80 elfu na wote hao hawakua waarabu walitumia lugja tofauti kabisa na kiarabu
Kama sijakosea nabii mussa ama nabii issa kuna mmoja wapo nilisikia alikua akizungumza kiebrania (nishasahau lugha ila haikua kiarabu) kiarabu kimezungumzwa kwenye dini na s.a.w pekee mkuu
Kuona tofauti ya dini na lugha ni ngumu sababu qur an imekuja kwa maandiko ya kiarabu na vitu vingi vimekuja kwa lugha hio sababu ndio ilikua lugha inayozungumzwa na Mtume wa wakati huo huu
Uthibitisho wa kiaje unaoutaka kuhusiana na kabla ya ujio wa mtume s.a.w

Mimi pengine naweza kukubaliana na wewe iwapo ibada zenu na vitabu vyenu vitaandikwa kwa lugha ya asili ya watu wa eneo hususa. Lakini kwa utaratibu huu mlio nao, mnatupigia kelele kwa adhana ya kiarabu, inakuwa ngumu kumeza. Ninyi ni wafuasi wa kiarabu na tamaduni zake.
 
Allah kaleta lugha hio kwenye quran kwa maana yake
Leo hii waislam wote duniani ukimpeleka sehemu kuna ishara moja tu itayo muonesha ama kumjulisha kama hapa kwa waislam wenzako sio kama dini nyenginezo
Nje ya lugha hakuna kingine kimechukuliwa kwa waarabu mpaka uunasibishe uislam na uarabu
Yaani lugha tu ndio iwe uislam ndio uarabu
Pia kama hujui hata hao waarabu wanatofautiana pia kwenye hio hio lugha yao
Ila qur an nenda popote utakapoenda ndio kitabu ambacho hakibadiliki hakikubadilika na hakitakuja kubadilika mpaka kiama
Kwahakika qur an nikitabu kisicho nashaka ndanimwe
Nakwambia uislam sio uarabu sababu kabla uislam kushika khatamu pale arabia majamaa walikua na mila na tamaduni zao ambazo zote zilipigwa kumbo na kupingwa na uislam ikiwemo kuabudia masanamu jua mwezi milima nk
Wacha urongo wewe mkariri Quran.. Huyu Mudi aliulizwa jinsi alivyoshushiwa Quran akasema Malaika alikuwa akimjia huku akitoa milio ya kengere.. ina maana alikuwa akitafsiri milio ya kengere kuwa ya kiarabu sasa Milio ya kengere ndio Kiarabu? na hii inaonesha Quran ni Tafsiri hakuna original. Maislam ni majitu Majinga Quran yenyewe walio nayo ni Tafsiri ya mtu ambaye alikuwa maarufu kwa Uongo Asbab al-Nuzul

‘Ā'ishah (may Allah be pleased with her) reported: Al-Hārith ibn Hishām (may Allah be pleased with him) asked the Messenger of Allah (may Allah's peace and blessings be upon him): "O Messenger of Allah, how does the revelation come to you?" The Messenger of Allah (may Allah's peace and blessings be upon him) said: "Sometimes it comes to me like the ringing of a bell, and that is the hardest for me. When it leaves me I remember what it has said. And sometimes the angel appears to me in the shape of a man, he talks to me, and I understand what he says." ‘Ā'ishah (may Allah be pleased with her) said: "I saw him when the revelation was descending upon him on a very cold day. When it had left him, his forehead was dripping with sweat."

Sahih/Authentic. - [Al-Bukhari and Muslim]

Ishah amesema: “Harith bin Hisham alimuuliza Mtume wa Mwenyezi Mungu : “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Je, ufunuo unakujieni?" Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: “Wakati fulani hunijia kama mlio wa kengele, na hilo ndilo gumu zaidi kwangu. Linaponiacha nakumbuka lilivyosema. malaika ananitokea katika umbo la mwanadamu, anazungumza nami, na ninaelewa anachosema." ‘Aisha akasema: “Nilimuona wakati wahyi ulipokuwa unamshukia katika siku ya baridi kali. Ilipomtoka, paji la uso wake lilikuwa linatoka jasho.
Sahih/Sahihi. - [Al-Bukhari na Muslim]
Yaani Story za uongo uongo Nasema Waislam wana haki ya uongo na kudanganya sababu wanaowafuata walikuwa waongo zaidi... hadi Jasho kwenye baridi kali.. Sauti za Kengere Malaika anazitoa na Njemba inaelewa na kuzibadilisha kuwa Kiarabu...
View: https://www.youtube.com/shorts/5Iqpq4AIjH4?feature=share

Huo Mlio ndio unasema Bismilah rahman rahim according to Mohamad
 
Wacha urongo wewe mkariri Quran.. Huyu Mudi aliulizwa jinsi alivyoshushiwa Quran akasema Malaika alikuwa akimjia huku akitoa milio ya kengere.. ina maana alikuwa akitafsiri milio ya kengere kuwa ya kiarabu sasa Milio ya kengere ndio Kiarabu? na hii inaonesha Quran ni Tafsiri hakuna original. Maislam ni majitu Majinga Quran yenyewe walio nayo ni Tafsiri ya mtu ambaye alikuwa maarufu kwa Uongo Asbab al-Nuzul

‘Ā'ishah (may Allah be pleased with her) reported: Al-Hārith ibn Hishām (may Allah be pleased with him) asked the Messenger of Allah (may Allah's peace and blessings be upon him): "O Messenger of Allah, how does the revelation come to you?" The Messenger of Allah (may Allah's peace and blessings be upon him) said: "Sometimes it comes to me like the ringing of a bell, and that is the hardest for me. When it leaves me I remember what it has said. And sometimes the angel appears to me in the shape of a man, he talks to me, and I understand what he says." ‘Ā'ishah (may Allah be pleased with her) said: "I saw him when the revelation was descending upon him on a very cold day. When it had left him, his forehead was dripping with sweat."

Sahih/Authentic. - [Al-Bukhari and Muslim]

Ishah amesema: “Harith bin Hisham alimuuliza Mtume wa Mwenyezi Mungu : “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Je, ufunuo unakujieni?" Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: “Wakati fulani hunijia kama mlio wa kengele, na hilo ndilo gumu zaidi kwangu. Linaponiacha nakumbuka lilivyosema. malaika ananitokea katika umbo la mwanadamu, anazungumza nami, na ninaelewa anachosema." ‘Aisha akasema: “Nilimuona wakati wahyi ulipokuwa unamshukia katika siku ya baridi kali. Ilipomtoka, paji la uso wake lilikuwa linatoka jasho.
Sahih/Sahihi. - [Al-Bukhari na Muslim]
Yaani Story za uongo uongo Nasema Waislam wana haki ya uongo na kudanganya sababu wanaowafuata walikuwa waongo zaidi... hadi Jasho kwenye baridi kali.. Sauti za Kengere Malaika anazitoa na Njemba inaelewa na kuzibadilisha kuwa Kiarabu...
View: https://www.youtube.com/shorts/5Iqpq4AIjH4?feature=share

Huo Mlio ndio unasema Bismilah rahman rahim according to Mohamad

Siku ukiwa na akili timamu uje nikupige msasa uelewe haya mambo sio kukurupuka
Shida mkishatoka kubarikiwa hua mnakurupuka kurupuka ndio shida huanzia hapa
 
Wamehamia rafa kuua wanawake na watoto,usiku wa kuamkia Leo wameua 90+,huko rafa waliwaambia watu waendele huko
Hapo juu tumeona video ya mtoto wa miaka 14 akimpiga visu Askri wa israel huyo ni mtoto au gaidi piga wote kwakuwa hujui nani sio gaidi nani gaidi
 
Back
Top Bottom